Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Darul Qur'an al-Karim ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kufanya duru 2,500 za usomaji wa Qur'ani nchini wakati wa mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3476712 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Saa za kazi kwa wafanyakazi wa sekta binafsi zitapunguzwa kwa saa mbili wakati wa Mwezi Mtukufu Ramadhani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3476702 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)-Ripoti ya hivi imebaini miji ya dunia ambako Waislamu hufunga saa nyingi zaidi na wale ambao hufunga saa chache zaidi.
Habari ID: 3476674 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/07
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)-Mpango mkubwa wa kuwahudumia waumini wapatao milioni 3 katika maeneo matakatifu zaidi ya Kiislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani unaokuja ulizinduliwa nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476656 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04
Saumu ya Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi mtukufu wa Ramadhani unapokaribia, shirika la misaada la Diabetes UK linatoa msaada na ushauri kwa Waislamu walio na kisukari.
Habari ID: 3476642 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/01
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Baraza la Dunia la Ahl-ul-Bayt (AS) alisisitiza haja ya kuandaa vikao vya Qur’ani katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Ahl-ul-Bayt (AS) katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476638 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho ya Victoria na Albert la London limeaandaa mkutano kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476623 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/25
Mwezi wa Ramadhanii
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua kampeni ya kusafisha misikiti nchini humo kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476560 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14
TEHRAN (IQNA)- Kinachowangoja waumini baada ya mfungo wa mwezi mmoja ni Idi adhimu ambayo imetolewa kwa wale ambao wametoka kwa mafanikio katika Ramadhani ambao ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu
Habari ID: 3475198 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Jumuiya ya Kiislamu ya Raleigh katika jimbo la North Carolina nchini Marekani, ambacho ni msikiti na mahali pa kukutania jamii ya Waislamu, kimejitokeza ili kuhakikisha kila mtu aliyefunga anakuwa na Ramadhani yenye furaha.
Habari ID: 3475190 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30
TEHRAN (IQNA)- Moja ya mambo ambayo yamesemwa kuhusu mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kwamba mkono wa shetani umefungwa ndani ya mwezi huu.
Habari ID: 3475169 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/25
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya milo milioni 3 ya futari ilitolewa kwenye Msikiti Mkuu wa Makka katika siku 20 za mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu wa 1423 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3475164 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24
TEHRAN (IQNA)- Msikiti Mtakatifu wa Mtume SAW, Masjid an-Nabawi, mjini Madina umesajili watu 4,000 watakaoshiriki katika Itikafu wakati wa siku 10 za mwisho za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475156 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/22
Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Malaysia aliwataka Waislamu kuisoma na kuielewa kwa kina Qur'ani Tukufu ili wawe miongoni mwa wachamungu.
Habari ID: 3475142 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19
TEHRAN (IQNA)- Dua ya Al-Iftitah ni miongoni mwa dua zinazofungua milango ya matumaini na rehema ya Mwenyezi Mungu kwa watu waliokata tamaa, na inapendekezwa isomwe katika mikesha ya Ramadhani.
Habari ID: 3475122 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/13
TEHRAN (IQNA)- Wakaazi wa eneo moja Cape Town, Afrika Kusini, wamepewa zawadi dhifa ya futari kwa mara ya kwanza huku Waislamu duniani kote wakiwa katika mwezi mtakatifu wa Ramadan.
Habari ID: 3475117 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12
TEHRAN (IQNA)- Katika Saumu ya Ramadhani, waumini hawali au kunywa lakini ni wazi kwamba kufunga sio tu kuweka kujizuia kunywa na kula.
Habari ID: 3475115 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11
TEHRAN (IQNA)-Warsha imefanyika nchini Uganda kuhusu kuifahamu Qur'ani Tukufu na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475103 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09
TEHRAN (IQNA)- Niyyah au nia ni msingi muhimu wa ibada katika Uislamu na nukta hii inapata umuhimu mkubwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475102 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ramadhani ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu, na kwamba kutakasa nafsi, kuanisika kunakoambata na kutafakari kwa kina na kuelewa vyema Qur'ani ni miongoni mwa mambo muhimu yanayomuwezesha mwanadamu kufaidika na ugeni huo wa Mola Karima.
Habari ID: 3475094 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/04