iqna

IQNA

ukraine
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Jamhuri ya Chechnya yenye mamlaka ya ndani katika Shirikisho la Russia ametenga zawadi ya Ruble milioni 10 za Kirusi ambazo ni sawa na dola 168,000 za Kimarekani kwa atakayefanikisha kukamatwa akiwa hai, askari wa jeshi la Ukraine aliyeivunjia heshima Qur'ani tukufu kwa kuichoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu.
Habari ID: 3476730    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya hivi majuzi ya wanajeshi kadhaa wa Ukraine kuteketeza moto nakala ya Qur'ani Tukufu inaendelea kulaaniwa vikali , huku rais wa Jamhuri ya Chechnya katika Shirikisho la Russia akiapa kuwatafuta na kuwaadhibu wale waliohusika na kitendo hicho kichafu.
Habari ID: 3476722    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na Rais wa Kazakhstan na kusema tatizo kuu katika kadhia ya Ukraine ni kuwa, nchi za Magharibi zina mpango wa kupanua muungano wa kijeshi wa NATO.
Habari ID: 3475400    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20

TEHRAN (IQNA)- Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa anasema kuwa upigaji kura wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kusimamisha uanachama wa Russia katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa unaonyesha juhudi za Marekani kudumisha msimamo wake wa kibeberu.
Habari ID: 3475100    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani imetenda jinai nyingi dhidi ya wananchi wa mataifa mbalimbali ya dunia na kuiamini nchi hiyo ni ujuha na ujinga.
Habari ID: 3475025    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/09

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.
Habari ID: 3475003    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inataka iwepo orodha ya silaha ambazo Ukraine haitaweza katu kuwa na nazo na wala hazitatengenezwa nchini humo.
Habari ID: 3475002    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03

TEHRAN (IQNA)- Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimekosoa vikwazo vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) dhidi ya Russia wakati shirikisho hilo linapuuza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hiyo ni ishara ya wazi ya undumakuwili.
Habari ID: 3474995    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa hotuba muhimu katika ufunguzi wa kongamano linalofanyika mjini Beirut kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa 30 tangu alipouawa shahidi Katibu Mkuu wa Pili wa Hizbullah, Sayyid Abbas al-Musawi na kusema Marekani inabeba dhima ya mgogoro wa sasa wa Ukraine.
Habari ID: 3474990    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala huo.
Habari ID: 3474989    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01

TEHRAN (IQNA) –Sheikhe mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Ahzar nchini Misri ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusikiliza wito wa kumaliza vita kati ya nchi hizo mbili.
Habari ID: 3474984    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/27

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni makosa kwa baadhi ya nchi kutegemea uungwaji mkono na himaya ya Marekani, na kwamba kadhia ya Ukraine imethibitisha tena ukweli huo.
Habari ID: 3474977    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehrah amesema, hatua za kichochezi zilizochukuliwa na shirika la kijeshi la NATO kwa uongozi wa Marekani zimetatanisha hali ya mambo katika eneo; na si hasha zikaifanya iwe tata zaidi.
Habari ID: 3474975    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25

TEHRAN (IQNA)- Rais Vladimir Putin wa Russia mapema Alhamisi amehutubia taifa katika televisheni na kutangaza kuwa, vikosi vya nchi yake vimeanza oparesheni maalumu ya kijeshi katika eneo la Donbass ambalo limetangaza kujitenga na Ukraine. Punde baada ya kutangaza oparesheni hiyo ya kijeshi, Putin ametaka kusitishwe 'muundo wa kijeshi' Ukraine na kuitaka nchi hiyo iweke chini silaha zake.
Habari ID: 3474970    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Moscow alionyesha kuunga mkono uamuzi wa Rais wa Russia Vladimir Putin wa kutambua maeneo yaliyojitenga ya Lugansk na Donetsk mashariki mwa Ukraine kama jamhuri huru.
Habari ID: 3474965    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23