iqna

IQNA

IQNA-Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa ulioko jijini Al Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3480246    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21

Kadhia ya Palestina
IQNA – Sheikh Ekrema Sabri, Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, amesema sauti ya Adhana (wito wa Waislamu wa kuswali) itaendelea kusikika huko Palestina milele.
Habari ID: 3479850    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03

Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kuba la Musa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds linachukuliwa kuwa kituo cha kwanza cha kufundisha Qur'ani huko Palestina.
Habari ID: 3479775    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Jinai za Israel
IQNA - Ukatili wa utawala haramu wa Israel huko Gaza na Lebanon katika mwaka uliopita umesababisha kuundwa kwa muungano wa mataifa ya Kiislamu "kwa njia ambayo haikutarajiwa", amesema mwanazoni mwandamizi wa Iran.
Habari ID: 3479667    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29

Jinai za Israel
IQNA - Mamia ya walowezi wa Kizayuni wamevamia eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu siku ya Jumapili, chini ya ulinzi wa wanajeshi wa Israel.
Habari ID: 3479625    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21

Muqawama
IQNA – Wananchi wa Palestina katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem)wamehimizwa na makundi mbalimbali kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa kwa wingi katika mnasaba wa Milad –un-Nabi
Habari ID: 3479443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Jinai za Israel
IQNA-Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa Sheikh Ekrima Sabri amesema, kauli aliyotoa hivi karibuni waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi.
Habari ID: 3479338    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Msikiti wa Al Aqsa
IQNA - Utawala wa Israel umetangaza mpango wa kufadhili walowezi haramu wa Israel kuvamia Msikiti wa al-Aqsa katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la al-Quds (Jerusalem) katika hatua nyingine ya uchochezi inayolenga eneo hilo la tatu kwa utakatifu katika Uislamu.
Habari ID: 3479334    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Muqawama
IQNA – Utawala dhalimu wa Israel umetangaza marufuku ya miezi sita kwa Sheikh Ekrema Sabri, Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa ambapo katika muda huo atazuiwa kuingia katika msikiti huo mtakatifu ulio katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3479248    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09

Kadhia ya Palestina
IQNA-Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Iddul Adh'ha iliyosaliwa leo kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Baitul Muqaddas, licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.
Habari ID: 3478971    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/16

Jinai za Israel
IQNA - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) siku ya Jumatatu chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel ambao unakalia eneo hilo kwa mabavu.
Habari ID: 3478720    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23

Msikiti wa Al Aqsa
IQNA - Takriban waumini 125,000 wa Kipalestina walikusanyika katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa al-Quds (Jerusalem) kwa ajili ya sala ya tatu ya Ijumaa ya mwezi mtukufu wa Ramadhani licha ya kuwekewa vikwazo vikali na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478604    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/30

Kadhia ya Palestina
IQNA - Wakati utawala haramu wa Israel umeweka vikwazo vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds, zaidi ya waumini 100,000 wa Kipalestina walishiriki katika Swala maalum ya mwezi wa Ramadhani kwenye msikiti huo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478560    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Jinai za Wazayuni
IQNA - Lawama zimeongezeka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuweka vizuizi katika milango mitatu ya kuelekea Msikiti wa Al-Aqsa katika eneo la Quds (Jerusalem) Mashariki linalokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478516    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Kadhia ya Palestina
IQNA - Utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina umetangaza siku ya Jumanne kwamba utawaruhusu waumini kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika eneo la Quds (Jerusalem) katika wiki ya kwanza ya mwezi wa Ramadhani, na hivyo kutupilia mbali mpango wa awali wa kuweka vizuizi.
Habari ID: 3478461    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Kadhia ya Al Aqsa
IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewataka Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu Israel kuandamana hadi Msikiti wa Al-Aqsa katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478432    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Jinai za Israel
IQNA - Kutakuwa na mlipuko na maafa makubwa hivi karibuni ikiwa utawala wa Kizayuni utaendelea na mpango wa kuwazuia Waislamu kuswali katika Msikiti wa Al-Aqsa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ilionya.
Habari ID: 3478412    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25

Jinai za Israel
IQNA - Vikosi vya Israel vimewashambulia waumini karibu na lango la Asbat, lango kuu la kuingia Msikiti wa Al-Aqswa katika mji Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, wakiwazuia na kuwapiga walipokuwa wakijaribu kuingia msikitini humo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3478401    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Watetezi wa Palestina
IQNA-Mufti Mkuu wa Oman kwa mara nyingine amesisitiza umuhimu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel na akasema kuukomboa ni jukumu la Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3478232    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

Jinai za Israel
IQNA - Maelfu ya waumini wa Kiislamu walizuiliwa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa ajili ya kuswali swala ya Ijumaa.
Habari ID: 3478216    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19