iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakilindwa na kusindikizwa na askari wa utawala haramu wa Israel leo wameuvamia tena msikiti wa Al Aqsa katika mji mtukufu wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474132    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)- Wazayuni wenye misimamo mikali wameuhujumu tena Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) leo Jumatatu wakiwa chini ya himaya ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474051    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28

TEHRAN (IQNA)- Hali ya taharuki imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.
Habari ID: 3473937    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/23

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameutaka Umma wa Kiislamu na Kiarabu kufanya maandamano na mikutano ya kutetea na kuunga mkono Msikiti wa al Aqsa na watu wa Palestina.
Habari ID: 3473908    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Sheikh mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kulaani ‘ugaidi wa Kizayuni’ baada ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwahujumu Wapalestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds.
Habari ID: 3473892    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel haupaswi kuingilia mambo ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa sababu Wazayuni hawana mamlaka yoyote katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3473731    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/13

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imetoa wito wa kuadhimishwa ‘Wiki ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem)’ kwa lengo la kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473699    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/03

TEHRAN (IQNA)- Mji Mtakatifu wa Quds (Jerusalem) umeshuhudia tukio nadra ya mvua ya theluji Alhamisi.
Habari ID: 3473666    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/20

TEHRAN (IQNA) – Makumi ya walowezi wa Kizayuni siku ya Alhamisi waliuhujumu uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wakiwa wanalindwa na askari wa utawala haramu wa Israel ambapo wametekeleza ibada za Kiyahudi katika eneo hilo takatifu la Waislamu.
Habari ID: 3473265    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/16

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ekrima Sa'id Sabri, Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) na khatibu katika Msikiti wa Al Aqsa mjini humo ametahadharisha kuhusu njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutaka kutwaa sehemu ya msikiti huo ambao ni qibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3473249    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/11

TEHRAN (IQNA) - Vijana wa Kipalestina wamekabiliana na walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakifanya juhudi za kuvamia na kuingia katika Msikiti wa al-Aqswa.
Habari ID: 3473017    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31

TEHRAN (IQNA) - Baraza la Maulamaa wa Yemen limeyatolea mwito mataifa ya Kiislamu wa kuyataka yatekeleze jukumu lao la kuuhami msikiti wa al-Aqsa na Haram Mbili tukufu za Makka na Madina katika kukabiliana na chokochoko za Wazayuni na utawala wa Aal Saud.
Habari ID: 3472971    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17

TEHRAN (IQNA) –Zaidi ya Waislamu 30,000 wameshiriki katika Swala ya Ijumaa katika msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) huku wakizingatia kanuni za afya zilizowekwa na idara ya wakfu mjini humo kwa lengo la kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472903    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27

TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa kijasusi wa utawala haramu wa Israel Ijumaa walimkamata Imamu wa Msikiti wa Al Aqsa Sheikh Ekrima Sabri akiwa nyumbani kwake Quds (Jerusalem) Mashariki.
Habari ID: 3472814    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29

TEHRAN (IQNA) - Wanjeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kushiriki katika Swala ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472796    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) utafunguliwa kwa waumini baada ya siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472781    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/19

TEHRAN (IQNA) – Sala za jamaa zimesitishwa kwa muda katika Msikiti wa Al- Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472595    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/23

TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) imeanza oparesheni ya kunyunyizia dawa ya kuua virusi vya Corona katika Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3472552    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/10

TEHRAN (IQNA) – Wapalestina yametoa wito kwa jamii ya kimataifa ichukua hatua za kuulinda Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472183    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/22

Katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472094    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/21