iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) Brazil imeulaani utawala wa Israel kwa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.
Habari ID: 3470919    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/05

Rais Hassan Rouhani wa Iran
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina ndiyo kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel ni utawala pandikizi, mzaliwa wa Magharibi unaovunja haki za binadamu.
Habari ID: 3470865    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22

IQNA: Algeria imesambaratisha mtandao wa kijasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3470795    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/15

Njama mpya
IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanzisha njama mpya katika Msikiti wa Al Aqsa kwa kuongeza masaa ambayo Wazayuni wanaruhusiwa kuwa ndani ya msikiti huo yaani kuuhujumu.
Habari ID: 3470720    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/06

Katibu Mkuu wa Hizbullah
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, wakati muqawama ulipoweza kuzuia kufanikishwa malengo ya adui, ulipata ushindi, na zaidi ya hayo ni kuwa, muqawama uliweza kufanikisha malengo yake.
Habari ID: 3470595    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Kauli mbiu ya Siku ya Misikiti Duniani
Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Misikiti mwaka hii imetajwa kuwa ni ‘Misikiti, Mhimili wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu.
Habari ID: 3470532    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu kote duniani watajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulimiwa.
Habari ID: 3470424    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na amewataka Waislamu hususan wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya siku hiyo Ijumaa wiki hii
Habari ID: 3470423    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/29

Genge la Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wakipata himaya ya askari wa utawala haramu wa Israel wameuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3470347    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/30

Wapalestina wengine wawili wameuawa shahidi katika hujuma za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
Habari ID: 3463972    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16

Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza hujuma zao za kidhalimu dhidi ya Wapalestina kwa kuuhujumu Msikiti katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3457989    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Ayatullah Ahmad Khatami
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa wiki mjini Tehran amesema kundi la kigaidi la Daesh au ISIS matakfiri kwa ujumla ni mamluki wa Wazayuni ambao wametumwa kwa lengo la kuwagombanisha Waislamu.
Habari ID: 3454898    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Hija katika mwaka 1436 Hijria. Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo
Habari ID: 3366752    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/23

Jumapili ya jana msikiti mtakatifu wa al-Aqsa kwa mara nyingine tena ulivamiwa na Wazayuni waliojumuisha wanajeshi, polisi na Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada ambapo damu za makumi ya Wapalestina zilimwagwa kiholela katika tukio hilo.
Habari ID: 3362433    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/14

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuhusu udharura wa umoja baina ya Waislamu ili kukabiliana na njama hatari za utawala haramu wa Israel za kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa katika Mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3349556    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21

Kutokana na pendekezo lililotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa ajili ya kuenzi Msikiti wa kihistoria wa al Aqsa, tarehe 21 Agosti imetangazwa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Msikiti.
Habari ID: 3349544    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21

Mufti Mkuu wa Misri amelaani vikali kitendo walowezi Waisraeli kumuua kinyama mtoto mdogo wa Palestina siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3338079    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/02

Kitendo cha kinyama cha Wazayuni wa Israel cha kumchoma moto hadi kufa mtoto mchanga wa Palestina mwenye umri wa miezi 18 kimeendelea kulaaniwa kote duniani.
Habari ID: 3337635    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/01

Baraza la Kizayuni la mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu limepitisha mpango wa kuyavunjia heshima na kuyabomoa makaburi ya Waislamu katika mji huo.
Habari ID: 3328606    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/15

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Lebanon, Hizbullah, amesema kuibuka Matakfiri ni katika njama za Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3304295    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17