TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 49 iliyopita, inayosadifiana na 21 Agosti 1969, Masjidul Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu, kilichomwa moto na Wazayuni.
Habari ID: 3471641 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapiga jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarisha mrengo wa mapambano na muqawama katika Ulimwengu wa Kiislamu na kuzidisha mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na waungaji mkono wake.
Habari ID: 3471454 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/05
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa yenye vipengee 26 inayosisitiza kuimarishwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kupambana na njama za maadui, ikiwemo njama mpya ya Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
Habari ID: 3471300 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imesimama kidete kukabiliana na njama za kambi ya ubeberu na Uzayuni za kutaka kuzusha vita na mivutano baina ya Waislamu na itaendelea kukabiliana na kambi hiyo na kupata ushindi katika mpambano huo kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471277 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24
TEHRAN (IQNA)- Agosti 21 miaka 48 iliyopita, yaani mwaka 1969 Miladia, Msikiti wa al-Aqsa Kibla cha Kwanza cha Waislamu ulihujumiwa na kuteketezwa moto na Wazayuni kwa himaya ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3471136 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/22
TEHRAN- (IQNA)-Askari wa utawala wa Kizayuni wa israel wamewavamia Wapalestina waliofanya mgomo wa kukaa kitako katika msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni zaidi ya watu mia moja.
Habari ID: 3471092 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/28
TEHRAN (IQNA)-Ulimwengu wa Kiislamu umelaani hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuufunga Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu baada ya oparesheni ya Wapalestina dhidi wanajeshi wa Kizayuni karibu na msikiti huo.
Habari ID: 3471067 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/15
TEHRAN (IQNA) Brazil imeulaani utawala wa Israel kwa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.
Habari ID: 3470919 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/05
Rais Hassan Rouhani wa Iran
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina ndiyo kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel ni utawala pandikizi, mzaliwa wa Magharibi unaovunja haki za binadamu.
Habari ID: 3470865 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22
IQNA: Algeria imesambaratisha mtandao wa kijasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3470795 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/15
Njama mpya
IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanzisha njama mpya katika Msikiti wa Al Aqsa kwa kuongeza masaa ambayo Wazayuni wanaruhusiwa kuwa ndani ya msikiti huo yaani kuuhujumu.
Habari ID: 3470720 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/06
Katibu Mkuu wa Hizbullah
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, wakati muqawama ulipoweza kuzuia kufanikishwa malengo ya adui, ulipata ushindi, na zaidi ya hayo ni kuwa, muqawama uliweza kufanikisha malengo yake.
Habari ID: 3470595 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03
Kauli mbiu ya Siku ya Misikiti Duniani
Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Misikiti mwaka hii imetajwa kuwa ni ‘Misikiti, Mhimili wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu.
Habari ID: 3470532 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu kote duniani watajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulimiwa.
Habari ID: 3470424 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na amewataka Waislamu hususan wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya siku hiyo Ijumaa wiki hii
Habari ID: 3470423 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/29
Genge la Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wakipata himaya ya askari wa utawala haramu wa Israel wameuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3470347 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/30
Wapalestina wengine wawili wameuawa shahidi katika hujuma za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
Habari ID: 3463972 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16
Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza hujuma zao za kidhalimu dhidi ya Wapalestina kwa kuuhujumu Msikiti katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3457989 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29
Ayatullah Ahmad Khatami
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa wiki mjini Tehran amesema kundi la kigaidi la Daesh au ISIS matakfiri kwa ujumla ni mamluki wa Wazayuni ambao wametumwa kwa lengo la kuwagombanisha Waislamu.
Habari ID: 3454898 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Hija katika mwaka 1436 Hijria. Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo
Habari ID: 3366752 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/23