Quds Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Taasisi za Kiislamu mjini Al Quds (Jerusalem) ziliionya utawala wa Kizayuni wa Israel siku ya Jumapili dhidi ya upanuzi wa Lango la Magharbeh ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3475566 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya kuanza tena ibada ya Hija baada ya amali hiyo kuvurugwa kwa miaka miwili na janga la Corona. Amesema, "hii ni baraka kubwa kwani ibada hii ni nembo ya umoja miongoni mwa Waislamu."
Habari ID: 3475348 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08
Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amesisitiza kuwa, Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ni eneo la kidini na ni la Kiislamu kikamilifu na kwamba, wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa njama chafu za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475263 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/18
TEHRAN (IQNA)-Wazayuni wasiopungua watatu wameangamizwa katika oparesheni za ulipizaji kisasi za Wapalestina waliojitolea kufa shahidi.
Habari ID: 3475213 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06
Hadi al-Amiri
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Fat'h nchini Iraq amesema kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel ni hatua ambayo haikubali kwa namna yoyote ile.
Habari ID: 3475189 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30
Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Siku ya Ijumaa alfajiri, askari wa utawala haramu wa Israel waliwashambulia Wapalestina ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) ambapo zaidi ya waumini 160 wamejeruhiwa. Jinai hiyo imewapa Wapalestina irada ya kuimarisha mapambano yao dhidi ya adui Mzayuni mtenda jinai.
Habari ID: 3475134 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hujuma iliyofanywa na walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na askari wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa.
Habari ID: 3475129 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel mapema leo wameuvamia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) na kuwajeruhi waumini Wapalestina ikiwa ni katika muendelezo wa uchokozi unaotolezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475128 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15
TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani vikali jinai za hivi karibuni za wanajeshi wa utawala haramu wa Israel ambao wamewaua Wapalestina akiwemo mwanamke.
Habari ID: 3475114 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11
Matukio ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya Wazayuni wenye misimamo mikali wametoa wito wa kuhujumiwa Msitiki wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) mnamo Aprili 15 sambamba na 14 Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa mnasaba wa siku kuu ya Kiyahudi wa Pasaka.
Habari ID: 3475097 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/07
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limelenga kwa makombora kituo cha kistratijia cha njama na uovu cha Wazayuni na kusisitizia kuwa: Kurudiwa kwa uovu wa aina yoyote kutakabiliwa na jibu kali, la pande zotei na haribifu.
Habari ID: 3475035 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13
TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne vimewapiga risasi na kuwajeruhi waandishi wawili wa habari wa Kipalestina katika maandamano ya amani yaliyoandaliwa katika mji wa Al-Khalil (Hebron) unaokaliwa kwa mabavu na utawa huo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474997 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02
TEHRAN (IQNA)- Harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami zimesisitiza ulazima wa kuafikiana na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) kuhusu mpango wa pamoja wa kitaifa wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474978 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Fatwa Palestina limetoa wito kwa umma kote Palestina kujitokeza kuulinda Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474952 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/20
Katika safari ya rais wa Israel nchini UAE
TEHRAN (IQNA)- Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel jana alifika Abu Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo alifanya mazungumzo mtawala wa Abu Dhabi Mohammad bin Zayed.
Habari ID: 3474872 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliwaua raia Wapalestina wasiopungua 357 mwaka 2021 huku jamii ya kimataifa ikiwa kimya kuhusu jinai hizo dhidi ya raia.
Habari ID: 3474754 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/02
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza njama zake haramu za Kuuyahudisha Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474749 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3474686 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imelaani vikali kitendo cha viongozi wa Imarati cha kumpokea nchini humo Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hiyo ni khiyana na usaliti kwa taifa la Palestina.
Habari ID: 3474670 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/13
TEHRAN (IQNA)- Mpalestina amekataa dola milioni tano za Kimarekani kutoka wa Wazayuni ambao walikuwa wanataka kumiliki nyumba yake katika mtaa wa Sheikh Jarrah mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474661 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10