Umoja wa Waislamu
        
        TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
                Habari ID: 3477660               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/09/27
            
                        Jinai za Israel
        
        Al-AQSA (IQNA)- Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali tena wameuvamia  na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israen   huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3477435               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/08/14
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wamelaani uvamizi wa mara kwa mara wa wanajeshi wa utawala haramu Israel na walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali kwenye jengo la Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem), na kuutaja utaratibu huo kuwa ni uvunjaji wa sheria za kimataifa.
                Habari ID: 3477376               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/08/03
            
                        Jinai za Israel
        
        Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali asubuhi ya leo wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
                Habari ID: 3477120               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/06/08
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kupigania ukombozi (muqawama) Palestina yameapa kuwa yatalipiza kisasi cha damu ya Sheikh Khader Adnan aliyefia shahidi ndani ya jela ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
                Habari ID: 3476946               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/05/02
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amelaani vikali uvamizi wa wanajeshi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
                Habari ID: 3476764               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/26
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ametoa tahadhari kutokana na wito wa waziri wa utawala wa Israel ambaye ametaka kuangamizwa kwa kijiji kizima cha Wapalestina.
                Habari ID: 3476657               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/04
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Mwanaume wa Kipalestina ameuawa shahidi na walowezi  Wazayuni Waisraeli siku ya Jumamosi katika eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
                Habari ID: 3476553               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/02/12
            
                        Jibu kwa jinai Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wazayuni saba waangamizwa Palestina kaskazini ya mji wa Al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala dhalimu wa Israel.
                Habari ID: 3476475               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/28
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)-Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi vijana watatu wa Kipalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3476216               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/08
            
                        Kombe la Dunia la Qatar
        
        TEHRAN (IQNA) - Mufti mkuu wa Oman amewashukuru Waislamu na wale wote ambao  wamekataa kuzungumza au kuhojiwa na na waandishi wa habari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa Kombe la Dunia la 2022 linaloendelea nchini Qatar.
                Habari ID: 3476163               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/28
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina Hamas ametoa wito kwa wananchi wa Palestina kuzidisha mapambano yao dhidi ya Wazayuni wavamizi wanaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu hasa mji  Al-Quds (Jerusalem)  ili kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini humo.
                Habari ID: 3476110               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/18
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi msichana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 19 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3476089               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/14
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- NMratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo Yanayokaliwa kwa Mabavu ametangaza katika ripoti yake kwamba mwaka huu wa 2022 ulikuwa mwaka wa umwagaji damu zaidi katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka 16 iliyopita.
                Habari ID: 3475973               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/10/22
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa utawala ghasibu wa Israel kuwazuia Waislamu kuingia katika Msikiti wa Nabii Ibrahim (AS) katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Al Khali (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3475925               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/10/13
            
                        Mapambano dhidi ya Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni mmoja wa ngazi za juu wa Lebanon amelaani baadhi ya tawala za Kiarabu kwa kurejesha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel, akisema makubaliano yao na Wazayuni hayana thamani yoyote ya kistratijia.
                Habari ID: 3475882               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/10/05
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al-Aqsa ya Indonesia iimelaani vikalia hatua ya hivi karibuni ya walowezi wa Kizayuni wa Israel kusherehekea mwaka mpya wa Kiyahudi katika Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Ibrahimi huko Al-Khalil (Hebron).
                Habari ID: 3475855               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/29
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Chama kikubwa zaidi nchini Jordan kimeonya kuhusu ongezeko la walowezi wa Kizayuni Waisraeli ambao wanatekeleza hujuma za kichochezi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem).
                Habari ID: 3475824               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/22
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) na kujeruhi takriban 21 kati yao wakiwemo watoto.
                Habari ID: 3475819               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/21
            
                        Umoja wa Kiislamu
        
        TEHRAN (IQNA) – Khatibu wa Kisunni wa Iraq anasema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za mifarakano kati ya mataifa ya Kiislamu ili kufikia malengo yake.
                Habari ID: 3475651               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/08/20