IQNA – Harakati ya Palestina ya Mapambano ya Kiislamu, Hamas, imelaani vikali uvamizi wa kichokozi uliofanywa na walowezi wa Kiyahudi katika eneo la msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, jijini Quds (Jerusalem) ikieleza kuwa ni sehemu ya juhudi za Israel za kufuta utambulisho wa Kiislamu wa eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3480781 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03
IQNA – Nchi kadhaa za Kiarabu zimelaani vikali kusambazwa kwa klipu iliyotengenezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) na walowezi wa Kizayuni wa Israel, inayoonyesha uharibifu wa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko katika al-Quds inayokaliwa kwa mabavu, na ujenzi wa hekalu la Kiyahudi mahali pake.
Habari ID: 3480568 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
Jinai za Israel
IQNA – Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vilizuia wito wa sala kusikika katika Msikiti wa Ibrahim mara 48 mwezi Desemba, Wizara ya Misaada na Masuala ya Kidini Palestina ilifichua jana.
Habari ID: 3479999 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Watetezi wa Palestina
IQNA-Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano mapya ya kila wiki katika mji mkuu Sana'a na miji kadhaa nchini humo kusisitiza uungaji mkono wao kwa Wapalestina wanaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel.
Habari ID: 3479868 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Jinai za Israel
IQNA - Mamia ya walowezi wa Kizayuni wamevamia eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu siku ya Jumapili, chini ya ulinzi wa wanajeshi wa Israel.
Habari ID: 3479625 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21
Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano yalifanyika katika maeneo tofauti ya Yemen siku ya Ijumaa kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na pia vitendo vya Waisraeli vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479395 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Mayahudi katika Qur'ani / 3
IQNA - Mzayuni ni Myahudi ambaye ana imani ya kufurutu ada kuhusu 'ubora wa juu zaidi' wa watu wa Mayahudi na kwamba warejee katika kile wanachodai ni "Nchi Ya Ahadi".
Habari ID: 3478913 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01
Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangaza kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake.
Habari ID: 3478779 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06
Jinai za Israel
IQNA - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) siku ya Jumatatu chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel ambao unakalia eneo hilo kwa mabavu.
Habari ID: 3478720 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maimamu wa Ijumaa kote Iran kuwa: Watu madhulumu na wenye nguvu wa Ghaza wameweza kuwaathiri walimwengu kwa mapambano yao.
Habari ID: 3478205 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama kubwa za maadui ni kuwatoa uwanjani wananchi wa Iran na kwamba Ukanda wa Gaza hivi sasa ni mfano wa wazi na wa kivitendo wa nguvu kubwa za wananchi huku akisisitiza kuwa historia haitasahau jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wanawake na watoto Wapalestina.
Habari ID: 3478174 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/09
Warsha
IQNA - Kuuawa shahidi kwa makamanda wa muqawama (harakati za Kiislamu za kupambana na mabeberu na Wazayuni) kunaongeza zaidi azma ya mapambano ya kukabiliana na Wazayuni na kusambaratisha ndoto yao, afisa wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina alisema.
Habari ID: 3478171 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/09
Watetezi wa Palestina
IQNA – Rabi au Kuhani wa Kiyahudi mwenye makazi yake nchini Marekani anasema utawala haramu wa wa Israel unatumia vibaya dini ya Kiyahudi ili kuendeleza ukatili na uvamizi wake katika ardhi za Wapalestina.
Habari ID: 3478024 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika kueleza mafanikio ya subira na kusimama kidete Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Watu wa Ghaza wameamsha dhamiri ya mwanadamu kwa subira yao.
Habari ID: 3477822 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01
Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) -Makumi kwa maelfu ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina waliandamana nchini Uingereza Jumamosi wakitaka kusitishwa kwa mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza. Mbali na Uingereza, maandamano kama hayo yamefanyika pia Ufaransa na Uswisi.
Habari ID: 3477810 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wapalestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina. Hayo yamejiri huku Umoja wa Mataifa ukitaka vita visitishwe mara moja.
Habari ID: 3477800 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28
Kadhia ya Palestina
LONDON (IQNA) - Wazayuni hawawakilishi Uyahudi na wanataka "kuwaangamiza" watu wa Palestina, kuhani mwenye makao yake nchini Uingereza anasema huku kukiwa na mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiwa yamesababisha vifo vya zaidi ya Wapalestina 7,000 wengi wakiwa ni wanawake, watoto na wazee.
Habari ID: 3477793 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel waliwashambulia waumini wa Kipalestina na waandishi wa habari huku mamia ya walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali wakiingia kwa lazima katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa huko Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3477682 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/02
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27
Jinai za Israel
Al-AQSA (IQNA)- Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali tena wameuvamia na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israen huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3477435 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/14