iqna

IQNA

Balozi na m wa kilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ame wa silisha kwenye Baraza Kuu la umoja huo rasimu ya azimio lililopendekez wa na Jamhuri ya Kiislamu la 'dunia isiyo na ukatili na vitendo vya kufurutu mpaka'.
Habari ID: 3462298    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/12

Taasisi moja ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imetaka m wa nazuoni mashuhuri wa Bahrain aachiliwe huru k wa ni anashikili wa kinyuma cha sheria na uta wa la wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3444271    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/07

Umoja wa Mataifa umelaani hatua ya baadhi ya wa nazuoni wa Saudi Arabia ya kutangaza kile wa lichotaja ku wa Jihad dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Wakristo nchini Syria.
Habari ID: 3385681    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/14

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amekataa kuuweka uta wa la haramu wa Israel kwenye orodha ya makundi na wa tu wa nao wa ua wa toto kiholela duniani.
Habari ID: 3312544    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/09

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linaloitaka serikali ya Myanmar ku wa pa haki kamili ya uraia Waislamu wa Rohingya.
Habari ID: 2663155    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01

Umoja wa Mataifa umeulaumu vikali uta wa la wa Kizayuni wa Israel k wa kuendelea kubomoa nyumba za Wapalestina katika eneo linalokali wa k wa mabavu la Ukingo wa Magharibi na kusema ku wa , kitendo hicho ni ukiukaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu.
Habari ID: 2615266    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05

Ayatullahil Udhma Nasser Makarem Shirazi mmoja wa maulama na wa nazuoni wa kub wa nchini Iran amekosoa vikali siasa za kindumakuwili za baadhi ya madola ya Mashariki ya Kati kuhusiana na matukio ya eneo hili likiwemo suala la kundi la kigaidi la Daesh.
Habari ID: 2614519    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/02