Vita dhidi ya ugaidi
IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, limevurumisha makombora ya balestiki kulenga ngome za magaidi wa Syria, waliohusika katika mashambulizi ya hivi karibuni nchini Iran, pamoja na kituo cha ujasusi cha Israel katika eneo la Kurdistan ya Iraq.
Habari ID: 3478201 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16
Muqawama
IQNA - Makamanda wa harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis walikuwa wapiganaji wakubwa waliopata ushindi dhidi ya ugaidi wa kimataifa.
Habari ID: 3478166 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08
Qur'ani Tukufu
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) inapanga kuandaa mashindano ya kila mwaka ya kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478064 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/20
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BAGHDAD (IQNA) - Washiriki katika mkutano wa kutetea Qur'ani Tukufu nchini Iraq wamesisitiza haja ya kutunga sheria za kimataifa zinazoharamisha kuvunjiwa heshima matakatifu ya kidini.
Habari ID: 3477350 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BAGHDAD (IQNA)- Wananchi wa Iraq waliokuwa na ghadhabu wameuvamia ubalozi wa Uswidi mjini Baghdad na kuchoma moto sehemu moja ya ofisi za ubalozi huo, kulalamikia kibali cha pili kilichotolewa na serikali ya Stockholm cha kuruhusu kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3477309 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/20
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maonesho ya Qur’ani Tukufu yamezinduliwa katika Chuo Kikuu cha Alkafeel katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3476632 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Mfawidhi wa Haram Takatifu za Al-Kadhimayn nchini Iraq, zaidi ya wafanyaziyara milioni 12 walitembelea eneo hilo takatifu alikozikwa Imam Kadhim (AS). Mjumuiko huo umefanyika kwa mnasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi mtukufu huyo.
Habari ID: 3476577 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17
Harakati ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Taasisi za Qur'ani nchini Iraq zinashinikiza nchi hiyo kuitaja siku moja katika kalenda kuwa 'Siku ya Qur'ani Tukufu.'
Habari ID: 3476529 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07
Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Iraq, Mohammed Shia' al-Sudani amemuenzi kamanda wa ngazi ya juu wa kupambana na ugaidi wa Iran, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na mwenzake wa Iraq, Abu Mahdi al-Muhandis, waliouawa katika shambulio la kigaidi la ndege zisizo na rubani za Marekani karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad miaka mitatu iliyopita, na kusema kuwa mauaji hayi yalikuwa "shambulio kali" dhidi ya uhuru na mamlaka ya kujitawala Iraq.
Habari ID: 3476365 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06
Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06
Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Katika mnasaba wa Krismasi, ambayo ni siku ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa Nabii Isa Masih bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-,, qari wa Iraq alisoma aya za Sura Al Imran ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476322 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28
Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Papa Francis, katika ziara ya kwanza ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alisafiri hadi Iraq mwezi Machi mwaka jana.
Habari ID: 3476271 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19
Shughuli za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Kozi ya kiwango cha juu ya Qur’ani Tukufu imeandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa Afrika wanaosoma sayansi ya Kiislamu katika vyuo vya Kiislamu vya mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3476030 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03
Hali ya Iraq
TEHRAN (IQNA)- Bunge la Iraq limeipasisha serikali ya Waziri Mkuu Mohammad Shia al-Sudani baada ya kuipigia kura ya kuwa na imani nayo.
Habari ID: 3475998 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28
Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Hatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amepongeza hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ya kushambulia ngome za magaidi wanaotaka kujitenga huko kaskazini mwa Iraq na kusema: Usalama wa Iran hauwezi kufumbumbiwa macho hata kidogo.
Habari ID: 3475858 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (PMU) kimegundi maroketi katika mji mtakatifu wa Karbala wakati siku ya Arbaeen inapokaribia huku idadi kubwa ya wafanyaziara wakiwa wamekusanyika kwenye mji huo mtakatifu.
Habari ID: 3475775 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13
Mgogoro wa kisiasa Iraq
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ilitoa tamko kuhusiana na matukio ya hivi majuzi nchini Iraq na kusisitiza kuwa: "Tehran daima inataka Iraq yenye utulivu, salama na yenye nguvu."
Habari ID: 3475708 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31
Mgogoro wa Iraq
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza haja ya kuhifadhiwa umoja wa kitaifa wa Iraq, akisema matatizo ya nchi hiyo yanapaswa kutatuliwa kwa njia za kisheria.
Habari ID: 3475702 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Khatibu wa Kisunni wa Iraq anasema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za mifarakano kati ya mataifa ya Kiislamu ili kufikia malengo yake.
Habari ID: 3475651 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq amesema uwanja huo umeandaliwa kupokea zaidi ya safari 200 za ndege kila siku kuanzia siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Safar unaotazamiwa kuanza Agosti 29.
Habari ID: 3475632 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16