Arbaeen
IQNA - Wizara ya mambo ya ndani ya Iraq imetangaza kuwashikilia wanachama 11 wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS).
Habari ID: 3479251 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09
Imam Ali (AS) Najaf, Iraq,
Siku ya Ashura inapokaribia, ua wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, ulifunikwa na zulia jekundu.
Habari ID: 3479122 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14
IQNA - Afisa mmoja anasema kauli mbiu ya maandamano ya mwaka huu ya Arbaien ilichukuliwa kwa kuzingatia ukandamizaji wa kikatili unaoendelea wa Israel dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3479003 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/23
Utawala katili wa Israel
Mwanazuoni wa Kiisalmi , iraq alilitaja wazo la kuhalalisha au kuanzisha uhusiano w kawaida kati ya nchi hiyo ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni kuwa jambo lisilowezekana.
Habari ID: 3478985 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/19
IQNA – Mshiriki mkongwe zaidi aliyewasili katika ibada ya Hija mwaka huu ni mwanamke kutoka Iraq.
Habari ID: 3478949 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08
Sala ya Idu
IQNA - Sala ya Idul Fitr katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ilishuhudia mahudhurio makubwa ya waumini na wafanyaziyara siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478671 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala hivi karibuni ilihitimisha awamu ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani, ambayo yamefanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478612 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01
Mapambano ya Kiislamu yaani Muqawama
IQNA - Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya al-Nujaba ya Iraq amesema harakati hiyo itaendelea kulenga ngome za utawala wa Kizayuni kwa lengo la kuonyesha mshikamano na Palestina.
Habari ID: 3478414 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26
Ugaidi wa Marekani
IQNA-Utawala wa Marekani unaendelea kulaaniwa kufuatia hujuma yake ya kigaidi iliyopelekea kuuawa shahidi Abu Baqer al-Saadi, mmoja wa makamanda wa muqawama wa Kiislamu nchini Iraq.
Habari ID: 3478325 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09
Siasa
IQNA-Serikali ya Iraq imelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Marekani dhidi ya maeneo kadhaa ya nchi hiyo na nchi jirani yake Syria na kusisitiza kuwa, hujuma hizo zimekiuka mamlaka ya kujitawala ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478297 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) katika mji wa Karbala nchini Iraq imetangaza tukio lake kubwa la Qur'ani, "Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kuhifadhi Qur'ani," ambayo itafanyika kama mashindano ya televisheni yaliyo wazi kwa wasomaji kutoka nchi zote.
Habari ID: 3478296 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03
IQNA - Siku ya 27 ya mwezi wa Hijri wa Rajab iliteuliwa kuwa Siku ya Kitaifa ya Kurani Tukufu nchini Iraq.
Habari ID: 3478283 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01
Siasa
IQNA - Kutumia neno "Israel" katika kuashiria utawala wa Tel Aviv kumepigwa marufuku katika vyombo vya habari vya Iraq, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3478213 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18
Vita dhidi ya ugaidi
IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, limevurumisha makombora ya balestiki kulenga ngome za magaidi wa Syria, waliohusika katika mashambulizi ya hivi karibuni nchini Iran, pamoja na kituo cha ujasusi cha Israel katika eneo la Kurdistan ya Iraq.
Habari ID: 3478201 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16
Muqawama
IQNA - Makamanda wa harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis walikuwa wapiganaji wakubwa waliopata ushindi dhidi ya ugaidi wa kimataifa.
Habari ID: 3478166 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08
Qur'ani Tukufu
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) inapanga kuandaa mashindano ya kila mwaka ya kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478064 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/20
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BAGHDAD (IQNA) - Washiriki katika mkutano wa kutetea Qur'ani Tukufu nchini Iraq wamesisitiza haja ya kutunga sheria za kimataifa zinazoharamisha kuvunjiwa heshima matakatifu ya kidini.
Habari ID: 3477350 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BAGHDAD (IQNA)- Wananchi wa Iraq waliokuwa na ghadhabu wameuvamia ubalozi wa Uswidi mjini Baghdad na kuchoma moto sehemu moja ya ofisi za ubalozi huo, kulalamikia kibali cha pili kilichotolewa na serikali ya Stockholm cha kuruhusu kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3477309 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/20
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maonesho ya Qur’ani Tukufu yamezinduliwa katika Chuo Kikuu cha Alkafeel katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3476632 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Mfawidhi wa Haram Takatifu za Al-Kadhimayn nchini Iraq, zaidi ya wafanyaziyara milioni 12 walitembelea eneo hilo takatifu alikozikwa Imam Kadhim (AS). Mjumuiko huo umefanyika kwa mnasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi mtukufu huyo.
Habari ID: 3476577 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17