IQNA – Qari kutoka Iraq, Indonesia na Afghanistan walishiriki katika siku ya nane ya toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed, inayofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482005 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA – Majina ya washiriki waliofanikiwa kufuzu katika kipengele cha vijana (chini ya umri wa miaka 16) katika toleo la tatu la Mashindano ya Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed nchini Iraq yametangazwa.
Habari ID: 3481938 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15
IQNA – Mutawalli wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) amesisitiza kuwa kulea na kukuza haiba au shakhsia ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu ni msingi wa kujenga jamii kamilifu na yenye fadhila.
Habari ID: 3481935 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14
IQNA – Qari au Msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, ameibuka mshindi wa kwanza katika toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3481902 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameisifu Iraq kwa kuwapokea mahujaji wa Kiirani wanaosafiri kuelekea nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3481819 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/19
IQNA – Jumamosi iliyopita, kikao cha kuandaa hati ya makubaliano ya ushirikiano katika shughuli za Qur'ani Tukufu kati ya Mkoa wa Khuzestan nchini Iran na Mkoa wa Basra nchini Iraq kimefanyika mjini Basra.
Habari ID: 3481563 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/25
IQNA – Maqari wa kike wa Qur’ani kutoka Dar-ul-Qur’an ya Astan ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) wameibuka washindi katika mashindano ya saba ya kitaifa ya wanawake wa Qur’ani nchini Iraq.
Habari ID: 3481531 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/17
IQNA – Waziri Mkuu wa Iraq, Muhammad Shia Al-Sudani, amesafiri hadi Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, kutembelea makaburi matakatifu baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge.
Habari ID: 3481509 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/13
IQNA – Mafanikio ya kihistoria katika sanaa ya hati za Kiislamu yamezinduliwa mjini Istanbul: Ni nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani iliyoandikwa kwa mkono, matokeo ya juhudi za miaka sita bila kukata tamaa.
Habari ID: 3481436 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA-Hafla ya kuvienzi vyuo vikuu vilivyofanya vyema pamoja na kamati ya majaji walioshiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya vyuo vikuu, yaliyopewa jina la "Al-Nur", imefanyika katika Chuo Kikuu cha Al-Ameed nchini Iraq.
Habari ID: 3481380 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/18
IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi wa Kituo cha Dar-ol-Qur'an cha Idara ya MfawidhiHaram Tukufu ya wa Imam Hussein (A.S).
Habari ID: 3481355 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11
IQNA – Baraza la Sayansi ya Qur’ani Tukufu linalohusiana na usimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) limezindua kozi ya tatu ya mafunzo kwa wasomaji wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481344 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08
IQNA – Msimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) huko Karbla, Iraq ametangaza kutolewa kwa stempu maalum ya kumbukumbu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1,500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3481215 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/11
IQNA-Mashindano ya 15 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'anI kwa “Wachamungu wa Qur'an wa Iraq” yamehitimishwa kwa heshima kubwa katika Msikiti Mtukufu wa Al-Askari ulioko Samarra, mnamo Jumamosi, tarehe 6 Septemba 2025
Habari ID: 3481192 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07
IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.
Habari ID: 3481174 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02
IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiiraqi ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi– PMU) ni takwa la watu wote wa Iraq.
Habari ID: 3481167 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01
IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya ya Kisayansi ya Qur’ani Tukufu chini ya usimamizi wa Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Abul-Fadhlil Abbas (AS).
Habari ID: 3481166 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01
IQNA – Mawkib za Kiirani zilitoa huduma kwa zaidi ya watu milioni 22 wakati wa Arbaeen mwaka huu, kulingana na afisa mmoja.
Habari ID: 3481146 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27
IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Habari ID: 3481121 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3481119 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22