iqna

IQNA

IQNA-Muungano wa viongozi wa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wamewataka wapiga kura kumkataa Makamu wa Rais Kamala Harris katika azma yake ya kuwania urais wa Marekani 2024 kutokana na sera yake ya kuunga mkono mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
Habari ID: 3479633    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22

Siasa
IQNA-Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imehitimisha mjadala kuhusu baraza jipya la mawaziri la serikali ya awamu ya 14 kwa kuidhinisha mawaziri 19 waliopendekezwa na Rais Masoud Pezeshkian.
Habari ID: 3479311    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/21

Siasa
IQNA-Daktari Masoud Pezeshkian leo alasiri amekula kiapo kama rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mbele ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge), na viongozi kutoka nchi zaidi ya 88 waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake.
Habari ID: 3479203    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30

Siasa
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ameutaja uchaguzi wa Rais wa Awamu ya 14 wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran kuwa ni wa mafanikio ya taifa katika mtihani muhimu. Ameyasema hayo leo mjini Tehran katika sherehe ya amemuidhinisha rasmi Rais wa Awamu ya 14 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian.
Habari ID: 3479196    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/28

Uchaguzi wa Iran
IQNA-Daktari Masoud Pezeshkian, akiwa na uzoefu wa muda mrefu kama mbunge na kama waziri wa afya, ametangazwa rasmi kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3479078    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Uchaguzi wa Rais wa Iran Mwaka 1445
Masoud Pezeshkian alipata kura nyingi katika duru ya pili ya uchaguzi siku ya Ijumaa, na kuwa rais wa tisa wa Iran.
Habari ID: 3479074    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Siasa
IQNA-Matokeo rasmi na ya mwisho ya duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati wa Iran yanaonesha kuwa zoezi hilo litaingia katika duru ya pili.
Habari ID: 3479031    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wananchi wa Iran kutosita hata kidogo kushiriki katika uchaguzi wa leo wa Rais.
Habari ID: 3479025    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

Uchaguzi wa Rais wa Iran
IQNA-Wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura ili kumchagua Rais mpya atakayemrithi Ebrahim Raisi aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta Mei 19 mwaka huu.
Habari ID: 3479024    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/28

Siasa
IQNA - Kwa kuzingatia uchaguzi wa 14 wa rais wa Iran, "Tamasha la Kigezo cha Utawala" kufanyika likipata msukumo kutoka kwa kazi tukufu ya hayati shahidi Ebrahim Raisi.
Habari ID: 3478969    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/16

Siasa
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepiga kura yake katika dakika za awali za upigaji kura kwa ajili ya awamu ya 12 ya Majlisi ya Ushauuri ya Kiislamu (Bunge) na awamu ya 6 ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi.
Habari ID: 3478434    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Uchaguzi wa Iran
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema: Maadui wa Iran ya Kiislamu wana hofu ya kushiriki kwa wingi kwa wananchi katika uchaguzi hapa nchini.
Habari ID: 3478428    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28

Maafisa wanaosimamia uchaguzi wa kwanza wa rais katika nchi iliyovurugwa kwa vita ya Libya wamethibitisha kuwa haiwezekani kuandaa uchaguzi huo Ijumaa hii kama ilivyopangwa na kupendekeza uahirishwe kwa mwezi mmoja.
Habari ID: 3474706    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22

TEHRAN (IQNA)- Duru ya tano ya uchaguzi wa Bunge nchini Iraq imefanyika huku uchaguzi huo ukiibua maswali matatu makuu na ya kimsingi kuhusiana na uchaguzi huo.
Habari ID: 3474419    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13

TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza, raia wa Qatar wamepiga kura Jumamosi Oktoba 3 katika uchaguzi wa bunge, ikiwa ni ishara ya kuendelea marekebisho ya kisiasa kwa lengo la kuwashirikisha wananchi katika utawala atika taifa hilo dogo lenye utajiri wa mafuta katika Ghuba ya Uajemi..
Habari ID: 3474377    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03

TEHRAN (IQNA)- Chama katika muungano tawala nchini Morocco kimepata pigo kubwa katika uchaguzi wa Bunge, kulingana na matokeo ya muda yaliyotangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afriika.
Habari ID: 3474275    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo amesema kuwa wananchi wa Iran ndio washindi halisi wa uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi huu katika mazingira ya maambukizi ya corona na matatizo ya kiuchumi na kwamba wamemfanya adui na vibaraka wake washindwe na kufeli.
Habari ID: 3474049    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28

TEHRAN (IQNA) - Viongozi mbali mbali duniani wanaendelea kumtumia salamu za pongezi Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3474024    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3474023    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kumalizika zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi huo ulioshirikisha mamilioni ya wapiga kura.
Habari ID: 3474022    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/19