iqna

IQNA

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilibadilisha m mpangilio mlingano wa mfumo wa kimataifa.
Habari ID: 3477838    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/04

Kimbunga cha Al Aqsa
Al-QUDS (IQNA) - Kiongozi mkuu wa zamani wa harakati ya Jihad Islami (Jihadi ya Kiislamu) ya Palestina amesisitiza kuhusu azma ya taifa la Palestina kutetea ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477837    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/04

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema machaguo yote dhidi ya utawala haramu wa Israel yapo mezani, huku akiuasa utawala huo wa Kizayuni usitishe mara moja uvamizi na mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477836    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika muendelezo wa mauaji ya raia yanayofanywa na utawala haramu wa Israel, ndege za kivita za utawala huo hivi karibuni zilishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi ya Jabalia iliyoko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza na kuua kwa umati zaidi ya raia mia moja wa Palestina na kujeruhi wengine zaidi ya mia tatu.
Habari ID: 3477833    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03

Waungaji mkono Wapalestina wanaodhulumiwa
LILONGWE (IQNA) - Kundi la Waislamu, wakiwemo wanafunzi chuo cha Kiislamu, walifanya maandamano nchini Malawi mauaji ya kimbari yanayotekelezwa wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477831    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Kimbunga cha Al Aqsa
BEIRUT (IQNA) - Israel ilianguka baada ya Harakati za Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina kuanzisha Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Oktoba 7 na haitanusurika kwa njia yoyote kwenye kinamasi chake katika Ukanda wa Gaza, afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah alisema.
Habari ID: 3477830    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Ali Barka, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina, ,Hamas , nje ya nchi amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unawaangamiza Wapalestina kwa umati kwa mabomu ya kisasa ya Marekani.
Habari ID: 3477829    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Jinai za Israel
GENEVA (IQNA) - Kamati ya haki za watoto ya Umoja wa Mataifa imeonya kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya watoto katika vita vinavyoendelea vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza, ikilaani vikali mauaji yanayotekelezwa na utawala huo dhidi watoto katika vita hivyo vya kikatili.
Habari ID: 3477828    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa katika mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza imefikia 52.
Habari ID: 3477827    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Kimbunga cha Al Aqsa
CAIRO (IQNA) – Sheikhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesifu ushujaa na ujasiri wa watu wa Ukanda wa Gaza katika kukabiliana na mashambulizi makali ya Israel.
Habari ID: 3477821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/31

Katika kuunga mkono operesheni ya "Kimbunga cha Al-Aqsa" inayotekelezwa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina, Shirika la Habari la Kimataifa la Habari la Qur'ani la Iran, IQNA, imetayarisha klipu ya wasomaji Qur'ani Tukufu wa Msri wakiwa wanasoma aya ya tano ya Surat Al-Isra.
Habari ID: 3477817    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/31

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Mhimili wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) uko macho na hautaruhusu utawala wa Kizayuni kuibua Nakba (maafa) tena dhidi ya ya watu wa Palestina, mchambuzi wa kisiasa wa Lebanon alisema.
Habari ID: 3477811    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/30

Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) -Makumi kwa maelfu ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina waliandamana nchini Uingereza Jumamosi wakitaka kusitishwa kwa mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza. Mbali na Uingereza, maandamano kama hayo yamefanyika pia Ufaransa na Uswisi.
Habari ID: 3477810    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo ya simu aliyofanya na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani kwamba, leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu na hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3477809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio lililopendekezwa na nchi za Kiarabu na kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kibinadamu haraka iwezekanavyo huko Ghaza.
Habari ID: 3477803    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wapalestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina. Hayo yamejiri huku Umoja wa Mataifa ukitaka vita visitishwe mara moja.
Habari ID: 3477800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) Maelfu ya waandamanaji wameendelea kujitokeza mitaani kulaani hujuma ya Israel dhidi ya Ghaza na kuonyesha kuwaunga mkono Wapalestina.
Habari ID: 3477799    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Habari ya serikali huko Gaza Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi tangu utawala haramu wa Israel ulipoanza kufanya mashambulio mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7 imepindukia 7000 huku makumi ya maelfu ya wengine wakiwa wamejeruhiwa au kutoweka.
Habari ID: 3477797    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Kimbunga cha Al-Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Akizungumzia mafanikio ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema: "Siku ya (Kimbunga) Tufani ya Al-Aqsa" inapaswa kuzingatiwa kuwa Siku ya Al Baraka kwa watu wa Palestina na Siku ya Nakba kwa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477794    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Kadhia ya Palestina
LONDON (IQNA) - Wazayuni hawawakilishi Uyahudi na wanataka "kuwaangamiza" watu wa Palestina, kuhani mwenye makao yake nchini Uingereza anasema huku kukiwa na mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiwa yamesababisha vifo vya zaidi ya Wapalestina 7,000 wengi wakiwa ni wanawake, watoto na wazee.
Habari ID: 3477793    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27