iqna

IQNA

mufti
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Tajikistan amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja katika ulimwengu wa Kiislamu ili kuiokoa Palestina kutokana na ukandamizaji na kukaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478277    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa al-Quds (Jerusalem) na Palestina amelaani kitendo cha hivi karibuni cha walowezi wa Kizayuni cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu katika Ukingo wa Magharibi wa Mji wa Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3477871    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Moscow alionyesha kuunga mkono uamuzi wa Rais wa Russia Vladimir Putin wa kutambua maeneo yaliyojitenga ya Lugansk na Donetsk mashariki mwa Ukraine kama jamhuri huru.
Habari ID: 3474965    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23

Mufti wa Misri
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Misri amesema Fatwa nyingi ambazo hutolewa na wale wenye misimamo mikali nay a kufurutu ada na ambazo huharibu sura ya Uislamu halisi hutokana na ufahamu mbovu wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474696    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19

TEHRAN (IQNA)- Hujuma dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kandahar, Afghanistan imelaaniwa vikali na Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar na Mufti wa Misri.
Habari ID: 3474430    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar Misri na Mufti Mkuu nchini humo wametoa taarifa na kulaani vikali hujuma ya kigaidi ya Ijumaa dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia ambapo watu takribani 100 wameuawa.
Habari ID: 3474399    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili ametoa wito kwa Ummah wa Kiislamu duniani kuungana na kuwatetea Waislamu wa India.
Habari ID: 3474358    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA) Mufti Mkuu wa Uganda anayefungamana na mrengo wa 'Kibuli Hill' mjini Kampala, Sheikh Silman Kasule Ndirangwa alitangaza kujiuzuli wadhifa huo Alhamisi iliyopita.
Habari ID: 3473787    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA) – Mufti wa Quds (Jerusalem) amelaani vikali hatua ya Walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa mjini humo na kuweka nembo ya Kiyahudi ya Menorah katika msikiti huo.
Habari ID: 3473464    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17

Janga la corona
TEHRAN (IQNA) –Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amesema sala zote katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ziswaliwe katika majumbani kutokana na janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472679    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu nchini Russia sasa imefika watu milioni 25 kati ya watu milioni 145 nchini humo, amesema Mufti Mkuu wa Russia Sheikh Rawil Gaynetdin.
Habari ID: 3471421    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/08

TEHRAN (IQNA)-Mufti Mkuu wa Misri Shawqi Ibrahim Abdel-Karim Allam amesema Imam Ali AS alitabiri kudhihiri kundi la kigaidi la ISIS zaidi ya miaka 1400 iliyopita.
Habari ID: 3470935    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/15

Mufti katika kasri ya ufalme wa Saudia amesisistiza kuwa kusherehekea Maulid ya Mtume Muhammad SAW ni shirki lakini akasema ni wajibu kusherehekea maadhimisho ya kuanza kutawala ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3470582    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27

Waziri wa Mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa jibu kwa matamshi ya kijahili na dharau yaliyotolewa hivi karibuni na mufti mkuu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3470553    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/08

Mufti Mkuu wa Tunisia amesema kuwa mirengo yenye kufurutu ada na makundi ya kitakfiri kama ISIS au Daesh ni tishio kuu kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3386403    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/17

Wanazuoni wa Kiislamu leo wamemaliza kikao chao Misri ambapo wamejadili ‘fatwa za misimamo mikali’ ambazo zimekuwa zikitolewa na makundi ya kigaidi hasa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS).
Habari ID: 3345846    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18

Mufti Mkuu wa Quds
Mufti Mkuu wa Palestina ametoa wito wa kuhukumiwa wakuu wa wutawala wa Kizayuni wa Israel katika duru za kimataifa.
Habari ID: 3335935    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/27

Mufti wa Tunisia Sheikh Hamda Saeed amewaomba radhi Watunisia baada ya kubaini kuwa alifanya kosa kwa kutangaza mapema siku kuu ya Idul Ftir.
Habari ID: 3330378    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/20

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi na kusema kesi hiyo haikuzingatia taratibu za mahakama.
Habari ID: 3304307    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17

Sheikh Shawki Ibrahim Abdulkarim Allam Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ni kundi hatari mno na kusisitiza kwamba kundi hilo la kitakfiri na kigaidi halifungamani kabisa na matukufu ya dini ya Kiislamu na lina fikra na uelewa potofu kuhusiana na dini ya Kiislamu.
Habari ID: 2846216    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/13