IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya walowezi wa Kizayuni, akieleza kuwa eneo hilo takatifu ni “urithi wa Kiislamu usiogawika wala kujadiliwa kwa namna yoyote.”
Habari ID: 3480916 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08
IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kwamba kuhifadhi Qur’ani Tukufu hakupaswi kuishia katika kurudia na kukariri pekee, bali kunapaswa kuwa mchakato wa makusudi unaoambatana na kutafakari maana ya aya.
Habari ID: 3480778 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02
IQNA – Mufti Mkuu wa al-Quds na Maeneo ya Palestina ametoa wito wa kukusanywa kwa nakala za Qur'ani ambazo hazijaidhinishwa rasmi.
Habari ID: 3480574 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21
Diplomasia
IQNA – Hujjatul Islam Mohseni Qomi, Mkuu wa Masuala ya Kimataifa katika Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alisifu misimamo ya Mufti Mkuu wa Russia kuhusu masuala ya kimataifa na kikanda.
Habari ID: 3479871 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Mazungumzo
IQNA - Mufti Mkuu wa Misri alisisitiza kwamba mazungumzo kati ya dini ni muhimu ili kukabiliana na changamoto za kimataifa na kufikia kuishi pamoja kwa amani.
Habari ID: 3479536 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04
Uteuzi
IQNA - Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi amemteua Mufti Mkuu mpya wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Katika amri, alimteua Sheikh Nazir Mohamed Ayyad kama Mufti wa Misri kwa muhula wa miaka minne.
Habari ID: 3479273 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili alielezea mshangao wake kwamba Waoman ndio waliohusika na shambulio baya la kigaidi katika msikiti wa Shia karibu na Muscat.
Habari ID: 3479146 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/19
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Tajikistan amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja katika ulimwengu wa Kiislamu ili kuiokoa Palestina kutokana na ukandamizaji na kukaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478277 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa al-Quds (Jerusalem) na Palestina amelaani kitendo cha hivi karibuni cha walowezi wa Kizayuni cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu katika Ukingo wa Magharibi wa Mji wa Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3477871 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Moscow alionyesha kuunga mkono uamuzi wa Rais wa Russia Vladimir Putin wa kutambua maeneo yaliyojitenga ya Lugansk na Donetsk mashariki mwa Ukraine kama jamhuri huru.
Habari ID: 3474965 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23
Mufti wa Misri
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Misri amesema Fatwa nyingi ambazo hutolewa na wale wenye misimamo mikali nay a kufurutu ada na ambazo huharibu sura ya Uislamu halisi hutokana na ufahamu mbovu wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474696 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19
TEHRAN (IQNA)- Hujuma dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kandahar, Afghanistan imelaaniwa vikali na Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar na Mufti wa Misri.
Habari ID: 3474430 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar Misri na Mufti Mkuu nchini humo wametoa taarifa na kulaani vikali hujuma ya kigaidi ya Ijumaa dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia ambapo watu takribani 100 wameuawa.
Habari ID: 3474399 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili ametoa wito kwa Ummah wa Kiislamu duniani kuungana na kuwatetea Waislamu wa India.
Habari ID: 3474358 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29
TEHRAN (IQNA) Mufti Mkuu wa Uganda anayefungamana na mrengo wa 'Kibuli Hill' mjini Kampala, Sheikh Silman Kasule Ndirangwa alitangaza kujiuzuli wadhifa huo Alhamisi iliyopita.
Habari ID: 3473787 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06
TEHRAN (IQNA) – Mufti wa Quds (Jerusalem) amelaani vikali hatua ya Walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa mjini humo na kuweka nembo ya Kiyahudi ya Menorah katika msikiti huo.
Habari ID: 3473464 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17
Janga la corona
TEHRAN (IQNA) –Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amesema sala zote katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ziswaliwe katika majumbani kutokana na janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472679 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu nchini Russia sasa imefika watu milioni 25 kati ya watu milioni 145 nchini humo, amesema Mufti Mkuu wa Russia Sheikh Rawil Gaynetdin.
Habari ID: 3471421 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/08
TEHRAN (IQNA)-Mufti Mkuu wa Misri Shawqi Ibrahim Abdel-Karim Allam amesema Imam Ali AS alitabiri kudhihiri kundi la kigaidi la ISIS zaidi ya miaka 1400 iliyopita.
Habari ID: 3470935 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/15
Mufti katika kasri ya ufalme wa Saudia amesisistiza kuwa kusherehekea Maulid ya Mtume Muhammad SAW ni shirki lakini akasema ni wajibu kusherehekea maadhimisho ya kuanza kutawala ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3470582 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27