iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473444    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11

Mwanazuoni wa Lebanon
TEHRAN (IQNA) – Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislamu wa Madhehebu ya Shia Lebanon Ayatullah Abdul-Amir Qabalan amelaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina Waislamu na Wakristo na kuongeza kuwa, kuanzisha uhusiano na Israel ni haramu.
Habari ID: 3473429    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/06

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel kumuua shahidi kijana M palestina aliyekuwa na umri wa miaka 14.
Habari ID: 3473427    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/06

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameeleza bayana kuwa kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni sehemu ya ndoto ya muda mrefu ya kisiasa ambayo wamekuwa nayo viongozi wa utawala wa Aal Saud.
Habari ID: 3473426    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/05

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani kauli aliyotoa waziri wa biashara, viwanda na utalii wa Bahrain kuhusu azma ya nchi yake ya kununua bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kwenye Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473421    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/04

TEHRAN (IQNA) - Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha maazimio matano ya kuunga mkono Palestina na miinuko ya Golan ya Syria.
Habari ID: 3473417    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03

TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Wananchi wa Palestina na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kukabiliana na hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel unaouwa watoto.
Habari ID: 3473415    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/02

TEHRAN (IQNA) - Mfalme Mohammad VI wa Morocco amesema nchi yake itaendelea kuunga mkono Wa palestina hadi watakaporejeshewa haki zao zote hasa kuanzishwa nchi huru ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Quds (Jerusalem) Mashariki.
Habari ID: 3473411    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Mfalme wa Bahrain na wenzake aliofuatana nao wameingia msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), unaokaliwa kwa mabavu na Israel, kwa kujificha wakihofu wasije wakatambuliwa na Wa palestina .
Habari ID: 3473409    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/30

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia waziri mkuu wa zamani wa Sudan Sadiq al-Mahdi na kumtaja kuwa muungaji mkono mkubwa wa Palestina aliyepinga uanzishwaji uhusiano wowote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473399    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27

TEHRAN (IQNA) - Mchezaji wa zamani wa timu ya soka ya taifa ya Argentina Diego Maradona, aliyefariki Jumatano 25 Novemba akiwa na umri wa miaka 60 alikuwa muungaji mkono mkubwa wa Palestina.
Habari ID: 3473396    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/26

TEHRAN (IQNA) - Utawala dhalimu wa Israel hatimaye umelazimika kumuachilia huru Maher al Akhras mateka wa Ki palestina ambaye alikabiliana pakubwa na utawala huo.
Habari ID: 3473395    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/26

TEHRAN (IQNA) - Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu janga la COVID-19 kusambaratisha mfumo wa afya katika eneo la Palestina la Ghaza, ambalo limezingirwa kinyama na Israel.
Habari ID: 3473389    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/24

Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamini Netanyahu na baadhi ya maafisa wa Shirika la Ujasusi la Israel (MOSSAD) wamefanya ziara ya siri kwa wakati mmoja na Mike Pompeo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani.
Habari ID: 3473385    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ameongoza ujumbe wa ngazi za juu wa serikali ya Manama kutembelea utawala haramu wa Israel ambao uko katika ardhi za Palestina ambazo unazikalia kwa mabavu.
Habari ID: 3473373    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutokana na uungaji mkono wake kwa ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wa palestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473364    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/16

TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kutetea haki za binadamu yameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe hujuma zake za kijeshi dhidi ya Ukanda wa Ghaza na uwalipe fidia wakulima uliowaharibia mashamba yao.
Habari ID: 3473356    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13

TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Saeb Erekat ameaga dunia leo baad ya kuumbukizwa corona.
Habari ID: 3473347    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa ikilaani uhalifu unaoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel wa kubomoa nyumba na taasisi za Wa palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473346    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemtaka rais mteula wa Marekani Joe Biden aufutilie mbali mpango wa Marekani-Wazayuni wa Muamala wa Karne, uliojaa njama na hila kwa madhara ya Wa palestina .
Habari ID: 3473341    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08