iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Operesheni ya kubadilisha mateka wa vita baina ya harakati ya Ansarullah ya Yemen na muungano vamizi wa Saudi Arabia imeanza kutekelezwa leo Alkhamisi kwa kuachiwa huru mamia ya mateka wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3473261    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi limetekeleza shambulizi la ulipizaji kisasi dhidi ya kambi ya kijeshi ya Saudi Arabia na kuangamiza askari wasipopungua 10 wa kambi ya adui.
Habari ID: 3473201    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/24

Kiongozi wa Ansarullah nchini Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amewakosoa vikali watawala wa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kusema tawala hizo mbili ni wabebe bendera ya unafiki, upotoshaji katika umma wa Kiislamu na wavurugaji umoja wa umma wa Kiislamu
Habari ID: 3473171    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15

Katibu Mkuu wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa Saudi Arabia na Imarati ni vinara wa kambi ya unafiki.
Habari ID: 3473121    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/31

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, kujiweka mbali Waislamu na Uwalii wa Umma ndio sababu kuu ya matatizo uliyonayo Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3473048    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/09

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Majeshi ya Yemen amesema majeshi ya nchi hiyo yametekeleza oparesheni maalumu ndani kabisa ya ardhi ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3472891    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/23

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amelaani vikali jaribio la baadhi za tawala za Kiarabu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472788    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

TEHRAN (IQNA) - Majeshi ya Yemen yakishirikiana na kamati za Harakati ya Wananchi ya Answarullah yamefanikiwa kudhibiti eneo la Kufal, ambapo kuna kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia katika mkoa wa Ma'rib, katikati mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472577    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/18

TEHRAN (IQNA) – Jeshi la Yemen lime imetangza kuwa limeshambulia taasisi za shirika kubwa zaidi la mafuta la kusafisha mafuta Saudi Arabia la Aramco katika eneo la Jizan karibu na Bahari ya Sham.
Habari ID: 3472419    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/30

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametahadharisha hujuma ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, amani haiwezi kurejeshwa nchini humo kupitia nguvu za kijeshi.
Habari ID: 3472193    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/29

TEHRAN (IQNA) – Muungano wa kivita unaoonogzwa na Saudi Arabia umebomoa zaidi ya misikiti 1,024 tangu uanzishe vita dhidi ya Yemen mwaka 2015, amesema afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen.
Habari ID: 3471964    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/19

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Ansarullah ya Yemen imevurumisha kwa mafanikio kombora la Cruz na kulenga Abu-Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ikiwa ni jibu kwa jinai UAE dhidi ya watu wa Yemen
Habari ID: 3471293    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/03

Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imekanusha madai ya Saudia kuwa imeshambulia msikiti wa Makkah.
Habari ID: 3470642    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30

Abdul-Malik Badreddin al-Houthi
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema Marekani ndiyo iliyotoa amri ya kushambuliwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470574    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/21

Kiongozi wa Ansarullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema watawala madhalimu wanapanga njama za kudhoofisha umma wa Kiislamu kwa kuuweka mbali na thamani za misingi ya haki.
Habari ID: 3393529    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/25

Kiongozi wa Ansarullah Yemen
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema watu wa nchi yake watailinda ardhi yao na hawatatoa muhanga 'heshima' na 'uhuru' mbele ya hujuma zisizo na kikomo za Saudi Arabia.
Habari ID: 3385390    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/14

Kiongozi wa Ansarullah
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameashiria hatua ya Saudi Arabia ya kuwazuia mahujaji kutoka Yemen kushiriki katika ibada ya Hija na kusema, ‘Makka si milki ya Aal Saudi iwazuie mahujaji wa Yemen.’
Habari ID: 3365868    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/21

Abdul-Malik al-Houthi
Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen Abdul-Malik al-Houthi amesema adui wa wananchi wa Yemen mwishowe atashindwa tu. Aidha ameongeza kuwa utawala haramu wa Israel unafaidika na hujuma ya Saudia dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3338217    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/03

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesikitishwa sana kuhusu kuakhrishwa mkutano wa mazungumzo ya amani Yemen.
Habari ID: 3308524    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27

Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa nchi hiyo na kusema taifa la Yemen litaendelea kulinda haki zake dhidi ya wavamizi na kamwe halisalimu amri.
Habari ID: 3180156    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/20