ansarullah - Ukurasa 2

IQNA

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameeleza kuwa, utawala wa Kizayuni unakodolea macho ya tamaa maeneo yote yanayopakana na ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu yakiwemo ya Syria na Misri na kusema kuwa, Netanyahu anatumia vibaya matukio ya Syria ili kutimiza njama hizo za muda mrefu za Kizayuni.
Habari ID: 3479899    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen kwa mara nyingine tena amesisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Wapalestina katika kukabiliana na vita vya mauaji ya kimbari ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479441    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Waungaji mkono Palestina
IQNA - Harakati mashuhuri ya Yemen ya Ansarullah imesambaza video na picha za sherehe za Maulid ya Mtume Mtukufu (SAW) zilizofanyika kwenye sitaha ya meli ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479439    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15

Muqawama
IQNA- Badreddin Abdul Malik al-Houthi, kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba yake kuhusu hali mbaya ya hivi sasa ya Umma wa Kiislamu amesema kuna ulazima kufungamana na Mtume Muhammad (SAW0 Mtume na Qur'ani Tukufu, amesisitiza haja ya Waislamu kusoma na kuiga shakhsia ya Mtume (SAW).
Habari ID: 3479387    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06

Muqawama
IQNA - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Ghaza na ukimya na kutochukua hatua kwa baadhi ya nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3479284    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16

Muqawama
IQNA- Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, katika kipindi cha miaka yote hii, wakuu wa Kambi ya Muqawama wamethibitisha kwamba, jinai zinazofanywa na maadui haziwatetereshi hata kidogo, bali zinaongeza tu ari na moyo wao wa Jihadi na Muqawama.
Habari ID: 3479211    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02

Jinai za Israel
IQNA - Vikosi vya Yemen vitaendelea kulenga meli yoyote inayoelekea bandari zinazokaliwa kwa mabavu na Israel, bila kujali kama zinapitia Bahari ya Sham au la, kiongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawma)  ya Ansarullah alisema.
Habari ID: 3478838    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/17

Al Houthi
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Abdul-Malik al-Houthi anasema kulengwa kwa meli zinazohusishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kutaendelea katika Bahari ya Sham hadi Wapalestina walioko Gaza watakapoweza kupokea misaada.
Habari ID: 3478254    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Watetezi wa Palestina
IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuanza mchakato wa uhamasishaji wa vijana wanaojitolea kuenda kupigana katika vita vya Gaza pamoja na wapiganaji wa harakati za Kiislamu huko Palestina.
Habari ID: 3478070    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiisalmu (muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amezitaka nchi za Kiarabu na Ulimwengu wa Kiislamu kuwa na misimamo ya wazi katika kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3477890    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, lobi ya Wazayuni na waungaji mkono wake duniani kote wanataka kuyatenganisha mataifa ya Kiislamu na Qur'ani Tukufu na vilevile Mtume Muhammad (SAW) ili kuendeleza ajenda zao wenyewe.
Habari ID: 3477610    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Amani
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Ansarullah ya Yemen na Baraza la la Urais linaloungwa mkono na Saudi Arabia (PLC) wamewaachilia huru wafungwa wengi katika mabadilishano ya mwisho ya wafungwa 900 na hivyo kuongeza matarajio ya amani ya nchi nzima katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita vikali vinavyoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3476883    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, watu wanaoongoza jinai ya kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu na kulikariri hilo ni lobi za Wazayuni.
Habari ID: 3476789    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe kutoka Oman uko katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, kufanya mazungumzo na wanachama wa ngazi za juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah kuhusu kurefusha usitishaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa nchini Yemen.
Habari ID: 3476286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen alitoa wito kwa maafisa wa nchi za Magharibi kuacha kuivunjia heshima Qur'ani, Mtume Mtukufu (SAW) na matukufu mengine ya Kiislamu katika nchi hizo.
Habari ID: 3475902    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Hali ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Maadui wa Yemen wamo matatani kweli leo, amesema kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen na kuongeza kuwa wameshindwa katika jaribio lao la kuikalia kwa mabavu nchi hiyo.
Habari ID: 3475720    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama (mapambano) ya Ansarullah ya Yemen ameushauri muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia kuchukua fursa ya usitishaji vita ili kukomesha uvamizi wake dhidi ya Yemen sambamba na kusitisha mzingiro wake dhidi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475675    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Kiongozi wa Ansarullah Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
Habari ID: 3475598    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09