iqna

IQNA

ansarullah
Al Houthi
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Abdul-Malik al-Houthi anasema kulengwa kwa meli zinazohusishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kutaendelea katika Bahari ya Sham hadi Wapalestina walioko Gaza watakapoweza kupokea misaada.
Habari ID: 3478254    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Watetezi wa Palestina
IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuanza mchakato wa uhamasishaji wa vijana wanaojitolea kuenda kupigana katika vita vya Gaza pamoja na wapiganaji wa harakati za Kiislamu huko Palestina.
Habari ID: 3478070    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiisalmu (muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amezitaka nchi za Kiarabu na Ulimwengu wa Kiislamu kuwa na misimamo ya wazi katika kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3477890    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, lobi ya Wazayuni na waungaji mkono wake duniani kote wanataka kuyatenganisha mataifa ya Kiislamu na Qur'ani Tukufu na vilevile Mtume Muhammad (SAW) ili kuendeleza ajenda zao wenyewe.
Habari ID: 3477610    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Amani
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Ansarullah ya Yemen na Baraza la la Urais linaloungwa mkono na Saudi Arabia (PLC) wamewaachilia huru wafungwa wengi katika mabadilishano ya mwisho ya wafungwa 900 na hivyo kuongeza matarajio ya amani ya nchi nzima katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita vikali vinavyoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3476883    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, watu wanaoongoza jinai ya kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu na kulikariri hilo ni lobi za Wazayuni.
Habari ID: 3476789    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe kutoka Oman uko katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, kufanya mazungumzo na wanachama wa ngazi za juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah kuhusu kurefusha usitishaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa nchini Yemen.
Habari ID: 3476286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen alitoa wito kwa maafisa wa nchi za Magharibi kuacha kuivunjia heshima Qur'ani, Mtume Mtukufu (SAW) na matukufu mengine ya Kiislamu katika nchi hizo.
Habari ID: 3475902    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Hali ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Maadui wa Yemen wamo matatani kweli leo, amesema kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen na kuongeza kuwa wameshindwa katika jaribio lao la kuikalia kwa mabavu nchi hiyo.
Habari ID: 3475720    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama (mapambano) ya Ansarullah ya Yemen ameushauri muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia kuchukua fursa ya usitishaji vita ili kukomesha uvamizi wake dhidi ya Yemen sambamba na kusitisha mzingiro wake dhidi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475675    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Kiongozi wa Ansarullah Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
Habari ID: 3475598    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Muqawama
TEHRAN (IQNA) - Mwanachama mwandamizi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen Mohammad Ali al-Houthi amempongeza Katibu Mkuu wa Hizbullah Sayed Hassan Nasrallah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya kuasisiwa kwa harakati hiyo ya mapambano (muqawama) ya Kiislamu ya Lebanon.
Habari ID: 3475562    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu na kusema mapatano kama hayo yatatoa mwanya kwa utawala wa Tel Aviv kujipenyeza zaidi Asia Magharibi.
Habari ID: 3475269    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa, jeshi la Yemen na kamati za wananchi zitatoa jibu kali kwa ukiuka wa makubaliano ya kusitisha vita, akigusia vitendo viovu vya muungano wa vita unaoongozwa na Saudia huko Ma'rib.
Habari ID: 3475165    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/25

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani, utawala haramu wa Israel na Uingereza ndio wahandisi wa kushambuliwa na kukaliwa kwa mabavu taifa la Yemen tokea mwaka 2015 hadi sasa.
Habari ID: 3475076    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/26

TEHRAN(IQNA)-Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen ametoa ufafanuzi wa shambulio la ndege zisizo na rubani lililofanywa na jeshi la nchi hiyo ndani kabisa ya ardhi ya Saudi Arabia kujibu uchokozi na hujuma za kila leo wanazofanyiwa raia wa Yemen na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Riyadh.
Habari ID: 3475031    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/12

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, vita dhidi ya Yemen vinaendeshwa na adui katika medani kadhaa na kuwa miongoni mwa silaha zinazotumiwa na adui dhidi ya Yemen ni vikwazo, masuala ya kiuchumi, na kuzusha mifarakano baina ya wananchi wa Yemen.
Habari ID: 3474941    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani na utawala haramu wa Israel ni maadui nambari moja wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3474884    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/03