Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imekanusha madai ya Saudia kuwa imeshambulia msikiti wa Makkah.
Habari ID: 3470642 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30
Abdul-Malik Badreddin al-Houthi
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema Marekani ndiyo iliyotoa amri ya kushambuliwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470574 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/21
Kiongozi wa Ansarullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema watawala madhalimu wanapanga njama za kudhoofisha umma wa Kiislamu kwa kuuweka mbali na thamani za misingi ya haki.
Habari ID: 3393529 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/25
Kiongozi wa Ansarullah Yemen
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema watu wa nchi yake watailinda ardhi yao na hawatatoa muhanga 'heshima' na 'uhuru' mbele ya hujuma zisizo na kikomo za Saudi Arabia.
Habari ID: 3385390 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/14
Kiongozi wa Ansarullah
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameashiria hatua ya Saudi Arabia ya kuwazuia mahujaji kutoka Yemen kushiriki katika ibada ya Hija na kusema, ‘Makka si milki ya Aal Saudi iwazuie mahujaji wa Yemen.’
Habari ID: 3365868 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/21
Abdul-Malik al-Houthi
Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen Abdul-Malik al-Houthi amesema adui wa wananchi wa Yemen mwishowe atashindwa tu. Aidha ameongeza kuwa utawala haramu wa Israel unafaidika na hujuma ya Saudia dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3338217 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/03
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesikitishwa sana kuhusu kuakhrishwa mkutano wa mazungumzo ya amani Yemen.
Habari ID: 3308524 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27
Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa nchi hiyo na kusema taifa la Yemen litaendelea kulinda haki zake dhidi ya wavamizi na kamwe halisalimu amri.
Habari ID: 3180156 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/20
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara ya kwanza kabisa tokea yalipoanza mashambulio ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen amesikika akitoa kauli ya kutaka mashambulio hayo ya kijeshi yakomeshwe mara moja.
Habari ID: 3159650 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/17
Watu wasiopungua 137 wameuawa shahidi na wengine karibu 400 kujeruhiwa kufuatia hujuma za mabomu ndani ya misikiti miwili iliyokuwa imejaa waumini wakati wa sala ya Ijumaa katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a.
Habari ID: 3015829 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20