TEHRAN (IQNA)- Sekta ya bidhaa na huduma ‘Halal’ duniani ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 3 na inawakilisha moja ya sekta zenye mustakabali mwema.
Habari ID: 3474193 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15
Katika mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran na Nigeria zimekuwa zishikishirikiana vyema katika nyanja mbalimbali.
Habari ID: 3474164 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/06
TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
Habari ID: 3474142 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana usiku iliripoti taarifa ya kutolewa hukumu ya kuachiwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe.
Habari ID: 3474137 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imesema kiongozi wa harakati hiyo aliye gerezani, Sheikh Ibrahim Zakzaky, daima amekuwa akipigania Nigeria iliyoungana kama taifa moja.
Habari ID: 3474070 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/04
TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru bila ya masharti yoyote mwanazuoni huyo mtajika.
Habari ID: 3474033 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya wanafunzi 80 Waislamu nchini Nigeria wametekwa nyara katika shambulizi la watu waliokuwa na silaha huko Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo inayokumbwa na ukosefu wa usalama.
Habari ID: 3474018 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18
TEHRAN (IQNA) – Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) Afrika Magharibi, ISWAP, limethibitisha katika ujumbe wa sauti kwamba kinara wa kundi la kigaidi la Boko Haram la Nigeria, Abubakar Shekau amejiua na kuelekea jongomeo.
Habari ID: 3473987 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07
TEHRAN (IQNA)- Watoto wa shule moja ya Kiislamu wametkewa nyara na watu wasuojulikana ambao walishambulia shule yao katikati mwa Nigeria.
Habari ID: 3473964 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3473889 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/08
TEHRAN (IQNA)- Rais Muhamadu Buhari huhudhuria darsa za tafsiri ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473837 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21
TEHRAN (IQNA) – Maandamano yamefanyika katika mji mkuu wa Nigeria, ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
Habari ID: 3473822 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/17
SheikhAdam Ahmad Tsoho
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Nigeria inaogopa misimamo na fikra za Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo na hivyo haina nia ya kumuachilia huru.
Habari ID: 3473772 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/30
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani utekaji nyara wa wanafunzi zaidi ya 300 katika jimbo la Zamfara kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3473690 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/28
TEHRAN (IQNA) – Benki moja ya Kiislamu nchini Nigeria imezindua mpango wa kuwahimiza Waislamu kuweka akiba ya fedha za kutumika kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija ambayo ni katika nguzo za Uislamu.
Habari ID: 3473677 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23
TEHRAN (IQNA) Wanawake Waislamu nchini Nigeria wamemtaka rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari na magavana wa majimbo watunge sheria za kuwaadhibu wale wanaowabagua wanawake Waislamu kwa sababu tu wamevaa Hijabu.
Habari ID: 3473624 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05
TEHRAN (IQNA) – Mahakama ya Nigeria imeakhirisha tena hadi Machi 10 kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini iliyoanza kusikilizwa wiki hii bila ya yeye kuweko mahakamani.
Habari ID: 3473595 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/27
TEHRAN (IQNA) Polisi nchini Nigeria wamehujumu maandamano ya amani ya wananchi ya kupinga kusikilizwa kesi ya Sheikh Iibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3473592 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Nigeria imetakiwa imuachilie huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya mke wake, Malama Zeenat, kuambukizwa corona au COVID-19 akiwa anashikiliwa jela.
Habari ID: 3473583 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/23
TEHRAN (IQNA) -Msomi wa Kiislamu aliyeongoza mkakati dhidi ya misimamo mikali ya kidini, Sheikh Ahmed Lemu, ameaga dunia leo Alkhamisi akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3473486 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24