IQNA- Polisi nchini Nigeria wamewavurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamnaji waliokuwa wakimuunga kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anaendelea kuwekwa kizuizini kinyume cha sheria.
Habari ID: 3470815 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26
IQNA: Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Muhammad Sharafeddin aliyepata umaarufu kwa mbinu yake ya Ibtihal ameaga dunia.
Habari ID: 3470814 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26
IQNA:Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni (ISESCO) amesizitiza nafasi ya mji mtakatifu wa Mashhad katika ustawi wa utamaduni wa mwanadamu.
Habari ID: 3470813 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/26
IQNA-Magiadi wakufurishaji wa Boko Harm wamekithirisha kutumia watoto wadogo katika harakati zao za kigaidi ikiwemo kutekeleza mashambulizi ya mabomu.
Habari ID: 3470810 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/24
IQNA- Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha ujenzi wa wa nyumba mpya 566 za walowezi wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaoukalia kwa mabavu kinyume cha azimio la Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3470809 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/23
IQNA: Baada kuapishwa Donald Trump kama rais wa Marekani, Imamu aliyealikwa katika ibada maalumu alisoma aya za Qur’ani ambazo zilikuwa na ujumbe wa wazi kwa rais huyo na utawala wake.
Habari ID: 3470807 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/23
IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejibu mwaliko rasmi uliotumwa na Saudi Arabia kuhusu kushiriki katika mazungumzo kujadili kadhia kushiriki tena Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470801 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/18
IQNA-Shirika la kutetea haki za binadmau la Amanesty International limeitaka serikali ya Nigeria kumuachulia huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3470799 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/16
Rais Hassan Rouhani
IQNA- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani, ni msiba mkubwa ambao umepelekea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kupoteza tegemeo lake kubwa."
Habari ID: 3470798 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/16
IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitisha kikao cha nchi wanachama kujadili mauaji na mateso wanaofanyiwa Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3470792 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/12
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani.
Habari ID: 3470790 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/09
IQNA-Mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran umezinduliwa rasmi kama Mji Mkuu wa Utamaduni katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2017.
Habari ID: 3470781 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04
IQNA-Mabuddha wenye misimamo mikali na maafisa wa serikali ya Myanmar wamebuni mbinu mpya ya kuwabagua na kuwakandamiza Waislamu katika makazi na nyumba zao.
Habari ID: 3470780 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04
IQNA-Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesaini sheria itakayoimarisha nafasi ya Kenya kama kitovu cha mfumo wa fedha wa Kiislamu barani Afrika.
Habari ID: 3470779 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04
IQNA-Mashindano ya Qur'ani ya Waislamu wa Japan yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tokyo.
Habari ID: 3470778 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, iwapo ustawi wa sayansi katika taifa na nchi utaenda sambamba na malengo ya juu ya kimaanawi na kimapinduzi, jambo hilo litaandaa mazingira ya Iran kuwa kigezo kwa nchi za eneo hili na ulimwengu mzima wa Kiislamu.
Habari ID: 3470776 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/02
IQNA-Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameitaka serikali ya nchi hiyo kumuachilia huru kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3470775 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/02
IQNA-Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiyao imezinduliwa ncchini Malawi siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3470771 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/01
IQNA-Chuo Kikuu cha Sarajevo nchini Bosnia Herzegovina kimetangaza kitakuwa kikufungwa adhuhuri wakati wa Sala ya Ijumaa ili Waislamu chuoni hapo wahudhurie sala hiyo ya kila wiki.
Habari ID: 3470770 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/31
IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeutangaza mji wa Shiraz kusini mwa Iran kuwa mji mkuu wa vijana katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2017.
Habari ID: 3470769 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/31