iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA:Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran litajibu vitisho vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ijumaa ijayo.
Habari ID: 3470839    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07

Msomi wa Uingereza afichua
IQNA: Uingereza inaiuzia Saudia kiasi kikubwa cha silaha katika kutekeleza mpango wa Wazayuni wa kuanzisha vita vikubwa dhidi ya nchi za Waislamu Mashariki ya Kati, amefichua msomi mmoja London.
Habari ID: 3470838    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07

IQNA: Serikali ya Jordan imekosolewa vikali kwa kuondoa zaidi ya aya 290 za Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW katika vitabu vya shule nchini humo.
Habari ID: 3470837    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07

Mwanamke Mwislamu mkaazi wa Uhispania
IQNA: Bi. Bushra Ibrahimi ni Mwislamu mkaazi wa Uhispania ambaye anasema Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya wanakumbwa na masaibu mengi.
Habari ID: 3470836    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/06

IQNA-Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika Jumamosi katika mji wa Dar es Salaam, Tanzania kwa lengo la kuhimiza uvaaji vazi hilo la staha la mwanamke Mwislamu.
Habari ID: 3470834    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/05

IQNA-Mashindano ya 31 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Nigeria yameanza Ijumaa katika mji wa Ilorin jimboni Kwara magharibi mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470833    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04

IQNA-Kenya imeanzisha mkakati wa huduma za 'Halal' za kitalii kwa ajli ya ongezeko la watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470832    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04

Umoja wa Mataifa
IQNA-Umoja wa Mataifa umesema mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya wameuawa nchini Myanmar katika ukandamizaji wa miezi ya hivi karibuni katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3470831    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/03

Ubaguzi wa Trump
IQNA: Polisi nchini Marekani wamemtia mbaroni na kumfunga pingu mtoto wa miaka mitano Muirani katika hatua ya ubaguzi iliyojiri huko Uwanja wa Ndege wa Jimbo la Virginia.
Habari ID: 3470830    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02

IQNA: Kufuata hofu za hujuma za wenye chuki dhidi ya Uislamu, misikiti minne mikubwa nchini Uholanzi itafungwa wakati wa sala baada ya Waislamu sita kuuawa Canada walipokuwa wakiswali msikitini.
Habari ID: 3470828    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01

IQNA: Gaidi Mkristo aliyewaua Waislamu sita katika msikiti mmoja nchini Canada amebainika kuwa mfuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3470827    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01

IQNA-Ashraf al-Taish qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri ameibuka miongoni mwa wasomaji bora wa Qur'ani katika nchi hiyo ambayo ni chimbuko la wasomaji bora zaidi wa Qur'ani duniani.
Habari ID: 3470826    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01

IQNA-Serikali ya Austria imechukua hatua ya kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa aina ya hijabu inayofunIka uso wote, maarufu kama niqabu, katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3470825    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31

IQNA: Bangladesh imesema itatekeelza mpango wake tata wa kuwapalekea wakimbizi Waislamu kutoka Myanmar katika kisiwa kilicho mbali sana.
Habari ID: 3470824    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31

IQNA-Waislamu sita wameuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada.
Habari ID: 3470823    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amepongeza kujitolea kwa wahudumu waumini na mashujaa wa kikosi cha zimamoto katika tukio la kuungua na kuporomoka jengo la kibiashara la Plasco jijini Tehran.
Habari ID: 3470822    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/30

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Marekani kuzuia Waislamu kuingia nchini humo ikisema kuwa, huko ni kuuvunjia heshima waziwazi ulimwengu wa Kiislamu na taifa la Iran.
Habari ID: 3470821    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29

IQNA: Chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu zinaendelea kushika kasi Marekani huku msikiti mwingine ukiteketezwa moto katika katika jimbo la Texas.
Habari ID: 3470820    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29

IQNA-Rais mpya wa Gambia ametangaza kuwa nchi yake haitajulikana tena kama Jamhuri ya Kiislamu ya Gambia ikiwa ni katika kutekeleza ahadi ya kampeni zake za uchaguzi.
Habari ID: 3470819    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29

IQNA-Rais Omar al Bashir w Sudan ametoa madai yasiyo na msingi wowote kuwa eti Iran inaeneza madhehebu ya Shia barani Afrika.
Habari ID: 3470816    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/27