iqna

IQNA

russia
Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kongamano la kujadili masomo ya Qur'ani nchini Russia au Urusi limefanyika kama sehemu ya Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran.
Habari ID: 3478571    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Waislamu Russia
IQNA – Hafidh wa Qur'ani kutoka Russia amesema Waislamu nchini humo hawana kikomo katika shughuli zao za Qur'ani.
Habari ID: 3478475    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Waislamu Russia
IQNA - Kijana mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka 3.5 jela nchini Russia kwa kujunjia heshima nakala Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478430    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Utalii
IQNA - Idadi ya watalii Waislamu wanaozuru Russia iliongezeka mwaka 2023 kwa asilimia 15 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hii ni kulingana na Huduma ya Takwimu nchini humo.
Habari ID: 3478244    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24

Diplomasia
MOSCOW (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478004    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
MOSCOW (IQNA)- Russia imetangaza kwamba inajitahidi kuandaa taarifa ya kimataifa katika Umoja wa Mataifa ya kulaani vitendo vyote kudhalilishwa au kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na Uislamu, mwanadiplomasia wa nchi hiyo amesema.
Habari ID: 3478001    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MOSCOW (IQNA) - Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Moscow yalimalizika Ijumaa huku mwakilishi wa taifa mwenyeji, yaani Russia, akitwaa tuzo ya kwanza.
Habari ID: 3477874    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11

Watetezi wa Qur'ani
MOSCOW (IQNA) – Mkutano wa shakhsia wa Kiislamu na Kikristo nchini Urusi (Russia) ulifanyika mjini Moscow kulaani vitendo vya hivi majuzi vya kufuru na kuilenga Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
Habari ID: 3477374    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Jamhuri ya Chechnya yenye mamlaka ya ndani katika Shirikisho la Russia ametenga zawadi ya Ruble milioni 10 za Kirusi ambazo ni sawa na dola 168,000 za Kimarekani kwa atakayefanikisha kukamatwa akiwa hai, askari wa jeshi la Ukraine aliyeivunjia heshima Qur'ani tukufu kwa kuichoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu.
Habari ID: 3476730    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Tarjuma ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Maktaba ya Kitaifa ya Russia imeandaa hafla siku ya Alhamisi kumkumbuka na kumuenzi marehemu mwanahistoria wa mashariki na mtarijumani wa Qur'ani Tukufu kwa Kirusi Ignatius Krachkovsky.
Habari ID: 3476721    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Mazungumzo ya Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) Hujjatul Islam Mohammad Mehdi Imanipour na Patriaki Kirill wa Moscow wamefanya mazungumzo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3476612    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Maseneta wa Russia wamelitaka Bunge la Ulaya kukemea hadharani vitendo vya hivi karibuni vya kuvunjiwa heshima wa Qur'ani nchini Uswidi na Uholanzi.
Habari ID: 3476509    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04

Uislamu nchini Urusi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika eneo la Crimea nchini Urusi (Russia) utazinduliwa katika mji wa Simferopol mwaka ujao, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476327    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 18 la kimataifa linalofanyika kwa anuani ya "Uislamu, Uadilifu na Mlingano, Misingi ya Dini na Nidhamu ya Ulimwengu" umeanza rasmi katika mji mkuu wa Russia, Moscow na kufunguliwa kwa salamu za Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476223    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 20 Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yalizinduliwa Ijumaa katika mji mkuu huo wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3476115    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/5
TEHRAN (IQNA) -Valeria Porokhova ameandika mojawapo ya tafsiri bora zaidi za Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3476097    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16

Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ( Hamas ) umefanya mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Kiislamu na Kikristo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3475786    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mikhail Gorbachev, kiongozi wa mwisho wa Muungano wa Jamhuri za Kisoshalisti za Sovieti (Union of Soviet Socialist Republics, USSR) alifariki dunia Agosti 30 2022 katika hospitali moja mjini Moscow, Russia akiwa na umri wa miaka 91 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3475719    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Waislamu Russia
TEHRAN (IQNA)- Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Rais wa Jamhuri ya Chechenya ndani ya Shirikisho la Urusi amesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo anaiehsmu sana Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475553    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jioni ya jana ​​(Jumanne) alifanya mazungmzo na Rais Vladmir Putin wa Russia na ujumbe aliofuatana nao hapa mjini Tehran, ambako amelitaja suala la Syria kuwa muhimu sana na kusema: Suala jingine muhimu katika kadhia ya Syria ni uvamizi wa Wamarekani na kukaliwa kwa mabavu ardhi zenye rutuba na zenye utajiri mkubwa wa mafuta za mashariki mwa Furati (Euphrates), na suala hili linapaswa kupatiwa ufumbuzi kwa kufukuzwa Wamarekani kwenye eneo hilo.
Habari ID: 3475519    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/20