IQNA – Kutoka katika ulimwengu wa mitindo mjini Moscow hadi katika mapambano na kifo, maisha ya mwanamke wa Kirusi, Lyudmila Anufrieva, yalichukua mkondo mkubwa na hatimaye yakamfikisha katika Uislamu, ambapo alianzisha taasisi ya Mila For Africa Foundation, inayosaidia watoto wasiojiweza nchini Senegal.
Habari ID: 3480937 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13
Diplomasia
IQNA – Hujjatul Islam Mohseni Qomi, Mkuu wa Masuala ya Kimataifa katika Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alisifu misimamo ya Mufti Mkuu wa Russia kuhusu masuala ya kimataifa na kikanda.
Habari ID: 3479871 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Waislamu Russia
IQNA - Maonyesho ya 'Ulimwengu wa Qur'ani' yamefunguliwa katika mji mkuu wa Russia siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479729 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itashiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani katika mji mkuu wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3479626 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amependekeza kuanzishwa kwa bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479467 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22
IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479195 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe za kufunga Tuzo ya Qur'ani Tukufu ya BRICS zilifanyika siku ya Ijumaa huko Kazan katika Jamhuri ya Tatarstan nchini Russia huku washindi wa mashindano hayo wakitunukiwa.
Habari ID: 3479193 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Waislamu Russia
IQNA-Serikali ya Russia imelegeza masharti ya kanuni zinazohusu maombi ya raia wa kigeni wanaoomba uraia, na itaruhusu mwanamke wa Kiislamu kutumia picha za paspoti zinazomuonesha akiwa amevaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478767 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/04
Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kongamano la kujadili masomo ya Qur'ani nchini Russia au Urusi limefanyika kama sehemu ya Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran.
Habari ID: 3478571 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25
Waislamu Russia
IQNA – Hafidh wa Qur'ani kutoka Russia amesema Waislamu nchini humo hawana kikomo katika shughuli zao za Qur'ani.
Habari ID: 3478475 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09
Waislamu Russia
IQNA - Kijana mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka 3.5 jela nchini Russia kwa kujunjia heshima nakala Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478430 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29
Utalii
IQNA - Idadi ya watalii Waislamu wanaozuru Russia iliongezeka mwaka 2023 kwa asilimia 15 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hii ni kulingana na Huduma ya Takwimu nchini humo.
Habari ID: 3478244 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24
Diplomasia
MOSCOW (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478004 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
MOSCOW (IQNA)- Russia imetangaza kwamba inajitahidi kuandaa taarifa ya kimataifa katika Umoja wa Mataifa ya kulaani vitendo vyote kudhalilishwa au kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na Uislamu, mwanadiplomasia wa nchi hiyo amesema.
Habari ID: 3478001 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MOSCOW (IQNA) - Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Moscow yalimalizika Ijumaa huku mwakilishi wa taifa mwenyeji, yaani Russia, akitwaa tuzo ya kwanza.
Habari ID: 3477874 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11
Watetezi wa Qur'ani
MOSCOW (IQNA) – Mkutano wa shakhsia wa Kiislamu na Kikristo nchini Urusi (Russia) ulifanyika mjini Moscow kulaani vitendo vya hivi majuzi vya kufuru na kuilenga Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
Habari ID: 3477374 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Jamhuri ya Chechnya yenye mamlaka ya ndani katika Shirikisho la Russia ametenga zawadi ya Ruble milioni 10 za Kirusi ambazo ni sawa na dola 168,000 za Kimarekani kwa atakayefanikisha kukamatwa akiwa hai, askari wa jeshi la Ukraine aliyeivunjia heshima Qur'ani tukufu kwa kuichoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu.
Habari ID: 3476730 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19
Tarjuma ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Maktaba ya Kitaifa ya Russia imeandaa hafla siku ya Alhamisi kumkumbuka na kumuenzi marehemu mwanahistoria wa mashariki na mtarijumani wa Qur'ani Tukufu kwa Kirusi Ignatius Krachkovsky.
Habari ID: 3476721 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17
Mazungumzo ya Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) Hujjatul Islam Mohammad Mehdi Imanipour na Patriaki Kirill wa Moscow wamefanya mazungumzo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3476612 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Maseneta wa Russia wamelitaka Bunge la Ulaya kukemea hadharani vitendo vya hivi karibuni vya kuvunjiwa heshima wa Qur'ani nchini Uswidi na Uholanzi.
Habari ID: 3476509 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04