iqna

IQNA

Uislamu nchini Urusi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika eneo la Crimea nchini Urusi (Russia) utazinduliwa katika mji wa Simferopol mwaka ujao, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476327    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 18 la kimataifa linalofanyika kwa anuani ya "Uislamu, Uadilifu na Mlingano, Misingi ya Dini na Nidhamu ya Ulimwengu" umeanza rasmi katika mji mkuu wa Russia, Moscow na kufunguliwa kwa salamu za Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476223    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 20 Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yalizinduliwa Ijumaa katika mji mkuu huo wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3476115    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/5
TEHRAN (IQNA) -Valeria Porokhova ameandika mojawapo ya tafsiri bora zaidi za Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3476097    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16

Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ( Hamas ) umefanya mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Kiislamu na Kikristo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3475786    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mikhail Gorbachev, kiongozi wa mwisho wa Muungano wa Jamhuri za Kisoshalisti za Sovieti (Union of Soviet Socialist Republics, USSR) alifariki dunia Agosti 30 2022 katika hospitali moja mjini Moscow, Russia akiwa na umri wa miaka 91 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3475719    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Waislamu Russia
TEHRAN (IQNA)- Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Rais wa Jamhuri ya Chechenya ndani ya Shirikisho la Urusi amesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo anaiehsmu sana Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475553    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jioni ya jana ​​(Jumanne) alifanya mazungmzo na Rais Vladmir Putin wa Russia na ujumbe aliofuatana nao hapa mjini Tehran, ambako amelitaja suala la Syria kuwa muhimu sana na kusema: Suala jingine muhimu katika kadhia ya Syria ni uvamizi wa Wamarekani na kukaliwa kwa mabavu ardhi zenye rutuba na zenye utajiri mkubwa wa mafuta za mashariki mwa Furati (Euphrates), na suala hili linapaswa kupatiwa ufumbuzi kwa kufukuzwa Wamarekani kwenye eneo hilo.
Habari ID: 3475519    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/20

Benki za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Sheria mpya inaandaliwa nchini Russia ambayo itasimamia benki za Kiislamu nchini humo katika jitihada za kuvutia wawekezaji kutoka nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475510    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Wasimamizi wa Hija nchini Iran wamekutana na wenzao wa Russia mjini Makka na kufanya mazungumzo kuhusu njia za kuongeza ushirikiano wa pande mbili.
Habari ID: 3475464    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/05

TEHRAN (IQNA)- Takriban misikiti 7,500, imefunguliwa katika Shirikisho la Russia au Urusi katika kipindi cha miaka 33 iliyopita.
Habari ID: 3475336    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Russia wametangaza uungaji mkono jitihada za ukombozi wa taifa linalodhulumiwa la Palestina ambalo linakoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475220    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07

TEHRAN (IQNA)- Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa anasema kuwa upigaji kura wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kusimamisha uanachama wa Russia katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa unaonyesha juhudi za Marekani kudumisha msimamo wake wa kibeberu.
Habari ID: 3475100    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani imetenda jinai nyingi dhidi ya wananchi wa mataifa mbalimbali ya dunia na kuiamini nchi hiyo ni ujuha na ujinga.
Habari ID: 3475025    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/09

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inataka iwepo orodha ya silaha ambazo Ukraine haitaweza katu kuwa na nazo na wala hazitatengenezwa nchini humo.
Habari ID: 3475002    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03

TEHRAN (IQNA)- Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimekosoa vikwazo vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) dhidi ya Russia wakati shirikisho hilo linapuuza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hiyo ni ishara ya wazi ya undumakuwili.
Habari ID: 3474995    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA) –Sheikhe mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Ahzar nchini Misri ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusikiliza wito wa kumaliza vita kati ya nchi hizo mbili.
Habari ID: 3474984    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/27

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni makosa kwa baadhi ya nchi kutegemea uungwaji mkono na himaya ya Marekani, na kwamba kadhia ya Ukraine imethibitisha tena ukweli huo.
Habari ID: 3474977    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

TEHRAN (IQNA)- Rais Vladimir Putin wa Russia mapema Alhamisi amehutubia taifa katika televisheni na kutangaza kuwa, vikosi vya nchi yake vimeanza oparesheni maalumu ya kijeshi katika eneo la Donbass ambalo limetangaza kujitenga na Ukraine. Punde baada ya kutangaza oparesheni hiyo ya kijeshi, Putin ametaka kusitishwe 'muundo wa kijeshi' Ukraine na kuitaka nchi hiyo iweke chini silaha zake.
Habari ID: 3474970    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Moscow alionyesha kuunga mkono uamuzi wa Rais wa Russia Vladimir Putin wa kutambua maeneo yaliyojitenga ya Lugansk na Donetsk mashariki mwa Ukraine kama jamhuri huru.
Habari ID: 3474965    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23