iqna

IQNA

zakzaky
TEHRAN (IQNA) - Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) katika mji wa Mashhad Kaskazini Mashariki mwa Iran alimkaribisha Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kufanya mazungumzo naye siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477752    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky alikaribishwa kwa furaha na umati mkubwa wa watu mjini Tehran.
Habari ID: 3477718    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/12

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) amesema kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni hujuma dhidi ya mataifa ya Kiislamu katika sehemu tofauti za dunia na ametaka mataifa ya Kiislamu yasusie bidhaa za nchi zinazoidhinisha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477594    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/13

INM
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN) imekosoa kuendelea marufuku ya kusafiri iliyowekwa kwa kiongozi wake, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3476757    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Askari wa Jeshi la Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Hussein AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
Habari ID: 3475597    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amezungumza kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.
Habari ID: 3474642    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05

TEHRAN (IQNA)- Askari polisi nchini Nigeria Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua watu watatu na kujeruhi wengine wasiopungua 12.
Habari ID: 3474211    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/21

TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana usiku iliripoti taarifa ya kutolewa hukumu ya kuachiwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe.
Habari ID: 3474137    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29

TEHRAN (IQNA) – Mamia ya Waislamu wa Nigeria wameandamana Abuja wakitaka serikali imuachilie huru Kiongozi wa Haraakti ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3473239    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/07

TEHRAN (IQNA) - Maafisa wa polisi nchini Nigeria wamewashambulia Waislamu waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya maombolezo ya Muharram ya Imam Hussein AS, katika jimbo la Kaduna.
Habari ID: 3473097    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24

TEHRAN (IQNA) – Washiriki wa mkutano ulioandaliwa kwa njia ya video na Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) wamesisitiza kuwa serikali ya Nigeria inapaswa kuwajibishwa kuhusu mauaji ya mamia ya Waislamu katika hujjuma iliyojiri katika mji wa Zaria kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472910    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/29

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa taarifa kulalimikia hatua ya utawala wa nchi hiyo kuendelea kumshikilia korokoroni kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472374    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/15

TEHRAN (IQNA)- Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa anayesghulikia masuala ya hukumu zisizofuata sheria na pia mauaji ya kiholela, Agnes Callamard, ameilaani serikali ya Nigeria kwa kutekeleza mauaji na kutumia nguvu ziada dhidi ya Harakati ya Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3472112    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/03

TEHRAN (IQNA) - Hatimaye Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria leo ameondoka Abuja na kuanza safari ya kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu.
Habari ID: 3472081    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/13

TEHRAN (IQNA) - Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran wameandamana kulalamikia kuendelea kushikiliwa kushikiliwa kinyume cha sheria Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3472045    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/15

Taarifa ya Harakati ya Kiislamu Nigeria
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria linapanga njama ya kumua kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa katika kizuizi cha kijeshi.
Habari ID: 3471833    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/08

Amnesty International
Jeshi la Nigeria liliwaua mamia ya Waislamu nchini Nigeria na kuwazika katika kaburi la umati wakiwemo baadhi waliokuwa hai mwezi Desemba mwaka jana, imefichua Amnesty International.
Habari ID: 3470262    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/22

Kundi la wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Uingereza limeanzisha wimbi kubwa la malalamiko katika mitandao ya kijamii likitaka kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky
Habari ID: 3470261    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/21

Serikali ya Nigeria imekiri kuwazika Waislamu 347 wa madhehebu ya Shia katika kaburi la umati mwezi Desemba mwaka 2015.
Habari ID: 3470245    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/13

Mwanafunzi wa zamani wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amebainisha wasiwasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mwanazuoni huyo.
Habari ID: 3470243    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/12