TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al Wifaq ya Bahrain imetangaza ijumaa wiki hii kuwa ni ‘Ijumaa ya Ghadhabu’ kwa ajili ya kubainisha kuchikizwa na mpatano yaliyopfikiwa kati ya utawala haramu wa Israel na utawala wa Bahrain.
Habari ID: 3473175 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/16
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amekosoa vikali utiwaji saini wa mapatano ya uanzishwaji uhusiano wa kawaida baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Bahrain na utawala haramu wa Israel katika ikulu y White House nchini Marekani.
Habari ID: 3473174 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/16
Ayatullah Sheikh Isa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amesema kuanzisha uhusiano wa kawaida na kati ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kinyume cha matakwa ya wananchi katika nchi hizo.
Habari ID: 3473165 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa hatua ya kuanzishwa uhusiano rasmi wa kidiplomasia kati ya Bahrain na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, kitendo hicho ni cha fedheha na kudhalilisha.
Habari ID: 3473162 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/12
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wameulaani utawala wa Kifalme wa Bahrain kwa kuanzisha uhusiano na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473160 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/12
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya wasomi na wanazuoni 200 wa Kiislamu Jumanne ya jana walitoa fatwa inayoharamisha kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3473154 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wanaounga mkono Palestina wameandamana nje ya uwanja wa mpira wa Hampden Park, huko Glasgow, Scotland nchini Uingereza kulaani mechi iliyochezwa Ijumaa katika ya timu ya taifa ya Scotland na kalbu moja ya soka ya utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473140 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniya kwa mara nyingine tena amesisitiza udharura wa kuungana na kushirikiana makundi yote ya kisiasa na kijamii ya Palestina kwa lengo kuzima njama za maadui zao, yaani utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na baadhi ya tawala za kizandiki za Kiarabu.
Habari ID: 3473136 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/04
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tena suala la kuanzishwa uhusiano baina ya Imarati na utawala ghasibu wa Israel na kusisitiza kuwa: Jambo lililofanywa na kawaida kwa uhusiano huo ni kubinya shingo la Wapalestina kwa goti la Wazayuni.
Habari ID: 3473132 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniya, amefika nchini Lebanon kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27.
Habari ID: 3473130 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja hatua ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni kuwa ni kuusaliti Ulimwengu wa Kiislamu, Ulimwengu wa Kiarabu na nchi za eneo na kadhia muhimu ya Palestina.
Habari ID: 3473127 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01
Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Kiislamu amesema kwamba, kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ni haramu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473125 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na utawala wa Kizayuni wa Israel zimeafikiana kushirikiana kuanzisha vituo vya ujasusi katika eneo la kistratejia la Socotra huko Yemen.
Habari ID: 3473111 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/28
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok amemfahamisa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwamba Khartoum haiwezi kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473103 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/26
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza hujuma zake dhidi ya Ukanda wa Ghaza kwa kuwaua shahidi Wapalestina wanne.
Habari ID: 3473100 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/25
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Morocco Saad Eddine El Othman amesema nchi yake inapinga kuanzisha uhusiano wowote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473098 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wameanzisha mkakati wa kupinga uhusiano wa nchi yao na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473095 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/23
Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema kuwa, kuanzisha na kutangaza wazi kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel hakutauwezesha utawala huo ghasibu uendelee kubakia.
Habari ID: 3473086 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Tunisia waliokuwa na hasira wameandamana nje ya ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Tunis kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya UAE na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473085 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa: kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuisaliti Qurani Tukufu na kumpa mgongo Mtume wa Mwenyezi, Muhammad SAW
Habari ID: 3473078 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17