TEHRAN (IQNA)- Katika miezi ya hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la kutoweka na kuuawa Waislamu nchini Kenya na sasa viongozi wa Kiislamu nchini humo wanataka serikali itoe majibu.
Habari ID: 3474569 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17
TEHRAN (IQNA)- Lugha ya Kalenjin nchini Kenya inakadiriwa kuwa na wazungumzaji milioni 6.3 na sasa jamii hiyo kubwa kwa mara ya kwanza imepata Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha yao.
Habari ID: 3474557 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/14
TEHRAN (IQNA)- -Maelfu ya watu kutoka kote duniani wamehudhuria sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad SAW ambazo zimefanyika katika Kisiwa cha Lamu eneo la Pwani ya Kenya.
Habari ID: 3474508 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03
Mnamo 14 Dhul Hija 1442 Hijria Qamaria sawa na 25 Julai 2021, Waislamu wa Afrika Mashariki na maeneo mengine duniani walikumbwa na majonzi kufuatia kuaga dunia mwanazuoni mtajika wa Kiislamu na mfasiri wa Qur’ani Tukufu Alhaj Sheikh Hassan Mwalupa.
Habari ID: 3474408 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10
TEHRAN (IQNA)- Sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS imefanyika nchini Kenya katika Kituo cha Kiislamu cha Jaafari mjini Nairobi kwa himaya ya Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Kenya.
Habari ID: 3474032 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa Kenya wamebainisha malalamiko yao baada ya kubainika kuwa hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudi Arabia kutangaza kupiga marufuku Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo.
Habari ID: 3474030 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya wametangaza kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina hasa baada ya hujuma ya hivi karibuni ya utawala haramu wa Israel
Habari ID: 3473986 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya jana waliandamana katika mji mkuu, Nairobi na kubainisha uungaji mkono wao kwa Wapalestina ambao wanakabiliwa na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3473907 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa mji wa Lamu katika pwani ya Kenya wamejumuka na wenzao duniani katika kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika siku ya Ashura.
Habari ID: 3473120 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/31
TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi umefunguliwa baada kufungwa kwa miezi mitano kufuatia kuibuka janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473087 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20
TEHRAN (IQNA) – Kenya inatekeleza mkakati wa kuwa kituo na kitovu cha huduma za kifedha katika eneo zima la Afrika Mashariki na Kati mwa Afrika.
Habari ID: 3473061 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/12
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kenya imetangaza kuwa maeneo ya ibada yatafunguliwa tena nchini humo lakini kwa sharti la kuzingatia kanuni na sheria maalumu za kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472938 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/07
Taarifa ya Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina (KPSM) imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa Wapalestina wanakabiliana na virusi viwili hivi sasa.
Habari ID: 3472792 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/22
Corona Afrika Mashariki na Kati
TEHRAN (IQNA)- Huku ugonjwa wa corona au COVID-19 ukiendelea kuenea barani Afrika, nchi za bara hilo zinachukua hatua za kuzuia maambukizi zaidi.
Habari ID: 3472630 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/03
TEHRAN (IQNA) – Misikiti kadhaa muhimu katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi imefungwa kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472580 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/19
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Jamia katika mji wa Nairobi, Kenya umefungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu kuutembelea ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka wa 94 wa ujenzi wake.
Habari ID: 3472187 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/26
TEHRAN (IQNA) - Maafisa 10 wa polisi wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika kaunti ya Wajir, katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya.
Habari ID: 3472002 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/15
TEHRAN (IQNA)-Qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya ambaye ameshiriki katika Mashindano 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran amesema mashindano hayo yanaimarisha umoja baina ya Waislamu.
Habari ID: 3471920 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/18
Mwanafunzi wa Kenya aliyeshika nafasi ya kwanza
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ya kiwango cha juu sana ikilinganishwa na mashindano mengine yote duniani, amesema Abdulalim Abdulrahim Haji kutoka Kenya ambaye ameshika nafasi ya kwanza ya mashindano ya kuhifadhi Qur'ani maalumu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3471917 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/15
TEHRAN (IQNA) – Katika tukio ambalo limetajwa kuwa la kihistoria na la aina yake nchini Kenya, msikiti umejengwa katika sehemu ilimokuwa imejengwa kanisa baada ya askofu wa kanisa hilo kusilimu na wafuasi wake.
Habari ID: 3471849 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/22