TEHRAN (IQNA) – Muungano wa kivita unaoonogzwa na Saudi Arabia umebomoa zaidi ya misikiti 1,024 tangu uanzishe vita dhidi ya Yemen mwaka 2015, amesema afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen.
Habari ID: 3471964 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/19
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema makumi ya maelefu ya watoto Wa yemen wamekufa njaa tokea Saudia na waitifaki wake waanzishe vita angamizi dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
Habari ID: 3471855 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/27
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Bunge la Uingereza ambayo ilikuwa na jukumu la kuchunguza mauzo ya silaha za nchi hiyo mwaka 2017 imelaaniwa vikali kwa kupuuza uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia nchi ambayo inawaua raia kiholela katika vita vya Yemen.
Habari ID: 3471838 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/12
TEHRAN (IQNA)- Morocco imejiondoa katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3471836 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/10
TEHRAN (IQNA)- Watoto zaidi ya 84,700 wa Yemen wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa na utapiamlo, tangu Saudi Arabia ianzishe vita dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake zaidi ya miaka mitatu iliyopita.
Habari ID: 3471748 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/22
TEHRAN (IQNA) -Zaidi ya nusu ya Wa yemen , takribani watu milioni 14, wanakabiliwa na baada la njaa kutokana na hujuma ya kijeshi inayoongozwa na Saudia dhidi ya taifa hilo masikini zaidi katika bara Arabu.
Habari ID: 3471734 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/08
Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya Wa yemen sasa wanalazimika kula majani ya msituni kutokana na kusakamwa na baa la njaa ambalo limesababishwa na hujuma ya kivita ya Saudia dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu.
Habari ID: 3471675 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/16
TEHRAN (IQNA)- Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Matiafa UNICEF umelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya ndege za kivita za Saudia katika mkoa wa Hudaydha ambapo watoto 26 waliuawa.
Habari ID: 3471645 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/25
TEHRAN (IQNA)-Ndege za muungano vamizi wa Saudia zimeshambulia basi lililokuwa limebeba watoto ambao ni wanafunzi wa Qur’ani kati mji wa Dhahiyan wa jimbo la Saada na kuua makumi ya raia wengi wao wakiwa watoto wa shule.
Habari ID: 3471623 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA)-Katibu wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala wa Saudi Arabia dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Yemen ni nembo ya wazi ya haki za binadamu za 'Shetani Mkubwa' yaani Marekani.
Habari ID: 3471584 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/05
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameipongeza Malaysia kwa kuondoa askari wake katika muungano wa kijeshi unoongozwa na Saudia ambao umekuwa ukiwashambulia wananchi wasio na ulinzi Yemen tokea mwaka 2015.
Habari ID: 3471577 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/30
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limelaani hatua ya ndege za kivita za Saudi Arabia kudondosha mabomu katika kituo kimoja cha afya cha kuwatibu watu wenye kipindupindu nchini Yemen ambacho kinasimamiwa na shirika hilo.
Habari ID: 3471555 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/13
TEHRAN (IQNA)- Ndege za kivita za utawala dhalimu wa Saudia Arabia zimedondosha mabomu katika maeneo ya raia ya mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa Yemen nna kuua na kujeruhiwa raia 17 wakiwemo wanawake na watoto.
Habari ID: 3471440 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/22
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanakumbwa na jinamizi la mauti ambalo lilianza wakati Saudi Arabia, kwa himaya ya Marekani na Israel, ilianzisha hujuma dhidi ya nchi hiyo Machi 2015.
Habari ID: 3471310 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/15
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Ansarullah ya Yemen imevurumisha kwa mafanikio kombora la Cruz na kulenga Abu-Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ikiwa ni jibu kwa jinai UAE dhidi ya watu wa Yemen
Habari ID: 3471293 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/03
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa hatimaye umeiweka Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya nchi zinazokiuka haki za watoto duniani kutokana na mauaji yanayotekelezwa na Jeshi la Saudia na waitifake wake dhidi ya watoto wa Yemen
Habari ID: 3471207 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/07
Amnesty International
TEHRAN (IQNA)-Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International wamesema kuwa, bomu lililoua raia 16 wa Yemen wakiwemo watu wote wa familia ya mtoto Buthaina aliyenusurika shambulizi hilo, lilitengenezwa nchini Marekani.
Habari ID: 3471187 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/23
TEHRAN (IQNA)-Mamilioni ya Wa yemen wameandamana katika mji mkuu Sana'a na maeneo mengine nchini humo katika mwaka wa pili tokea Saudia ianzishe vita vya kinyama dhidi ya taifa hilo na zaidi ya 12,000 kupoteza maisha na mamilioni ya wengine wengi kupoteza makao.
Habari ID: 3470909 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/26
IQNA: Umoja wa Mataifa umeonya kuwa baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen ambapo mamilioni ya watu wakiwa katika hatari ya kupoteza maisha.
Habari ID: 3470866 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/23
Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imekanusha madai ya Saudia kuwa imeshambulia msikiti wa Makkah.
Habari ID: 3470642 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30