Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma ya kinyama ya Saudi Arabia katika jirani ya Yemen ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3277848 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/10
Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea hujuma zake za kikatili nchini Yemen na mara hii zimehujumu kwa mabomu msikiti wa kihistoria ujulikanao kama Masjid Imam Hadi AS katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3276823 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Mamilioni ya wananchi Waislamu wa Iran wameandamana kote nchini baada ya Sala ya Ijumaa kulaani jinai za utawala wa Saudia dhidi ya watu wa Yemen. Wananchi katika miji mikubwa kama vile Tehran, Qom, Mashhad na miji mingine 770 kote nchini.
Habari ID: 3276822 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kusitisha hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3269138 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/07
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia haijafikia malengo yake katika uvamizi wa kijeshi ilioanzisha huko Yemen.
Habari ID: 3262998 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/06
Saudi Arabia inaishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku. Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuna ushahidi kuwa Saudia imetumia mabomu yaliyopigwa marufuku katika hujuma zake za angani dhidi ya maeneo ya raia nchini Yemen. Mabomu hayo ya vishada yametengenezwa nchini Marekani.
Habari ID: 3251579 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/04
Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa nchi hiyo na kusema taifa la Yemen litaendelea kulinda haki zake dhidi ya wavamizi na kamwe halisalimu amri.
Habari ID: 3180156 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/20
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara ya kwanza kabisa tokea yalipoanza mashambulio ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen amesikika akitoa kauli ya kutaka mashambulio hayo ya kijeshi yakomeshwe mara moja.
Habari ID: 3159650 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/17
Ayatullah Rafsanjani
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Saudi Arabia haitofikia malengo yake kwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya wananchi wa Yemen.
Habari ID: 3156548 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen na kuitaja kuwa jinai huku akiuonya utawala huo kibaraka wa Marekani kuwa utapata hasara kubwa.
Habari ID: 3148169 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10
Watu wasiopungua 137 wameuawa shahidi na wengine karibu 400 kujeruhiwa kufuatia hujuma za mabomu ndani ya misikiti miwili iliyokuwa imejaa waumini wakati wa sala ya Ijumaa katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a.
Habari ID: 3015829 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20
Baadhi ya nakala za kale zaidi za Qur’ani duniani ambazo ni zama miaka ya awali ya Uislamu zimewekwa katika maonyesho.
Habari ID: 2917897 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/02
Kiongozi wa Harakati ya al-Huthi nchini Yemen, ametaka kulindwa umoja kati ya makundi ya kisiasa na kuwepo makubaliano na mshikamano wa kitaifa katika kukabiliana na njama za kigeni kwa ajili ya kutoa pigo kwa umoja nchini Yemen.
Habari ID: 2672152 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/05
Habari iliyochapishwa na gazeti la al Umanaa la Yemen kwamba rais wa zamani wa nchi hiyo Ali Abdullah Saleh alitwaa na kuchukua nakala ya Qur'ani iliyoandikwa kwa hati za mkono inayonasibishwa kwa Imam Ali bin Abi Twalib (as) imezusha mjadala mkubwa nchini humo.
Habari ID: 1377495 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/19