TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Maulamaa wa Yemen imetoa taarifa na kulaani vikali hatua ya Marekani kutangaza kuwa Harakati ya Mamapmbano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen ni kundi la 'kigaidi'.
Habari ID: 3473550 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/12
TEHRAN (IQNA)- Muhammad Ali al-Houthi, mjumbe wa Baraza la Kisisa la Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Marekani ndio chimbuko la ugaidi na kwamba, serikali ya sasa ya Donald Trump imekuwa ikitekeleza siasa na sera za kueneza ugaidi dunianii.
Habari ID: 3473546 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/11
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Afya ya Yemen imetangaza kuwa, watoto wachanga 100,000 hufariki kila mwaka nchini humo punde baada ya kuzaliwa kutokana na vita vinavyoendelea vya Saudia dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi katika Bara Arabu.
Habari ID: 3473478 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/21
TEHRAN (IQNA) – Yemen ni sehemu hatari zaidi kwa watoto duniani, amesema Henrietta Fore Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).
Habari ID: 3473453 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kumuweka balozi wa Marekani nchini Yemen katika orodha ya waliowekewa vikwazo na Iran.
Habari ID: 3473443 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/10
TEHRAN (IQNA) - Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa indhari kuhusu uwezekano wa mamilioni ya watu wa Yemen kupoteza maisha kutokana na njaa huku Saudi Arabia ikiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu.
Habari ID: 3473420 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/04
TEHRAN (IQNA) – Maandamano yamefanyika nje ya ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini London, Uingereza kulaani jinai za UAE nchini Yemen.
Habari ID: 3473418 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03
TEHRAN (IQNA) - Wakuu wa Yemen wametoa tahadhari kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayozidi kuwa mbaya nchini humo kutokana na vita vinavyoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu ambapo 'mtoto mmoja wa Yemen hupoteza maisha kila dakika 10'.
Habari ID: 3473416 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/02
TEHRAN (IQNA) – Yemen, ambayo inakabiliwa na hujuma ya kijeshi ya Saudia, sasa inaelekea katika baa kubwa zaidi la njaa kuwahi kushuhudiwa duniani kwa miongo kadhaa, ametahadharisha Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.
Habari ID: 3473379 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/21
TEHRAN (IQNA) - Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao makuu yake nchini Uingereza limesema nchi 20 zenye uchumi mkubwa zaidi duniani (G20) zimeiuzia Saudi Arabia silaha zenye thamani ya dola bilioni 17 tangu Riyadh ianzishe vita dhidi ya Yemen mwaka 2015, lakini nchi hizo wanachama wa kundi la G20 zimeipa Yemen thuluthi moja ya fedha hizo kama msaada.
Habari ID: 3473370 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/18
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa mamilioni ya watu wa Yemen, hasa wanawake na watoto, wanakabiliwa na baa la njaa huku Saudia ikiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi katika bara Arabu.
Habari ID: 3473355 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13
TEHRAN (IQNA) - Sehemu za Yemen zinakabiliwa na kiwango kikubwa cha utapiamlo kwa watoto, na nchi hiyo inaelekea kwenye baa kubwa la mgogoro wa usalama wa chakula.
Habari ID: 3473302 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema mashirika ya kijasusi ya nchi za Magharibi ndiyo ambayo yaliibua makundi ya magaidi wakufirishaji duniani.
Habari ID: 3473278 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/20
TEHRAN (IQNA) - Operesheni ya kubadilisha mateka wa vita baina ya harakati ya Ansarullah ya Yemen na muungano vamizi wa Saudi Arabia imeanza kutekelezwa leo Alkhamisi kwa kuachiwa huru mamia ya mateka wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3473261 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imeshindwa kujiunga na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kufuatia pingamizi la shirika moja la kimataifa.
Habari ID: 3473258 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/14
Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen amesema Marekani, Uingereza, Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ni watenda jinai katika eneo zima la Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3473246 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/10
TEHRAN (IQNA) -Baadhi ya duru za Saudi Arabia zimeripoti kuwa, wiki iliyopita Sudan ilipeleka mamia ya wanajeshi wake huko Yemen kupitia Saudia.
Habari ID: 3473227 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi limetekeleza shambulizi la ulipizaji kisasi dhidi ya kambi ya kijeshi ya Saudi Arabia na kuangamiza askari wasipopungua 10 wa kambi ya adui.
Habari ID: 3473201 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/24
Kiongozi wa Ansarullah nchini Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amewakosoa vikali watawala wa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kusema tawala hizo mbili ni wabebe bendera ya unafiki, upotoshaji katika umma wa Kiislamu na wavurugaji umoja wa umma wa Kiislamu
Habari ID: 3473171 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15