TEHRAN (IQNA)- Mohammed Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema pendekezo la amani la Saudia ‘halina jipya’ kwani halijumuishi takwa la Ansarullah la kuondolewa mzingiro kikamilifu dhidi ya Yemen hasa katika uwanja wa ndege wa Sana’a na bandari ya Hudaydah.
Habari ID: 3473757 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/24
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa Iran inaunga mkono mpango wowote wa kuleta amani Yemen.
Habari ID: 3473756 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/23
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kale wa Al-Aydarus katika mji wa Aden nchini Yemen ni kati ya misikiti ya kale mjini humo lakini sasa unakaribia kubomoka na kuangamia kutokana na kupuuzwa hasa katika kipindi hiki cha vita nchini humo.
Habari ID: 3473739 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/16
TEHRAN (IQNA) – Ndege za kivita zisizo na rubani (drone) za Jeshi la Yemen zimelenga maeneo muhimu ya kijeshi na kibiashara nchini Saudi Arabia katika fremu ya oparesheni za ulipizaji kisasi.
Habari ID: 3473704 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/05
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, harakati hiyo itaendelea kuishambulia miji na maeneo ya Saudi Arabia maadamu uko wa Aal Saud unaendelea kuishambulia miji ya Yemen.
Habari ID: 3473692 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/01
Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa watu wa nchi hiyo hawatawekwa chini ya mamlaka ya Saudi Arabia, Imarati, Marekani au utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473667 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/20
TEHRAN (IQNA)- Yemen inakabiliwa na baa kubwa la njaa ambalo linaweza kuvuruga jitihada mpya za kusaka amani katika nchi hiyo ambayo kwa miaka sita sasa imekuwa ikikabiliwan na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia na waitifaki wake,
Habari ID: 3473663 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/19
TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa serikali ya Yemen wanasema nchi yao hivi imo vitani, inashambuliwa kila uchao na muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia, hivyo ni haki ya kawaida kabisa kwa wananchi wa Yemen kujibu mashambulizi wanayofanyiwa.
Habari ID: 3473653 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/15
THERAN (IQNA)- Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Asarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Utawala wa Aal Saud unatumia viwanja vya ndege vya Saudia kutekeleza mashambulizi dhidi ya Yemen na kuyatahadharisha mashirika ya ndege kutotumia viwanja hivyo.
Habari ID: 3473642 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/11
TEHRAN (IQNA)- Italia imetangaza kusitisha uuzaji silaha zake kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutokana na jinai za kivita ambazo tawala hizo mbili zinafanya huko Yemen.
Habari ID: 3473603 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/30
TEHRAN (IQNA)- Familia mbili za Wa yemen zimewasilisha mashtaka dhidi ya Marekani baada ya jamaa zao 34, wakiwemo watoto 17 kuuawa katika hujuma za ndege za kivita za Marekani.
Habari ID: 3473601 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/29
TEHRAN (IQNA)- David Beasley Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani (WFP) amesema kuwa uamuzi Marekani dhidi ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ni sawa na kutolewa hukumu ya kifo kwa Wa yemen wasio na hatia.
Habari ID: 3473558 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Maulamaa wa Yemen imetoa taarifa na kulaani vikali hatua ya Marekani kutangaza kuwa Harakati ya Mamapmbano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen ni kundi la 'kigaidi'.
Habari ID: 3473550 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/12
TEHRAN (IQNA)- Muhammad Ali al-Houthi, mjumbe wa Baraza la Kisisa la Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Marekani ndio chimbuko la ugaidi na kwamba, serikali ya sasa ya Donald Trump imekuwa ikitekeleza siasa na sera za kueneza ugaidi dunianii.
Habari ID: 3473546 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/11
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Afya ya Yemen imetangaza kuwa, watoto wachanga 100,000 hufariki kila mwaka nchini humo punde baada ya kuzaliwa kutokana na vita vinavyoendelea vya Saudia dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi katika Bara Arabu.
Habari ID: 3473478 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/21
TEHRAN (IQNA) – Yemen ni sehemu hatari zaidi kwa watoto duniani, amesema Henrietta Fore Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).
Habari ID: 3473453 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kumuweka balozi wa Marekani nchini Yemen katika orodha ya waliowekewa vikwazo na Iran.
Habari ID: 3473443 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/10
TEHRAN (IQNA) - Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa indhari kuhusu uwezekano wa mamilioni ya watu wa Yemen kupoteza maisha kutokana na njaa huku Saudi Arabia ikiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu.
Habari ID: 3473420 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/04
TEHRAN (IQNA) – Maandamano yamefanyika nje ya ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini London, Uingereza kulaani jinai za UAE nchini Yemen.
Habari ID: 3473418 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03