Iran inatuma mahujaji zaidi ya 80,000 pamoja na kundi la wanaharakati wa Qur'ani, wanaojulikana kama Msafara wa Qur'ani wa Nur Katika Hija.
Msafara huo unaprogramu za Qur'ani, ikiwa ni pamoja na vikao ya kusoma Qur'ani kwa ajili ya Mahujaji katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
4219521