iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeushambulia kwa mabomu msikiti katika mkoa wa Amran nchini Yemen na kusababisha vifyo vya watu watano wa familia moja.
Habari ID: 3472144    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/23

TEHRAN (IQNA) -Magaidi kundi la al-Shabab wamedau kuua wanajeshi 23 wa Somalia katika hujuma dhidi ya kituo kimoja cha jeshi.
Habari ID: 3472143    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/22

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa msimamo wa baadhi ya nchi na asasi kuhusu shambulizi la ulipizaji kisasi la Jeshi la Yemen dhidi ya vituo vya kusafisha amfut aya petroli nchini Saudi Arabia na kusema, misimamo hiyo inaonyesha kuwa mafuta ya petroli yana thamani zaidi ya damu ya mwanadamu.
Habari ID: 3472141    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/21

TEHRAN (IQNA) – Misikiti 44 kote Afrika Kusini itafungua milango wazi kwa umma mnamo Septemba 24 katika Siku ya Turathi, ambayo lengo lake ni kuleta maelewano ya kijamii na kuunda taifa lenye kuwajumuisha wote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3472140    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/20

Inna Lillah wa Inna Ilayi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Watoto wasiopungua 27 wamepoteza maisha nchini Liberia baada ya madrassah ya yao ya bweni kuteketea moto nje ya mji mkuu Monrovia.
Habari ID: 3472139    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/19

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha kuhifadhi Qur'ani Tukufu maalumu kwa watu wenye ulemavu wa macho kimefunguliwa nchini Russia katika eneo la Dagestan mapema wiki hii.
Habari ID: 3472138    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, matembezi ya Arubaini yanaendelea kuchukua sura ya kimataifa na kuongeza kuwa: "Ujumbe wa Imam Hussein AS ni wa kuikomboa dunia kutoka katika utawala wa kambi ya ukafiri na uistikbari."
Habari ID: 3472137    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/18

TEHRAN (IQNA) Waislamu wasiopungua laki sita wa jamii ya Rohingya waliosalia nchini Myanmar wangali wanakabiliwa na hatari kubwa ya kuuliwa kwa kimbari.
Habari ID: 3472136    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kauli mpya zilizotolewa na Marekani kuhusu mazungumzo na akasisitiza kwamba: Viongozi wote wa Jamhuri ya Kiislamu wanakubalina kwa kauli moja kuwa, hayatafanywa mazungumzo na Marekani katika ngazi yoyote ile.
Habari ID: 3472134    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/17

TEHRAN (IQNA) – Rais Vladimir Putin wa Russia amenukulu aya kadhaa za Qur'ani Tukufu katika kutoa wito wa kumalizika vita dhidi ya Yemen ambavyo vilianzishwa miaka mitano iliyopita na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3472133    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/17

TEHRAN (IQNA) – Shirika moja la kutetea haki a binadamu limeitaka serikali ya China kuwaachilia huru watoto Waislamu wa jamii ya Uighur wanaoshikiliwa kinyume cha matakwa ya wazazi wao katika shule za bweni za serikali mkoani Xinjiang.
Habari ID: 3472132    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/16

TEHRAN (IQNA) - Rais Bashar al-Assad wa Syria ametoa amri ya msamaha au kupunguza vifungo kwa watuhumiwa ambao hawakufanya jinai kama za kuua watu nchini humo.
Habari ID: 3472131    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/16

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara za Kidini Iran Ali Reza Rashidian amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu Wairani kuanza tena kutekeleza Ibada ya Umrah.
Habari ID: 3472130    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/15

TEHRAN (IQNA) – Meya Mwislamu huko New Jersey nchini Marekani amesema alishikiliwa kwa muda katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa John F. Kennedy mjini New York mwezi uliopita ambapo maafisa wa usalama walimsaili kuhusu iwapo anawafahamu magaidi.
Habari ID: 3472129    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/14

Khatibu wa Swala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA) - Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameashiria mapambano ya Kiislamu (muqawama) na kusimama kidete wananchi wa Syria, Lebanon, Iraq, Bahrain na Yemen mbele ya mabebebu na waistikabari na kusisitiza kuwa, somo la Ashura na harakati ya Imam Hussein AS ni chimbuko la muqawama wa wananchi wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3472128    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/13

TEHRAN (IQNA) – Waalimu wametimuliwa katika shule moja huko Montreal, Canada baada ya kusistiza kuendelea kuva vazi la staha la Kiislamu, Hijab.
Habari ID: 3472127    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/12

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa kidini nchini Saudi Arabia amekamatwa baada ya kukosoa sera za ufalme za kuwakaribisha watumbuizaji wa kimataifa wanaoeneza ufasiki na ufisadi wa kimaadili.
Habari ID: 3472126    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/11

TEHRAN (IQNA) - Watu wanaoaminika kuwa wahalifu wazungu wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali ya kibaguzi wameuhujumu msikiti katika mji wa Brisbane, Australia.
Habari ID: 3472125    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/11

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Nigeria limeua Waislamu wasiopungua 12 waliokuwa katika maombolezo ya Siku ya Ashura (tarehe 10 Muharram) wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3472124    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema mbele ya mjumuiko mkubwa wa Waislamu katika maombolezo ya Siku ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS kwamba, vita vyovyote vile dhidi ya Iran vitakuwa na maana ya kuangamizwa na kufutwa katika uso wa dunia, dola pandikizi la Israel.
Habari ID: 3472123    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10