Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Ijapokuwa Imam Khomeini anajulikana kuwa kiongozi wa kimapinduzi na shakhsia wa kisiasa, alikuwa na shughuli na nadharia muhimu katika uga wa irfani (mysticism) na sayansi ya kidini. Aliarifisha irfani kama kama njia inayotokana na Qur'ani na Sunnah.
Habari ID: 3475323 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01
Qur'ani na kutafakari
TEHRAN (IQNA)- Wito wa kutafakri ni miongoni mwa mawaidha mazito katika dini ya Kiislamu na ni ya thamani na muhimu sana kiasi kwamba Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) amesema: “Saa ya kufikiri ina thamani zaidi kuliko miaka 60 ya ibada bila kufikiri”.
Habari ID: 3475309 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30
Sunni na Shia
TEHRAN (IQNA) - Imam Sadiq (AS) ni mmoja wa shakhsia mashuhuri wa elimu na sayanzi za Kiislamu katika nyanja mbalimbali kama vile fiqhi, tafsiri, maadili, jiografia, uchumi, unajimu, tiba na hisabati, ambapo wanafunzi wake waliibua uwezo mkubwa katika maendeleo ya elimu na sayansi katika kote katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475297 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26
Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Wakati fulani swali linazuka kuhusu namna Uislamu unavyoutazama umaskini na utajiri ni upi kwa mujibu wa aya za Qur'ani Tukufu na ni kipi chenye kuwa wa thamani. Lakini kwa kusoma vitabu vya Kiislamu inabainika wazi kwamba jibu la swali hili si rahisi sana.
Habari ID: 3475291 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24
TEHRAN (IQNA)- Hayya Alal Falah ni sehemu ya Adhana au wito wa Sala katika Uislamu na maana yake ni Haya njooni kwenye kufaulu, mafanikio au wokovu.
Habari ID: 3475252 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15
TEHRAN (IQNA)- Aliyekuwa nyota wa timu ya Soka ya Cameroon, Patrick Mboma amesilimu leo na kuchagua jina la Abdul-Jalil ambalo atalitumia akiwa Mwislamu.
Habari ID: 3475251 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14
TEHRAN (IQNA)-Twitter imeripotiwa 'kusimamisha kwa muda' akaunti ya kinara wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Uholanzi Geert Wilders kwa kukiuka sheria za jukwaa kuhusu matamshi ya chuki baada ya kushambulia Uislamu tena.
Habari ID: 3475170 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/26
TEHRAN (IQNA)-Maimamu wa Kishia ni kumi na wawili kutoka katika kizazi cha Mtume Muhammad SAW ambao kwa mujibu wa riwaya za kuaminika, ni warithi wa Mtume na baada yake wanatambulika kama Maimamu wa jamii ya Kiislamu. Mashia wanaamini kwamba Maimamu hawa wamechaguliwa na Mungu, lakini kwanini?
Habari ID: 3475037 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14
Waziri wa Teknolojia Pakistan
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Sayansi na Teknolojia Pakistan amesema soko la sekta halali duniani linastawi kwa kasi na yamkini pato lake likafika matrilioni ya dola katika mustakabli wa karibu.
Habari ID: 3474721 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/25
Mmarekani mfeministi aliyesilimu
TEHRAN (IQNA)- Theresa Corbin aliwahi kuwa mfeministi sugu nchini Marekani lakini baada ya kupata nuru ya uwongofu, aliondoka katika Ukristo na kusilimu na sasa anazungumzo kuhusu yaliyomvutia katika Uislamu.
Habari ID: 3474559 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/15
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Singapore imetangaza kupiga marufuku kitabu ambacho kina taswira zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474506 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/02
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar Misri na Mufti Mkuu nchini humo wametoa taarifa na kulaani vikali hujuma ya kigaidi ya Ijumaa dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia ambapo watu takribani 100 wameuawa.
Habari ID: 3474399 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Kozi ya mafunzo ya kidini imeandaliwa kwa pamoja baina ya Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu cha Iran kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Ujerumani cha Paderborn.
Habari ID: 3474178 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/10
TEHRAN (IQNA)- Bunge la Ufaransa jana Jumanne limeidhinisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473658 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17
Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria tofauti za kimsingi za mtazamo wa Uislamu na ulimwengu wa Magharibi mwa mwanamke na kusema kuwa,Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima ilihali mtazamo ulionea Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kumtazama kiumbe huyu kama bidhaa na wenzo.
Habari ID: 3473616 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03
TEHRAN (IQNA) - Wimbi kali la maandamano ya kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW Nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3473325 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03
TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameonekana kuanza kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Waislamu na sasa amelegeza msimamo wake mkali wa awali wa matamshi yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473319 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuchapishwa katuni zinazommvunjia heshima Mtume Muhammad SAW nchini Ufaransa na baada ya hapo matamshi ya Rais Macron wa nchi hiyo kutoa matamshi yenye chuki dhidi ya Uislamu, Waislamu kote duniani wameandamana kulaani vitendo hivyo huku wakiitaka bidhaa za Ufaransa zisusiwe.
Habari ID: 3473305 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja katika wilaya ya Vernon kaskazini mwa Ufaransa umepokea vitisho vya kushambuliwa huku chuki dhidi ya Uislamu ikishadidi nchini humo.
Habari ID: 3473304 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Wahadhiri katika Chuo cha Kiislamu cha Qum, nchini Iran imelaani vikali pendekezo la serikali ya Ufaransa la kuweka vizingiti katika harakati za Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3473250 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/11