Kiongozi wa Chuo Kikuu cha al-Azhar nchini Misri Ahmad al-Tayib, ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kufanyia marekebisho mitalaa ya elimu katika taasisi za elimu ili kupunguza wimbi la vijana kujiunga na makundi ya kigaidi.
Habari ID: 2891633 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/24
Rais Barack Obama wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo haina vita na Uislamu, bali inapambana na watu wanaoupotosha Uislamu.
Habari ID: 2876869 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/21
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati za kundi la kitakfiri na kigaidi la Daesh (ISIS) zinatekeleza kikamilifu malengo ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2862976 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu yanatuamrisha kuamiliana vyema, kwa insafu na uadilifu na wafuasi wa dini nyinginezo za mbinguni.
Habari ID: 2862975 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-Ki moon ambapo mbali na kulaani vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu ameambatanisha barua ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa vijana wa Ulaya na Amerika ya Kaskazini.
Habari ID: 2822425 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08
Mchezaji soka nchini Ujerumani Danny Blum ametangaza kusilimu na kuutaja Uislamu kuwa dini ya matumaini na nguvu.
Habari ID: 2779913 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/29
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa maafa makubwa yanayofanywa na makundi ya kigaidi kama lile la Boko Haram yanaathiri na kuumiza sana dhamira za wanadamu kote dunia.
Habari ID: 2771315 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/27
Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu duniani wanaendelea kulaani kitendo cha hivi karibuni cha jarida moja la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchora vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtumu Mtukufu wa Uislamu, Mohammad SAW.
Habari ID: 2766561 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/26
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kwa vijana wa Ulaya na Amerika Kaskazini akisema kuwa, matukio ya hivi karibuni nchini Ufaransa na matukio yanayoshabihiana na hilo katika baadhi ya nchi za Magharibi yamemlazimisha azungumze nao moja kwa moja.
Habari ID: 2747324 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22
Kansela wa Ujerumani Bi Angela Markel amesema kuwa, Waislamu wanaoishi nchini humo ni .miongoni mwa jamii ya Wajerumani
Habari ID: 2706291 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/13
Kutokana na ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu huko Malawi, Waislamu nchini humo wameanzisha kampeni ya kuwashawishi wafuasi wa dini nyinginezo kuzingatia msingi wa ‘kuishi pamoja kwa amani’ ili kuzuia uwezekano wa kuibuka malumbano ya kidini katika nchi hiyo ya kusini wa Afrika.
Habari ID: 2621819 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/18
Kongamano la Kimataifa la Kupambana na Ugaidi na Uchupaji Mipaka lililokuwa likifanyika katika taasisi ya al Azhar nchini Misri limesisitiza katika taarifa yake ya mwisho kuwa, makundi ya kitakfiri na yenye misimamo mikali hayana uhusiano wowote na Uislamu.
Habari ID: 2615265 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05
Utafiti umeonesha kuwa, jina la Muhammad linaongoza kuitwa watoto nchini Uingereza, ambapo jina hilo limeonekana kupewa watoto wengi zaidi wa kiume kati ya waliozaliwa mwaka huu wa 2014 nchini humo.
Habari ID: 2614518 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/02
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, ibada ya hija ni fursa bora kabisa kwa ajili ya kukabiliana na njama za kuitenganisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ulimwengu wa Kiislamu na nara yake ya ‘kukabiliana na shubha na propaganda zinazoenezwa na maadui wa Uislamu’ na kutoa jibu mwafaka kwa mahitaji ya kimaanawi na kifikra za mahujaji.
Habari ID: 1465135 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/28
Spika wa Bunge la Italia amesema kuwa, dini ya Kiislamu haipaswi kufungamanishwa na vitendo vya kufurutu mipaka vinavyofanywa na makundi ya kitakfiri na kigaidi kama vile Daesh na kusisitiza kwamba jamii ya kimataifa inapaswa kuelewa kwamba misingi ya dini ya Kiislamu ni kutangaza amani na upendo na inalaani ghasia na machafuko
Habari ID: 1461624 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/19
Misikiti na vituo vya Kiislamu katika mji wa la Inland ndani ya jimbo la California, vimeendelea na juhudi zao za kuwafahamisha watu kuhusu Uislamu wa asili ambao unapenda amani na utulivu.
Habari ID: 1460941 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/17
Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameyashambulia vikali makundi ya kigaidi na kitakfiri katika eneo la Mashariki ya Kati akisema kuwa makundi hayo yanaonyesha picha mbaya kwa dini tukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 1455492 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30
Wawakilishi wa Misri na Morocco wametia saini makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya kidini ikiwa ni pamoja na kubadilishana uzefu katika sekta ya uchapishaji na usambazaji wa nakala za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 1450407 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/15
Ayatullah Khatami
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, 'kundi la kigaidi la Daesh ni silaha mpya ya Marekani na madola mengine ya kibeberu inayotumiwa kwa lengo la kuvuruga usalama wa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 1422882 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/27