waislamu - Ukurasa 101

IQNA

Ripoti zinasema kuwa karibu miskiti yote 436 katika Jamhuri ya Afrika ya Kati imebomolewa kutokana na machafuko ya kidini.
Habari ID: 3008622   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/18

Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu hali waliyo nayo Waislamu wa kabila la Rohingya wa huko Myanmar.
Habari ID: 3001295   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/17

Mjumbe katika Baraza la Kaunti ya mji wa Kisumu magharibi mwa Kenya amekosoa uamuzi wa Mahakama Kuu kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu katika Kaunti ya Isiolo kuvaa Hijabu.
Habari ID: 2968360   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/12

Wanafunzi Waislamu katika jiji la New York wamekuwa wakikabiliwa na miamala ya kibaguzi na kuvunjiwa heshima kutokana na kuongezeka hisia za chuki dhidi ya dini Tukufu ya Uislamu nchini Marekani.
Habari ID: 2954393   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/09

Rais John Mahama wa Ghana amesema wanawake Waislamu nchini humo wana haki ya kuvaa vazi la Hijabu.
Habari ID: 2930968   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/05

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mkakati wa kuhakikisha inageuka na kuwa kitovu cha utalii halali kwa lengo la kuwavutia Waislamu milioni 15 kutoka maeneo mbali mbali duniani.
Habari ID: 2910925   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28

Waislamu nchini Marekani wameelezea wasi wasi wao kutokana na kuongezeka wimbi la ubaguzi na hujuma dhidi yao.
Habari ID: 2897132   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/25

Waislamu nchini Cuba wametoa wito wa kujengwa msikiti katika mji mkuu wa nchi hiyo, Havana.
Habari ID: 2877957   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: “Taifa la Iran daima limeonesha kuwa lina irada imara na lina uwezo na kuvunja njama za adui.”
Habari ID: 2869495   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/19

Kuuliwa vijana watatu wanachuo Waislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani ni kitendo kinachopaswa kulaaniwa na ni kiashiria kingine cha hatari kubwa ya kuenea kwa vitendo vya ukatili na uchupaji mipaka.
Habari ID: 2858484   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/16

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameeleza katika taarifa yake kuwa Waislamu watatu waliouawa hivi karibuni mjini Chapel Hill nchini Marekani walikuwa wakishiriki kwenye shughuli za utoaji misaada ya kibinadamu na ni wawakilishi wa thamani bora za uraia wa ulimwengu mzima.
Habari ID: 2851644   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/15

Serikali ya Myanmar imetangaza kuwa, Waislamu wa kabila la Rohingya hawana haki ya kupiga kura katika kura ya maoni ya katiba ya nchi hiyo.
Habari ID: 2846218   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/13

Maelfu ya watu wamehudhuria mazishi ya wanachuo watatu Waislamu ambao waliuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa Chapel Hill jimbo la Carolina Kaskazini.
Habari ID: 2846215   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/13

Kuongezeka vitendo vya ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa kumeendelea kulaaniwa na kukosolewa na jamii ya Waislamu sio tu nchini humo bali pia katika bara zima la Ulaya.
Habari ID: 2829282   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/09

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kujiepusha na ugaidi, misimamo mikali na utumiaji mabavu kwa kisingizio cha kulinda dini.
Habari ID: 2743220   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22

Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran Jumatatu wameandamana mbele ya Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kulaani hatua ya gazeti la Charlie Hebdo la Ufaransa ya kuchapishwa tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume wa Uislamu Muhammad (SAW).
Habari ID: 2736722   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/20

Katika mwendelezo wa chuki dhidi ya dini na matukufu ya Kiislamu, Marekani imepiga marufuku adhana katika Chuo Kikuu cha Duke nchini humo.
Habari ID: 2736720   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/20

Waislamu wa kila pembe duniani wameendelea kulaani vikali kitendo cha jarida linalochapishwa Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena picha za vikatuni vya kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 2720426   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/18

Kansela wa Ujerumani Bi Angela Markel amesema kuwa, Waislamu wanaoishi nchini humo ni .miongoni mwa jamii ya Wajerumani
Habari ID: 2706291   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/13

Stephen Le Foll, Msemaji wa serikali ya Ufaransa ametembelea na kukagua msikiti ulioko katika eneo la Port- la- Nouvelle kusini mwa nchi hiyo. Taarifa zinasema kuwa, msikiti huo ulishambuliwa kwa maguruneti matatu.
Habari ID: 2700801   Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/12