Nchini Kenya Jumuiya ya Mashekhe Waislamu Nairobi NMC wameanzisha msafara wa kuhubiri dhidi ugaidi na misimamo mikali miongoni mwa vijana Waislamu.
Habari ID: 3353707 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29
Shekhe Mkuu wa Al Azhar Sheikh Ahmed el-Tayeb amesisitiza kuhusu umuhimu wa kudumisha umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3351450 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25
Waislamu nchini Uganda wamezindua televisheni ya kwanza kabisa ya Kiislamu nchini humo na hivyo kuhuisha matumaini ya mwamko mpya baada ya sauti ya Waislamu kukandamizwa kwa muda mrefu na vyombo vya habari nchini humo.
Habari ID: 3351062 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24
Watu 10 wameuawa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) baada ya wanamgambo wa Kikristo kuwashambulia Waislamu. Imearifiwa kuwa mapigano hayo yamejiri katika eneo la Bambari, lenye Waislamu wengi, katikati mwa nchi hiyo lililo karibu na Mto Ouaka.
Habari ID: 3351057 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24
Slovakia imetangaza kuwa itawakubali tu wahajiri Wakristo wakati wa kuwachukua wakimbizi kutoka Syria.
Habari ID: 3350005 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/22
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuhusu udharura wa umoja baina ya Waislamu ili kukabiliana na njama hatari za utawala haramu wa Israel za kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa katika Mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3349556 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21
Waislamu wasiopungua 108,000 walipoteza maisha kutokana na maafa na vita katika nchi za Kiislamu na nchi ambazo Waislamu ni wachache kote duniani mwaka 2014.
Habari ID: 3345845 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Mhadhiri mmoja wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, hakuna tatizo lolote katika kuwakurubisha pamoja Waislamu wa madhehebu ya Suni na Shia.
Habari ID: 3345811 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Jimbo la Terengganu nchini Malaysia lina mpango wa kuanzisha chuo kikuu cha Qur’ani kwa mara ya kwanza nchini humo.
Habari ID: 3344933 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/16
Rais Hassan Rouhani wa Iran
Rais Rouhani amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na changamoto hizo ni kurejea kwenye umoja wa Waislamu duniani na kujitenga na mirengo iliyopotoka.
Habari ID: 3344480 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15
Waislamu nchini Ethiopia wamelaani uamuzi wa mahakama moja ya nchi hiyo ya kuwafunga jela miaka 22 wanaharakati 18 wa Kiislamu kwa tuhuma eti za ugaidi.
Habari ID: 3339480 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/05
TEHRAN (IQNA)- Mwezi moja baada ya kutangaza kuikumbatia dini tukufu ya Kiislamu, Emmanuel Adebayor, mchezaji soka mashuhuri Mwafrika nchini Uingereza ambaye sasa ni mshambuliaji wa Tottenham, amefafanua sababu zilizompelekea kusilimu.
Habari ID: 3338997 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04
Amnesty International
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) wamelazimika kuritadi na kuacha dini yao kutokana na kutishiwa maisha.
Habari ID: 3337640 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/01
Idadi ya misikiti duniani inakadiriwa kuongezeka na kufika takribani milioni nne ifikapo mwaka 2019.
Habari ID: 3336897 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/29
Ripoti zinaonyesha kuwa, idadi ya Waislamu katika mji mkuu wa Russia, Moscow inakuwa kwa haraka.
Habari ID: 3332166 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/22
Idara ya kuchunguza chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Baraza Kuu la Waislamu Ufaransa imeonya kuhusu ongezeko la kasi la hujuma za chuki dhidi ya Uislamu na vitisho dhidi ya Waislamu nchini humo katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
Habari ID: 3331842 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21
Kamati ya kuutafuta mwezi mwandamo katika Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza kuwa, Siku kuu ya Idul Fitr itaadhimishwa kesho Jumamosi nchini Iran na kwa msingi huo Ijumaa ya leo ni siku ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani nchini.
Habari ID: 3328911 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/17
Taasisi ya juu zaidi ya Waislamu Nigeria, Jama'atu Nasril Islam, JNI, imetangaza kupinga vikali takwa la kupigwa marufuku hijabu nchini humo baada ya baadhi ya magaidi kutumia vazi hilo la stara la kufunika mabomu wanayosheheni mwilini.
Habari ID: 3328801 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16
Baraza la Kizayuni la mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu limepitisha mpango wa kuyavunjia heshima na kuyabomoa makaburi ya Waislamu katika mji huo.
Habari ID: 3328606 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/15
Waislamu katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa wamemiminika kwa wingi misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kiasi kwamba baadhi ya barabara zinafungwa kutoa nafasi ziada kwa wanaoswali.
Habari ID: 3325727 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07