Uganda itakuwa mwenyeji wa kikao cha kwanza cha kitaalamu kuhusu ‘Nafasi ya Misimamo ya Wastani ya Kidini Katika Kufikia Ulimwengu Usio na Machafuko’.
Habari ID: 3313360 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/12
Katika jitihada za kueneza mafundisho halisi ya Kiislamu, jumuiya moja ya Kiislamu nchini Nigeria imeanzisha stesheni mpya za televisheni na radio katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3313357 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/12
Wajumbe wa Baraza la Uhusiano wa Kiislamu Marekani wameamua kuitisha mkutano na waandishi wa habari katika jimbo la Arizona ili kupambana na vitendo vya kueneza chuki dhidi ya dini hiyo tukufu ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3308862 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/29
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuhusu umuhimu wa kuokoa maisha ya wakimbizi wa Myanmar walioachwa baharini kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3306970 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/24
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameelezea wasiwasi wake kuhusu hatma ya wakimbizi na wahamiaji, wengi wao Waislamu wa kabila la Rohingya kutoka Myanmar, walioachwa kwenye Bahari ya Andaman na Lango la Malakka, kati ya Myanmar, Thailand na Malaysia.
Habari ID: 3305556 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/19
Mtoto Mwislamu mwenye umri wa miaka miwili amepigwa risasi na kuumizwa vibaya kichwani katika mji wa Bradford nchini Uingereza.
Habari ID: 3304654 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/18
Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ubeberu kinara wake akiwa Marekani ndio chanzo kikuu cha kutokea ujahili wa kisasa.
Habari ID: 3304290 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17
Jameel Syed, mwanaharakati Mwislamu wa jimbo la Michigan nchini Marekani amekamilisha safari yake ya siku 35 ya kuzunguka na kusoma adhana katika majimbo yote 50 ya nchi hiyo.
Habari ID: 3284317 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/11
Wabunge 13 Waislamu wamechaguliwa katika uchaguzi wa hivi karibuni nchini Uingereza na hivyo kuweka rekodi mpya iliyoongezeka kutoka wabunge 8 mwaka 2010.
Habari ID: 3276825 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Licha ya duru za kimataifa kutoa onyo kali lakini mamlaka za Thailand zinaendelea kuwanyanyasa Waislamu ikiwa ni pamoja na kuwapiga marufuku wanafunzi wa kike kuvaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3217763 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/27
Viongozi wa dini mbalimbali wamehudhuria katika msikiti wa Tempe katika jimbo la Arizona nchini Marekani na kulaani vikali hatua ya kundi la kibaguzi na linalopiga vita Uislamu ya kuvunjia heshima kitabu kitakatifu cha Qur'ani.
Habari ID: 3196196 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/23
Kiongozi wa ngazi ya juu wa Kiislamu nchini Ufaransa amesema kuwa misikiti 2200 nchini humo haiwatoshelezi mamilioni ya Waislamu wa Ufaransa na kutaka kuongezwa mara mbili idadi ya misikiti iliyopo katika muda wa miaka miwili.
Habari ID: 3099046 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/06
Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria ameahidi kuwa magaidi wa kundi la Kitakfiri la Boko Haram wataangamizwa katika kipindi cha mwezi moja ujao.
Habari ID: 3015828 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20
Ripoti zinasema kuwa karibu miskiti yote 436 katika Jamhuri ya Afrika ya Kati imebomolewa kutokana na machafuko ya kidini.
Habari ID: 3008622 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/18
Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu hali waliyo nayo Waislamu wa kabila la Rohingya wa huko Myanmar.
Habari ID: 3001295 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/17
Mjumbe katika Baraza la Kaunti ya mji wa Kisumu magharibi mwa Kenya amekosoa uamuzi wa Mahakama Kuu kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu katika Kaunti ya Isiolo kuvaa Hijabu.
Habari ID: 2968360 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/12
Wanafunzi Waislamu katika jiji la New York wamekuwa wakikabiliwa na miamala ya kibaguzi na kuvunjiwa heshima kutokana na kuongezeka hisia za chuki dhidi ya dini Tukufu ya Uislamu nchini Marekani.
Habari ID: 2954393 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/09
Rais John Mahama wa Ghana amesema wanawake Waislamu nchini humo wana haki ya kuvaa vazi la Hijabu.
Habari ID: 2930968 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/05
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mkakati wa kuhakikisha inageuka na kuwa kitovu cha utalii halali kwa lengo la kuwavutia Waislamu milioni 15 kutoka maeneo mbali mbali duniani.
Habari ID: 2910925 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28
Waislamu nchini Marekani wameelezea wasi wasi wao kutokana na kuongezeka wimbi la ubaguzi na hujuma dhidi yao.
Habari ID: 2897132 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/25