TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amezungumza kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.
Habari ID: 3474642 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05
Hujjatul Islam Shahriyari
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam wal Muslimin Shahriari amesema itikadi ya Ukufurishaji ni kati ya njama za mabeberu na Wazayuni dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474640 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu ya Misri imeandaa mkutano wa kuchunguza hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa kwa ajili ya kuandaa Duruy a 28 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3474628 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02
TEHRAN (IQNA) – Mwanae qarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri Sheikh Abdul Basit Abdulswamad amesema baba yake alikuwa na sauti ambayo mbali na Waislamu inawavutia pia wasiokuwa Waislamu.
Habari ID: 3474626 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01
TEHRAN (IQNA) – Mbunge Muslamu katika Bunge la Congress nchini Marekani, Bi. Ilhan Omar wa chama cha Democrat amehujumiwa kwa maneno makali na mbunge mwenzake mwenye misimamo mikali wa chama cha Republican ambaye amemtaja kuwa ‘mwenye kiu cha damu’ na mtetezi wa ugaidi.
Habari ID: 3474624 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01
Msomi wa Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Lebanon amesema kuna haja ya kupitishwa sheria za kimataifa ambazo zinapiga marufuku uibuaji mifarakano na migongano baina ya wafuasi wa madhehebu mbali mbali za Kiislamu.
Habari ID: 3474620 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Jamii za Waislamu Duniani limeakhirisha Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu la Umoja wa Falme za Kiarabu baada ya kuibuka aina mpya ya kirusi cha COVID-19 ijulikanayo kama Omicron.
Habari ID: 3474618 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Imam Ali huko Ponta Grossa nchini Brazil umehujumiwa Ijumaa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu, wametangaza wasimamizi wa msikiti huo.
Habari ID: 3474615 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika kijiji cha Bohoniki nchini Poland sasa wanaongoza mkakati wa kuwasaidia wakimbizi katika eneo hilo linalopakana na Belerus.
Habari ID: 3474611 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa matope uliojengwa katika zama za utawala wa Bani Ummaya umegunduliwa nchini Iraq.
Habari ID: 3474607 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27
TEHRAN (IQNA)- Idhini imetolewa kwa ajili ya kujenga Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha Mji wa Limerick nchini Ireland.
Habari ID: 3474603 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/26
TEHRAN (IQNA)- Kumezinduliwa mpango wa kujenga makaburi makubwa zaidi ya Waislamu barani Ulaya huko Uingereza katika eneo eneo la Blackburn, Lancashire.
Habari ID: 3474602 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/26
Rais wa Iran akimpokea Balozi wa Vatican
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umanaawi ni jambo la udharura mkubwa hii leo kwa jamii ya mwanadamu.
Habari ID: 3474593 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Kiislamu katika jimbo la Oyo nchini Nigeria wameapa kupigania haki za wasichana Waislamu kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3474591 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23
TEHRAN (IQNA) –Waislamu kote nchini Misri wameshiriki katika Sala ya Istisqa yaani Sala ya Kuomba Mvua.
Habari ID: 3474589 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/22
TEHRAN (IQNA)- Mtu asiyejulikana anayeaminikwa kuwa ni mwenye chuki dhidi ya Uislamu ameushambulia msikiti mmoja huko Cologne, magharibi mwa Ujerumani mapema Ijumaa.
Habari ID: 3474581 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20
TEHRAN (IQNA)- Sala ya Ijumaa imeruhusiwa tena nchini Brunei baada ya kusitishwa kwa muda wa miezi mitatu.
Habari ID: 3474580 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20
TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya imefichua kuwa utawala haramu wa Israel unaunga mkono wagombea wawili katika uchaguzi wa rais utakaofanyika Libya mwezi Disemba.
Habari ID: 3474576 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/19
TEHRAN (IQNA) Hussein Ibrahim Taha ameanza rasmi kazi kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC).
Habari ID: 3474574 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18
TEHRAN (IQNA)- Katika miezi ya hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la kutoweka na kuuawa Waislamu nchini Kenya na sasa viongozi wa Kiislamu nchini humo wanataka serikali itoe majibu.
Habari ID: 3474569 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17