TEHRAN (IQNA)- Ubelgiji imeondoa marufuku ya uvaaji vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu iliyokuwa imewekwa kwa wale wanaoingia katika mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3474677 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15
TEHRAN (IQNA)- Polisi nchini Canada imemkamata mtu mmoja Jumatatu baada ya mzoga kutupwa nje ya msikiti katika eneo la Vaudreuil-Dorion hivi karibuni.
Habari ID: 3474674 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14
TEHRAN (IQNA)- Makaburi ya Waislamu katika mji wa Mulhouse, mashariki mwa Ufaransa yamehujumiwa na watu wasiojulikana Jumapili jioni.
Habari ID: 3474673 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Mji wa Quds (Jerusalem) na Palestina amelaani vikali matamshi ya mbunge mmoja nchini Marekani ambaye ametaka Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds uvunjwe.
Habari ID: 3474671 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14
TEHRAN (IQNA)- Mahafali ya kuhitimu mamia ya wanafunzi walioifadhi Qur'ani Tukufu imefanyika kaskazini mashariki mwa Uturuki katika mkoa wa Rize.
Habari ID: 3474668 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/12
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera za ujirani mwema na kuwa na uhusiano na majirani ili kusambaratisha vikwazo ni mkakati wa kistratijia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3474666 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau imetangaza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya sheria ya jimbo la Quebec ambayo imepelekea mwalimu mmoja Muislamu ahamishwe kazi kwa sababu tu alikuwa amevaa Hijabu.
Habari ID: 3474665 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
TEHRAN (IQNA) – Sera rasmi ya serikali ya Ufaransa ya kubana uhuru wa Waislamu sasa imefika kiasi ambacho hakiwezi kustahamiliwa tena.
Habari ID: 3474655 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08
TEHRAN (IQNA)- Wanafuzni Waislamu katika Chuo Kikuu cha Kyambogo mjini Kampala nchini Uganda wanataka chuo hicho kiwaajiri maafisa usalama wanawake wanawake ambao watakua na jukumu la kuwapekua wanafunzi wa kike.
Habari ID: 3474654 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amezungumza kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.
Habari ID: 3474642 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05
Hujjatul Islam Shahriyari
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam wal Muslimin Shahriari amesema itikadi ya Ukufurishaji ni kati ya njama za mabeberu na Wazayuni dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474640 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu ya Misri imeandaa mkutano wa kuchunguza hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa kwa ajili ya kuandaa Duruy a 28 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3474628 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02
TEHRAN (IQNA) – Mwanae qarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri Sheikh Abdul Basit Abdulswamad amesema baba yake alikuwa na sauti ambayo mbali na Waislamu inawavutia pia wasiokuwa Waislamu.
Habari ID: 3474626 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01
TEHRAN (IQNA) – Mbunge Muslamu katika Bunge la Congress nchini Marekani, Bi. Ilhan Omar wa chama cha Democrat amehujumiwa kwa maneno makali na mbunge mwenzake mwenye misimamo mikali wa chama cha Republican ambaye amemtaja kuwa ‘mwenye kiu cha damu’ na mtetezi wa ugaidi.
Habari ID: 3474624 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01
Msomi wa Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Lebanon amesema kuna haja ya kupitishwa sheria za kimataifa ambazo zinapiga marufuku uibuaji mifarakano na migongano baina ya wafuasi wa madhehebu mbali mbali za Kiislamu.
Habari ID: 3474620 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Jamii za Waislamu Duniani limeakhirisha Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu la Umoja wa Falme za Kiarabu baada ya kuibuka aina mpya ya kirusi cha COVID-19 ijulikanayo kama Omicron.
Habari ID: 3474618 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Imam Ali huko Ponta Grossa nchini Brazil umehujumiwa Ijumaa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu, wametangaza wasimamizi wa msikiti huo.
Habari ID: 3474615 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika kijiji cha Bohoniki nchini Poland sasa wanaongoza mkakati wa kuwasaidia wakimbizi katika eneo hilo linalopakana na Belerus.
Habari ID: 3474611 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa matope uliojengwa katika zama za utawala wa Bani Ummaya umegunduliwa nchini Iraq.
Habari ID: 3474607 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27
TEHRAN (IQNA)- Idhini imetolewa kwa ajili ya kujenga Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha Mji wa Limerick nchini Ireland.
Habari ID: 3474603 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/26