TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kususia kongamano ambalo Marekani imeitisha nchini Bahrain ambalo Wapalestina wanamini kuwa linalenga kusambaratisha haki zao.
Habari ID: 3471973 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/27
Katibu Mkuu wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3471972 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/26
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kiislamu ya Diyanet (TDV) ya Uturuki imechapisha tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiamhara ya Waislamu wa Ethiopia.
Habari ID: 3471970 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/24
TEHRAN (IQNA) - Polisi katika jimbo la Scoltand nchini Uingereza wanachunguza kitendo cha uhalifu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) baada ya maandishi dhidi ya Waislamu kupatikana yameandikwa katika kuta za msikiti eneo hilo.
Habari ID: 3471969 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/23
TEHRAN (IQNA)- Gaidi raia wa Australia aliyefanya mauaji ya umati dhidi ya Waislamu katika mji wa Christchurch huko New Zealand amefikishwa kizimbani kujibu mashtaka.
Habari ID: 3471968 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/22
Bi. Marziyah Hashemi
TEHRAN (IQNA) – Mmarekani-Muirani mwenye asili ya Afrika, Bi. Marzieh Hashemi anasema msingi wa Tauhidi (kumpwekesha Mwenyezi Mungu) ni nukta ambayo ilimvutia katika Uislamu na kumfanya asilimu.
Habari ID: 3471967 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21
TEHRAN (IQNA)- Rais John Magufuli wa Tanzania amehuhdhuria Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani yaliyofanyika Jumapili Mei 19.
Habari ID: 3471966 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21
TEHRAN (IQNA) – Muungano wa kivita unaoonogzwa na Saudi Arabia umebomoa zaidi ya misikiti 1,024 tangu uanzishe vita dhidi ya Yemen mwaka 2015, amesema afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen.
Habari ID: 3471964 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/19
TEHRAN (IQNA) – Nakala ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa herufi za Kiarabu za Borno imezinduliwa nchini Nigeria.
Habari ID: 3471960 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/16
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres Jumanne hii amekutana na majeruhi na familia zilizopoteza wapendwa wao katika shambulizi la kigaidi dhidi ya misikiti miwili ya New Zealand mnamo Machi 15 mwaka huu.
Habari ID: 3471955 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/14
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu huko Misri ametangaza kuwa misikiti 300 itafunguliwa nchini humo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471953 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/12
TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wafungwa zaidi ya 100 Wahindu wamejiunga na wafungwa Waislamu katika Sawm ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mjini New Delhi, India.
Habari ID: 3471951 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/11
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran ya Kiislamu wameandamana nchi nzima baada ya Sala ya Ijumaa kuunga mkono hatua zilizochukuliwa na serikali ya Iran kusimamisha utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).
Habari ID: 3471950 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislaamu amesisitiza kuwa: " Chanzo cha izza inayoongezeka na ustawi wa hali ya juu wa taifa la Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita ni kutekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu hasa kuhusu kusimama kidete na leo pia njia pekee ya kupata ushindi dhidi ya mashetani na makafiri ni kusimama kidete."
Habari ID: 3471945 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/07
TEHRAN (IQNA) – Hospitali moja katika eneo la Fort McMurry, mkoani Alberta, nchini Canada imekuwa hospitali ya kwanzake katikaukanda wa Alberta kaskazini kuwapa wagojwa chaguo la chakula halali.
Habari ID: 3471944 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/06
TEHRAN (IQNA)-Misikiti katika eneo la Long Island mjini New York nchini Marekani imeimarisha usalama kwa kuwaajiri walinzi wenye silaha katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufuatia hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika maeneo ya ibada kote duniani.
Habari ID: 3471941 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/05
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN - (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali katika Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) inaonyesha kuwepo uchochezi unaotekelezwa na Marekani, baadhi ya nchi za eneo na vyombo vya habari ili kuuwezesha utawala wa Kizayuni Kuanzisha vita
Habari ID: 3471939 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/03
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) Massoud Shajareh amesema utawala wa Nigeria hauna budi ila kumuachilia huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3471934 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) -Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, ulimwengu wa Kiislamu leo unakabiliwa na tatizo la misimamo mikali na utakfiri.
Habari ID: 3471931 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/28
TEHRAN (IQNA)- Msichana mwenye umri wa miaka 19 na ambaye anaugua ugonjwa wa kupooza kwa ubongo (cerebral palsy) amefanikiwa kuhifadhi sura 42 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471927 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/24