iqna

IQNA

Iran na Hamas zasisitiza:
TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472004    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16

TEHRAN (IQNA) – Gaidi wa Australia aliyetekeleza mauaji ya Waislamu 51 katika misikiti miwili mjini Christchurch nchini New Zealand mwezi Machi ameiambia mahakama kuwa hana hatia.
Habari ID: 3472001    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiimaini Marekani hata kidogo na uzoefu mchungu wa mazungumzo yaliyotangulia na Marekani katika fremu ya JCPOA kamwe hautarudiwa tena kwani hakuna taifa lolote huru na lenye akili litakubali kufanya mazungumzo chini ya mashinikizo."
Habari ID: 3472000    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13

TEHRAN (IQNA) Jumatano tarehe nane Shawwal 1440 Hijria, sawa na tarehe pili Juni 2019 ni kumbukumbu ya Mawahhabi kubomoa makaburi ya Ahul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii katika mji mtakatifu wa Madina takribani miaka 97 iliyopita.
Habari ID: 3471999    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13

TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la kiteknolojia nchini Malaysia limefanikiwa kutegeneza browser ya kwanza duniani ambayo inaenda kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu kwa lengo la kuwahudumia Waislamu bilioni 1.8 duniani ili waweze kuwa na mazingira halali na salama katika intaneti.
Habari ID: 3471996    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/12

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Uswisi kwa himaya ya Jumuiya ya Kimataifa la Al Raham ya nchini Kuwait.
Habari ID: 3471992    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/10

TEHRAN (IQNA)- Mabaki ya miili ya Waislamu 12 ambao waliuawa katika vita vya ndani vya Bosnia kati ya mwaka 1992-95 yamepatikana katika kaburi la umati karibi na mji wa Sarajevo.
Habari ID: 3471991    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/09

TEHRAN (IQNA)- Sergio Ricardo Messias Neves, ambaye pia anajulikana kama Sergio au Serginho, ni mchazaji wa zamani wa soka nchini Brazil ambaye alisilimu baada ya kucheza soka katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati (Asia Magharibi).
Habari ID: 3471990    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekumbusha kuhusu pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu la kufanyika kura ya maoni ya kuainisha hatima ya taifa la Palestina.
Habari ID: 3471988    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesem siri ya kuendelea kubakia hai na kuwa na mvuto fikra za Imam Khomeini MA, inatokana na sifa maalumu ya shakhsia na tunu aliyopewa na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471986    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05

TEHRAN (IQNA) – Mamillioni ya wananchi wa Iran walioshiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambapo wametangaza azma yao ya kuendelea kuunga mkono ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3471978    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/31

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba kulitetea taifa la Palestina ni kadhia kibinaadamu na kidini.
Habari ID: 3471977    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/30

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Uturuki yamemalizika kwa kutunukwia zawadi washindi.
Habari ID: 3471975    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/28

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kususia kongamano ambalo Marekani imeitisha nchini Bahrain ambalo Wapalestina wanamini kuwa linalenga kusambaratisha haki zao.
Habari ID: 3471973    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/27

Katibu Mkuu wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3471972    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/26

TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kiislamu ya Diyanet (TDV) ya Uturuki imechapisha tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiamhara ya Waislamu wa Ethiopia.
Habari ID: 3471970    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/24

TEHRAN (IQNA) - Polisi katika jimbo la Scoltand nchini Uingereza wanachunguza kitendo cha uhalifu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) baada ya maandishi dhidi ya Waislamu kupatikana yameandikwa katika kuta za msikiti eneo hilo.
Habari ID: 3471969    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/23

TEHRAN (IQNA)- Gaidi raia wa Australia aliyefanya mauaji ya umati dhidi ya Waislamu katika mji wa Christchurch huko New Zealand amefikishwa kizimbani kujibu mashtaka.
Habari ID: 3471968    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/22

Bi. Marziyah Hashemi
TEHRAN (IQNA) – Mmarekani-Muirani mwenye asili ya Afrika, Bi. Marzieh Hashemi anasema msingi wa Tauhidi (kumpwekesha Mwenyezi Mungu) ni nukta ambayo ilimvutia katika Uislamu na kumfanya asilimu.
Habari ID: 3471967    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21

TEHRAN (IQNA)- Rais John Magufuli wa Tanzania amehuhdhuria Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani yaliyofanyika Jumapili Mei 19.
Habari ID: 3471966    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21