IQNA

Maulid ya Mtume Muhammad SAW katika nchi za Kiislamu +PICHA

16:20 - October 31, 2020
Habari ID: 3473314
TEHRAN (IQNA)- Mfunguo Sita Rabiul Awwal ni mwezi ambao Waislamu kote duniani wanashereheka siku aliyozaliwa Mtume Muhammad SAW, siku ambayo ni maarufu kama Maulidi.

Mwaka huu Maulidi inasherehekewa huku Waislamu wakiandamana kulaani hatua ya serikali ya Ufaransa ya kuunga mkono jarida ambalo limemvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, ambaye ni Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu. Waislamu wanatumia fursa ya Maulidi mwaka huu kubainisha mahaba na mapenzi yao kwa Mtume Muhammad SAW ambaye ni mbora wa viumbe.

 
 
captcha