TEHRAN (IQNA)-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali mauaji ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo yametekelezwa na magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka.
Habari ID: 3470982 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/17
IQNA: Umoja wa Mataifa umeonya kuwa baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen ambapo mamilioni ya watu wakiwa katika hatari ya kupoteza maisha.
Habari ID: 3470866 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/23
IQNA-Rais Omar al Bashir w Sudan ametoa madai yasiyo na msingi wowote kuwa eti Iran inaeneza madhehebu ya Shia barani Afrika.
Habari ID: 3470816 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/27
Kikao cha kila mwaka wachaposhaji Qur'ani Tukufu barani Afrika kinaanza Alkhamisi hii nchini Sudan.
Habari ID: 3470321 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/19
Waislamu nchini Malawi wanataka kuwepo sheria za kuwalinda wanawake Waislamu wanaovaa vazi la stara la Hijabu ili wasibaguliwe wala kubughudhiwa katika maeneo ya umma na kazini.
Habari ID: 3377130 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/01
Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika Afrika Kusini kwa usimamizi wa Idara ya Masuala ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3357512 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/02
Watu 10 wameuawa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) baada ya wanamgambo wa Kikristo kuwashambulia Waislamu. Imearifiwa kuwa mapigano hayo yamejiri katika eneo la Bambari, lenye Waislamu wengi, katikati mwa nchi hiyo lililo karibu na Mto Ouaka.
Habari ID: 3351057 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24
Waislamu wasiopungua 108,000 walipoteza maisha kutokana na maafa na vita katika nchi za Kiislamu na nchi ambazo Waislamu ni wachache kote duniani mwaka 2014.
Habari ID: 3345845 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Amnesty International
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) wamelazimika kuritadi na kuacha dini yao kutokana na kutishiwa maisha.
Habari ID: 3337640 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/01
Idara ya kuchunguza chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Baraza Kuu la Waislamu Ufaransa imeonya kuhusu ongezeko la kasi la hujuma za chuki dhidi ya Uislamu na vitisho dhidi ya Waislamu nchini humo katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
Habari ID: 3331842 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21
Kikao cha kimataifa cha qiraa ya Qur'ani Tukufu imefanyika mjini Cape Town, Afrika Kusini na kuhudhuriwa na maqarii kutoka Misri, Iraq, Sudan na Malaysia.
Habari ID: 3328819 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16
Waislamu nchini Marekani wamefanya maandamano makubwa kulaani mauaji ya hivi karibuni dhidi ya Wakristo weusi wenye asili ya Afrika ndani ya kanisa moja katika jimbo la Carolina Kusini.
Habari ID: 3317492 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/22
Ubaguzi wa rangi Marekani
Watu 9 wameuawa kwenye shambulizi la kibaguzi dhidi ya kanisa moja la Wamarekani Weusi usiku wa kuamkia leo katika jimbo la Carolina Kusini.
Habari ID: 3315932 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/19
Ripoti Maalumu ya IQNA
Sambamba na kuanza hujuma ya hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen, kumeshuhudiwa kuongezeka kwa kasi chuki dhidi ya Ushia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran barani Afrika.
Habari ID: 3315877 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18
Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imekamilika na washindi kutangazwa huku wawakilishi wa nchi za Afrika wamefanya vizuri katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3306240 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/22
Ripoti zinasema kuwa karibu miskiti yote 436 katika Jamhuri ya Afrika ya Kati imebomolewa kutokana na machafuko ya kidini.
Habari ID: 3008622 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/18
Chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini kimetangaza kuendeleza sera ya kuunga mkono mapambano ya Wapalestina ambao wanapigania kuikomboa ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2822420 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08
Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bi. Catherine Samba Panza, amemteua Mohammad Kamoun kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.
Habari ID: 1438785 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/12
Msemaji wa Jumuiya ya Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema, wanamgambo wa Kikristo nchini humo wamewaua vijana watatu Waislamu na kukatakata viungo vyao vya mwili.
Habari ID: 1412082 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/29
Zaidi ya Waislamu 1,000 wametimuliwa katika mji wa Bossangoa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuelekea katika nchi jirani ya Chad huku kukiwa na hofu ya kuuawa kwa umati Waislamu mikononi mwa wanamgambo wa Kikristo.
Habari ID: 1395037 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/14