TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza kuwa nchi hiyo inapinga utawala wa Kizayuni wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474424 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu nchini Sudan amesisitiza umuhimu wa kufundisha sayansi ya dini na ufahamu wa Qur'ani shuleni.
Habari ID: 3474158 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/04
TEHRAN (IQNA) - Mwanamichezo wa mchezo wa Judo kutoka Sudan Mohamed Abdalrasool amekuwa mwamichezo wa pili kukataa kucheza na Muisraeli Tohar Butbul katika michezo ya Olimpiki 2020 ya Tokyo.
Habari ID: 3474130 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya makaburi ya kale yamegunduliwa mashariki mwa Sudan ambapo yana muundo wa kipekee ambao ulikuwa haujagunduliwa hadi sasa.
Habari ID: 3474085 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/09
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ethiopia imepinga vikali uingiliaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) mgogoro wake mrefu na Misri pamoja na Sudan kuhusu ujenzi wa bwawa kubwa la maji katika Mto Nile.
Habari ID: 3474075 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/06
Vijana wa Sudan wameanzisha Jumuiya ya Kuunga Mkono Msikiti wa Al Aqsa na Kupinga Uanzishwaji Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474028 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/21
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mawaziri la Sudan limefuta sheria ya vikwazo na kuususia biashara na utawala wa Kizayuni wa Israel, miezi michache baada ya Khartoum na Tel Aviv kuafikiana juu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya pande mbili hizo.
Habari ID: 3473790 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/07
TEHRAN (IQNA) – Kadhia ya Sudan kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel inapaswa kujadiliwa upya baada ya mabadiliko katika baraza la mawaziri, amesema mwanachama wa Baraza la Serikali ya Mpito.
Habari ID: 3473665 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/19
TEHRAN (IQNA) - Ndege a kivita za Ethiopia zilivuka mpaka na nchi jirani ya Sudan katika kile ambacho Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekitaja kuwa ni taharuki hatari na isiyo na sababu.
Habari ID: 3473555 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwasaliti wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3473488 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) - Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473444 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia waziri mkuu wa zamani wa Sudan Sadiq al-Mahdi na kumtaja kuwa muungaji mkono mkubwa wa Palestina aliyepinga uanzishwaji uhusiano wowote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473399 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27
TEHRAN (IQNA)- Qarii na hafidh maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Sudan, Sheikh Noreen Muhammad Sidiq amefariki katika ajali barabarani.
Habari ID: 3473336 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/07
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Sudan kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel inalenga kudhamini malengo ya utawala huo ambayo ni kuangamiza taifa la Palestina.
Habari ID: 3473294 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/25
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya mapambano ya Kiislamu au muqawama yamelaani vikali hatua ya Sudan kuafiki kuanzisha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Wananchi wa Palestina wamekitaja kitendo hicho cha kisaliti kama 'dhambi ya kisiasa.'
Habari ID: 3473290 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/24
TEHRAN (IQNA) -Afisa mmoja wa Sudan ambaye hakutaka jina lake litajwe amedai kuwa muda wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribia licha ya vyama mbalimbali na wananchi kupinga jambo hilo.
Habari ID: 3473288 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/23
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Sudan amekosoa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano rasmi wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, hatua hiyo ni usaliti kwa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3473243 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/09
TEHRAN (IQNA) -Baadhi ya duru za Saudi Arabia zimeripoti kuwa, wiki iliyopita Sudan ilipeleka mamia ya wanajeshi wake huko Yemen kupitia Saudia.
Habari ID: 3473227 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya Kuu ya Fiqhi ya Kiislamu ya Sudan imetoa fatwa ya kuharamishwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473220 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01
TEHRAN (IQNA) – Shughuli za kielimu katika Chuo Kikuu cha Qur’ani nchini Sudan zimepangwa kuanza baada ya wiki chache.
Habari ID: 3473150 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08