Diplomasia
IQNA – Shekhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amepongeza misimamo ya Estonia dhidi ya utawala wa Israel.
Habari ID: 3479719 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
IQNA - Imamu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesikitishwa na ukosefu wa juhudi za kufikia amani duniani.
Habari ID: 3479699 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04
Qurni Tukufu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema Qur'ani Tukufu ina miujiza mingi ya kisayansi ambayo imewashangaza wanasayansi katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3479601 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/16
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani ukatili wa Israel huko Lebanon na Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479499 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
Onyo
IQNA – Taasisi za Al-Azhar na Dar al-Ifta nchini Misri zimetangaza kuwa kuunda na kutangaza klipu za visomo vya Qur'ani vinavyoambatana na muziki ni marufuku, kwani inachukuliwa kuwa ni kutoheshimu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479469 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22
Jinai za Israel
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani vikali kushadidi jinai za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3479363 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Dini
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimelaani matukio ya kufuru wakati wa uzinduzi wa Michezo ya Olimpiki ya Paris ya 2024.
Habari ID: 3479199 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/29
Turathi za Kiislamu
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayyeb, Imamu wa Al-Azhar, alitembelea Msikiti wa Sayyida Zainab (SA mjini Cairo siku moja baada ya kufunguliwa tena.
Habari ID: 3478828 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/15
Watetezi wa Palestina
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimekaribisha uungwaji mkono wa nchi hiyo kwa hatua za kisheria zilizochukuliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala haramu Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).
Habari ID: 3478819 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/14
Tafsiri ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Tantawi Jawhari alikuwa mwanazuoni mashuhuri wa Misri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu ambaye kazi yake kuu ilikuwa Al-Jawahir fi Tafsir al-Quran al-Karim.
Habari ID: 3478757 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02
Elimu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
Habari ID: 3478733 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25
Elimu
IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini, ikiwa ni pamoja na Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478722 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23
Mtazamo
IQNA - Imamu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema matukio machungu yanayotokea duniani yanadhihirisha ukweli kwamba ubinadamu unahitaji mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478645 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07
Watetezi wa Palestina
IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah kusini mwa Gaza, na kuonya kuhusu maafa ya binadamu katika eneo hilo.
Habari ID: 3478350 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14
Al Azhar
IQNA - Msomi na afisa wa zamani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesisitiza ulazima
Habari ID: 3478228 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21
Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa kadhaa kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri wamefanya mazungumzo na wanachama wa chama cha wachapishaji cha Misri ili kujadili njia za kutatua matatizo katika mchakato uchapishaji Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3478222 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20
Elimu
IQNA - Kituo cha Mafunzo ya Kiislamu chenye mafungamano na Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimechapisha mfululizo wa vitabu vipya vya mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478190 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13
Qur'ani Tukufu
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilichapisha ripoti inayofafanua shughuli zake za Qur'ani mnamo 2023.
Habari ID: 3478139 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03
Lugha ya Kiarabu
IQNA - Kuteremshwa kwa Qur'ani Tukufu kwa Kiarabu kuliongeza hadhi na kudumu kwa lugha hiyo, Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilisema.
Habari ID: 3478058 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19
Uislamu na Mazingira
DUBAU (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna aya nyingi katika Qur'ani Tukufu zinazowaalika watu kuheshimu mazingira.
Habari ID: 3477992 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05