al azhar - Ukurasa 7

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amewakosoa vikali wale ambao wanajaribu kuufungamanisha Uislamu na ugaidi.
Habari ID: 3473277    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/20

Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mkuu wa Al Qur’ani amelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na kutaja vitendo hivyo vilivyo dhidi ya dini kuwa ni jinai ya kigaidi.
Habari ID: 3473143    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06

TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kimeanzisha kampeni maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3473126    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01

TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed EL-Tayeb amekutana kwa njia ya intaneti na Askofu Mkuu wa Canterbury wa Kanisa la Anglikana Justin Welby ambapo wamejadili njia za kuimarisha uhusiano wa taasisi hizo mbili na kustawisha mazungumzo baina yao.
Habari ID: 3472944    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09

TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kimataifa cha Fatwa katika Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kimetoa taarifa kuhusu uvumizi unaoenezwa kuwa umewadia mwisho wa dunia au qiyamah.
Habari ID: 3472921    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya mwanasiasa wa mrengo wa kulia wa Austria ambaye alivunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3472881    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20

TEHRAN (IQNA) - Baraza kuu la kutekeleza malengo ya Waraka wa Urafiki wa Kibinadamu baina ya Taasisi ya Al-Azhar ya Misri na Vatican limetoa wito kwa viongozi na wafuasi wa dini zote duniani kuainisha Mei 14 kama siku maalumu ya duaa na maombi kwa ajili ya kumuomba Mwenyezi Mungu ainusuru dunia kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472733    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetoa wito wa kusitishwa vita na umwagaji damu kote duiani.
Habari ID: 3472637    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/06

TEHRAN (IQNA) – Idara ya Kufuatia Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Chuo cha Al Azhar nchini Misri imelaani hatua mwanasiasa mwenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Uholanzi ya kupanga kufanyika mashindano ya vibonzo vya kumdhalilisha Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3472321    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/31

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa cha Fatwa katika Chuo cha Al Azhar nchini Misri kimetoa taarifa na kusema vazi la Hijabi ni faradhi kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3472227    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/23

TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimetangaza mpango wa kuwawezesha vijana kuhifadhi Qur'ani Tukufu kwa kutumia programu ya kompyuta inayojulikana kama 'Kitabu cha Kielektroniki'.
Habari ID: 3472154    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/30

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Al-Azhar wa Al Azhar amekosolewa na wanazuoni wenzake wa Kiislamu nchini Misri kwa kudai kuwa "ndoa ya wake wengi ni dhulma kwa wanawake na watoto".
Habari ID: 3471863    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/05

TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar kimetangaza masharti kwa wanaotaka kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanayaondaliwa na chuo hicho katika mwaka huu wa 1440 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3471796    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/03

TEHRAN (IQNA)- Sheikhe Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb amemtumia salamu za Krismasi, Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani.
Habari ID: 3471782    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/22

TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kinapanga mashindano ya Qur'ani maalumu kwa wanachuo wa kigeni chuoni hapo.
Habari ID: 3471519    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19

Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA)-Sheikh Mkuu wa Al Azhar Ahmed el-Tayeb amesema kuna haja ya Waislamu kujifunza lugha ya Kiarabu ili waweze kuifahamu Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW kwa kina zaidi.
Habari ID: 3471493    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/04

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri imetangaza kukamilika tarjuma mpya ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiswahili.
Habari ID: 3471453    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/04

IQNA-Duru ya tano ya mkutano wa kimataifa wa 'Upeo wa Miujiza ya Qur'ani Tukufu' umepengwa kufanyika mwezi Aprili nchini Misri.
Habari ID: 3470761    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26

IQNA-Serikali ya Misri imewapiga marufuku wahubiri wa Kiwahhabi kuhutubu hotuba katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3470643    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30

Mwanazuoni wa ngazi za juu Iran amempongeza Sheikh Mkuu wa Al Azhar kwa jitihada zake za kuleta umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470490    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/02