iqna

IQNA

tunisia
IQNA - Waziri wa zamani wa utamaduni wa Tunisia alibainisha kuwa Tafsiri ya Qur’ani ya Sheikh Muhammad al-Ṭahir ibn Ashur (1879-1973) ilikuwa ni tafsiri ya kwanza ya Qur’ani nzima katika eneo la Kiarabu la Maghreb.
Habari ID: 3478164    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni wa Tunisia aliyehudhuria Kongamano la 37 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu alitoa wito wa kuanzishwa chombo cha habari cha pamoja cha ulimwengu wa Kiislamu ili kukabiliana na vita laini vya Magharibi.
Habari ID: 3477689    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/05

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Baada ya maandamano makubwa ya wananchi wa Libya kulaani kikao cha Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel, Waziri Mkuu wa Libya amesema: Tripoli inaunga mkono suala la ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3477534    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01

Watetezi wa Palestina
TUNIS (IQNA) - Rais wa Tunisia amesistiza kuwa nchi yake kati haitaanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel , akisema neno hilo halipo hata katika kamusi ya Tunisia.
Habari ID: 3477527    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Siasa
Kampeni imeanzishwa na wasomi wa Kiislamu wanaotaka kuachiliwa kwa wafungwa wa kisiasa nchini Tunisia. Miongoni mwa wafungwa wa kisiasa ni kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Ennahda, Rashid Ghannouchi.
Habari ID: 3477123    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09

Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Nishati nchini Tunisia lilitangaza kutekelezwa kwa mpango wa kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti nchini humu.
Habari ID: 3477105    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Tafsiri za Qur'ani Tukufu katika lugha tofauti ni kati ya vitabu vilivyowasilishwa katika Maonyesho ya 37 ya Kimataifa ya Vitabu Tunisia
Habari ID: 3476933    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/29

Hali ya Tunisia
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Ennahda ya Tunisia ilizitaja hukumu zilizotolewa dhidi ya mkuu wa kambi ya Muungano wa ‘Heshima’, Seifeddine Makhlouf, wakili Mahdi Zaqrouba na wabunge kadhaa wa muungano huo kuwa "zisizo za haki na mfano hatari".
Habari ID: 3476464    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Mgogoro
TEHRAN (IQNA)- Morocco imemuita nyumbani balozi wake wa Tunisia kulalamikia kitendo cha Rais wa Kais Saied wa Tunisia kumpokea kiongozi wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.
Habari ID: 3475698    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Kususia Israel
TEHRAN-(IQNA) - Wizara ya Biashara na Mauzo ya Nje ya Tunisia imekanusha ripoti zilizochapishwa kuhusu kuwepo kwa mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi hii na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475681    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25

Hali nchini Tunisia
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Tunisia, Kais Saied alitangaza Jumanne (tarehe 21 Juni) kwamba Uislamu hautakuwa tena dini ya serikali katika katiba mpya, ambayo itapigiwa kura ya maoni Julai 25, na kwamba jina la Uislamu halitakuwemo tena katika katiba mpya ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475425    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25

Hali nchini Tunisia
TEHRAN (IQNA) - Waandamanaji wa Tunisia waliingia mitaani katika mji mkuu Tunis siku ya Jumamosi kupinga kura ya maoni kuhusu katiba mpya iliyoitishwa na Rais Kais Saied.
Habari ID: 3475394    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Othman Jerandi amezitaka nchi za Kiislamu kushirikiana na kukomesha ongezeko la jinai za utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Tunisia, Kais Saied, amerufusha muda wa hali ya hatari nchini humo hadi mwishoni mwa huu wa 2022, licha ya maandamano yanayoendelea kufanyika kote nchini humo.
Habari ID: 3474947    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/19

TEHRAN (IQNA)- Kundi la vyama vya siasa na asasi za kiraia nchini Tunisia zimefanya kongamano kwa mnasaba wa mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq cha Hashd al Sha'abi.
Habari ID: 3474743    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/30

Idhaa ya Qur'ani Tunisia, 'Radio Zaitouna' sasa inamilikiwa na serikali
Habari ID: 3474558    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/14

TEHRAN (IQNA) – Spika wa bunge lililosimamishwa kazi la Tunisia amesema atajiuzulu iwapo hilo litatatua matatizo ya kisiasa nchini Tunisia.
Habari ID: 3474536    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA)- Rais Kais Saied wa Tunisia amemetua Najla Bouden Romdhane, kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo, baada ya kupita takribani miezi miwili tangu alipohodhi madaraka yote ya nchi, hatua iliyoelezwa na wapinzani wake kama mapinduzi ya kijeshi.
Habari ID: 3474359    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Tunisia Kais Saied amesema nchi yake haitastahamili uingiliaji wowote wa kigeni huku akiwa chuni ya mashinikizo kutoka kwa madola ya magharibi kufungua tena bunge la nchi hiyo.
Habari ID: 3474283    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia anashikiliwa kifungo cha nyumbani kutokana na kile ambacho kimetajwa ni kutumia vibaya madaraka.
Habari ID: 3474167    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07