Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Brunei yataanza Jumatano, Januari 17.
Habari ID: 3478200 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Waandaaji wa Awamu ya Tatu ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat wametangaza kanuni na vigezo vya kuwasilisha visomo vya qiraa ya Qur'ani iliyorekodiwa.
Habari ID: 3478196 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Polisi wameshambulia waandamanaji waliokuwa wanapinga mpango wa kuteketeza moto nakala ya Qur’ani Tukufu, mpango ambao ulikuwau umepangwa na mkuu wa vuguvugu la kupinga Uislamu la PEGIDA, Edwin Wagensveld, katika mji wa Arnhem nchini Uholanzi.
Habari ID: 3478195 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14
Sura za Qur'ani Tukufu: An-Nisa
IQNA – Surah An-Nisa, sura ya nne ya Quran, inaanza kwa kupendekeza Taqwa (kumcha Mungu).
Habari ID: 3478193 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13
Harakati za Qur'ani
IQNA – Duru ya 9 la Tamasha la Kimataifa la Usomaji Qur'ani Tukufu Kwa Tajweed litafanyika Casablanca, Morocco, baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3478167 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 24 YA Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yalianza Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478165 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08
IQNA - Waziri wa zamani wa utamaduni wa Tunisia alibainisha kuwa Tafsiri ya Qur’ani ya Sheikh Muhammad al-Ṭahir ibn Ashur (1879-1973) ilikuwa ni tafsiri ya kwanza ya Qur’ani nzima katika eneo la Kiarabu la Maghreb.
Habari ID: 3478164 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07
Jitihada
IQNA - Licha ya mashambulizi ya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ambayo yamepelekea watu ya 23,000 kupoteza maisha na malaki kuyahama makazi yao, mafunzo ya Qur'ani Tukufu yanaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3478163 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wasomaji au maqari 1,300 wamejiandikisha kushiriki Mashindano ya 7 ya Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara
Habari ID: 3478145 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04
Qur'ani Tukufu
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilichapisha ripoti inayofafanua shughuli zake za Qur'ani mnamo 2023.
Habari ID: 3478139 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03
Ahul Bayt (AS)
IQNA - Idadi kadhaa ya maqari au wasomaji Qur'ani Tukufu kutoka Iraq na nchi nyingine watashiriki katika programu ya usomaji wa Qur'ani Tukufu katika Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq.
Habari ID: 3478134 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02
Taazia
IQNA - Mwanaume anayejulikana kama Hafidh mzee zaidi wa Qur'ani Tukufu katika Jimbo la Kafr El-Shaikh nchini Misri ameaga dunia katika mji aliozaliwa akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3478132 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02
Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao cha Khitmah ya Qur'ani Tukufu (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) kimefanyika katika msikiti mkubwa huko Brunei kuashiria mwisho wa mwaka wa 2023.
Habari ID: 3478126 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01
Mashindano ya Qur'ani ya Meshkat
IQNA – Usajili umeanza kwa ajili ya Toleo la Tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat, ambayo hufanyika mtandaoni chini ya usimamizi wa Taasisi ya Qur'ani ya Meshkat.
Habari ID: 3478122 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu huko Port Said, Misri, yataanza Februari 1, 2024.
Habari ID: 3478121 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31
Qur’ani Tukufu Inakabiliana na Ubaguzi wa Rangi/3
IQNA – Watu hupotosha na kughushi ukweli kwa sababu tofauti, mojawapo ikiwa ni ubaguzi wa rangi na ukabila.
Habari ID: 3478115 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA - Wataalamu kumi na sita mashuhuri wa Qur'ani Tukufu watahudumu katika jopo la majaji wa Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran katika hatua ya awali.
Habari ID: 3478100 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Programu ya kila wiki ya Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) ilifanyika nchini Misri kwa kushirikisha maqari kutoka nchi mbalimbali.
Habari ID: 3478098 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya awali ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3478095 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26
Qur'ani Tukufu
IQNA - Mamlaka ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya Masuala ya Kiislamu na Wakfu (GAIAE) imechapisha takriban nakala 100,000 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478094 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26