Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)--Waziri wa Sheria wa Uswidi, Gunnar Stromer, ameonya kuhusu hali ya hivi sasa ya usalama nchini mwake na kusema kwamba hali yetu ni ya giza sana hivi sasa baada ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477531 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa / 25
TEHRAN (IQNA) – Hakuna anayethamini kwa kweli umuhimu wa muda kama mtu aliyepewa jukumu la kutegua bomu kwa sababu kila sekunde ina umuhimu mkubwa kwake na inaweza kumaanisha tofauti kati ya maisha na kifo.
Habari ID: 3477517 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29
Umrah 1445
MAKKA (IQNA)- MECCA (IQNA) – Makampuni yanayotoa huduma wa waumini wanaoshiriki katika ibad ya Umra wanapaswa kutekeleza majukumu kadhaa.
Habari ID: 3477508 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/28
Teknolojia katika Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) – Msomi mmoja wa Pakistani ametengeneza programu ya kidijitali ya Qur'ani Tukufu ambayo hurahisisha kupata na kusoma Qur'ani Tukufu. Programu hiyo aidha inahakikisha kuwa uchapishaji Qur'ani Tukufu unafanyika bila makosa.
Habari ID: 3477507 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/28
Ifahamu Qur'ani Tukufu / 26
TEHRAN (IQNA) – Kutoa mwanga juu ya siri ambayo watu hawana ujuzi nayo ni jambo la kupendeza na kinachofanya hili kuwa la kupendeza zaidi ni kufahamu kwamba kuna kitabu ambacho karne 14 zilizopita kilitoa taswira ya kile wanasayansi wamegundua hivi karibuni.
Habari ID: 3477506 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/27
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
RABAT (IQNA) - Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni Duniani (ISESCO) lilianzisha kampeni yenye lengo la kukabiliana na dhulma za Qur'ani katika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3477498 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/26
Turathi ya Uislamu
CAPE TOWN (IQNA) – Msahafu (Nakala ya Qur'ani Tukufu) kongwe zaidi nchini Afrika Kusini, ambayo imehifadhiwa katika eneo salama katika Msikiti wa Auwal wa Cape Town, ni hazina ya thamani kwa Waislamu wanaoithamini kama sehemu ya urithi wao tajiri.
Habari ID: 3477493 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya wasomaji Qur'ani Tukufu kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu katika jumbe tofauti za video wamelaani vitendo vya kuvunjia heshima Qur’ani Tukkufu barani Ulaya, wakisisitiza kwamba hatua hizo zitashindwa kudhoofisha hadhi tukufu ya Kitabu hicho Kitukufu.
Habari ID: 3477485 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa / 21
TEHRAN (IQNA) - Kusamehe na kusamehe dhambi au makosa ya mtu licha ya kuwa na uwezo wa kulipiza kisasi ni sira au sera ya manabii na watu wema.
Habari ID: 3477461 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Polisi huko Gothenburg, Uswidi, wanachunguza kesi ya uhalifu wa chuki baada ya msikiti mmoja kupokea bahasha ya kutisha iliyokuwa na unga mweupe siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477460 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUWAIT CITY (IQNA) - Kaimu Katibu Mkuu wa Sekretarieti Kuu ya Awqaf Hanan Ali alitangaza uzinduzi wa toleo la 26 la Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Tukufu kwa Kuwait kwa mwaka wa 2023.
Habari ID: 3477452 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/17
Jamii ya Waislamu
MITANDAONI (IQNA)- Klipu ya kijana Mwafrika akijaribu kumfundisha Qur'ani Tukufu mke wake mzungu aliyesilimu imevutia hisia za watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477441 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/15
Ifahamu Qur'ani Tukufu /22
TEHRAN (IQNA) - Ujinga wa watu kuhusu historia ya mataifa yaliyotangulia daima husababisha kurudiwa kwa makosa.
Habari ID: 3477429 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13
Ulimwengu wa Kiislamu
MAKKA (IQNA) – Mmoja wa maimamu wa Msikiti Mkuu wa Makka, Saudi Arabia, alilazimika kuacha kusalisha Sala siku ya Ijumaa baada ya kuugua.
Habari ID: 3477422 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BEIRUT (IQNA) - Mwanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon alisisitiza haja ya serikali za Kiislamu kuchukua hatua ili kuzuia kurudiwa kwa kunajisi Qur'ani nchini Uswidi na Denmark.
Habari ID: 3477412 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mawasiliano la Kiislamu la Iran (ICRO) ameyataja matukio ya hivi karibuni ya uchomaji moto wa Qur'ani barani Ulaya kuwa ni hatua ambazo zina mizizi ya Kizayuni.
Habari ID: 3477409 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BRUSSELS (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya alielezea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kama "vitendo vya kutowajibika vya watu wasiowajibika".
Habari ID: 3477408 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
MAKKA (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Waislamu (MWL) imetangaza mradi mpya wa kuanzisha Jumba la Kimataifa la Makumbusho la Qur'ani Tukufu huko Makka, jiji takatifu zaidi kwa Waislamu.
Habari ID: 3477406 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Wasomaji Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Ustadh Yassir Mahmoud Abdul Khaliq al-Sharqawi ni kijana msomaji mashuhuri wa Qur'ani Tukufu nchini Misri na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477398 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/08
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maandamano makali yalifanyika nchini Bangladesh baada ya makumi ya nakala za Qur’ani Tukufu kuchomwa moto katika nchi hiyo ya Kusini mwa Asia.
Habari ID: 3477397 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/08