Afya ya Akili katika Qur’ani /3
IQNA - Tawakkal au Tawakkul, ambayo ina maana ya mwanadamu kuweka imani kwa Mwenyezi Mungu, ni miongoni mwa mafundisho ambayo yana nafasi muhimu katika kuimarisha na kudumisha afya ya akili.
Habari ID: 3478259 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Meya wa mji wa Arnhem nchini Uholanzi Ahmed Marcouch aliwataka wanasiasa wa kitaifa kuharamisha vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu, huku akisema vitendo hivyo ni "vya sumu vinavyowakera wengine".
Habari ID: 3478255 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kijana wa Kipalestina amezindua mpango wa kusambaza nakala za Qur’ani Tukufu miongoni mwa wale wanaoishi katika kambi za wakimbizi katika eneo la Gaza ambalo linakabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478253 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/25
Wajue watafiti wa Qur'ani /40
IQNA-Sheikh Abdullah al-Farsy, alikuwa mwanazuoni wa Kizanzibari mwenye asili ya Oman, na aliandika mojawapo ya tafsiri kamili za mwanzo za Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiswahili.
Habari ID: 3478248 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24
Afya ya Akili Katika Qur'ani /2
IQNA - Moja ya dhana muhimu katika afya ya akili ni amani ya akili, ambayo inaweza kupatikana wakati moyo na ulimi wa mtu hujazwa na kumbkumbuka au kumtaja Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478247 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Duru ya awali ya Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Algeria ilianza katika mji mkuu wa nchi hiyo siku ya Jumapili.
Habari ID: 3478240 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/23
Harakati za Qur'ani Tukufu
IQNA – Kikao cha usomaji wa Qur'ani Tukufu imepangwa kufanyika Sydney, Australia, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3478239 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/23
Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Jordan imechapisha nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu tangu ilipoanzishwa mwaka 1968.
Habari ID: 3478237 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22
Utamaduni wa Kiislamu
IQNA - Mwandishi wa kaligrafia kutoka Misri ambaye amekamilisha uandishi wa Qur'ani Tukufu anasema kufikia mafanikio haya ni ndoto ya kila mwanakaligrafia Muislamu.
Habari ID: 3478235 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22
Qari Mashuhuri
IQNA - Wale wanaopenda usomaji wa Qur’ani Tukufu wa marehemu qari wa Misri Muhammad Sidiq Minshawi wanamtaja kama mfalme wa Maqam ya Nahawand.
Habari ID: 3478229 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21
Al Azhar
IQNA - Msomi na afisa wa zamani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesisitiza ulazima
Habari ID: 3478228 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kuhifadhi na kufasiri Qur'ani Tukufu yameanza huko Bamako, mji mkuu wa Mali siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478225 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21
Mawaidha
IQNA – Taqwa (Kumcha Mungu) ni aina ya ulinzi maalum wa Nafs au Nafsi ambao pia huitwa kulinda eneo takatifu la Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478224 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20
Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa kadhaa kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri wamefanya mazungumzo na wanachama wa chama cha wachapishaji cha Misri ili kujadili njia za kutatua matatizo katika mchakato uchapishaji Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3478222 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20
Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
IQNA - Tangu kuanza kwa vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7, 2023, idadi ya jinai za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu ikiwa ni pamoja na barua za vitisho zilizotumwa kwa misikiti nchini Ujerumani imeongezeka sana.
Habari ID: 3478217 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19
Elimu
IQNA – Toleo la 16 la Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (SAW) limehudhuriwa na wanafunzi kutoka nchi 68.
Habari ID: 3478212 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18
Mawaidha
IQNA - Qur'ani Tukufu ina amri na maagizo mengi yanayolenga kusaidia ukuaji wa kiroho wa wanadamu.
Habari ID: 3478209 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18
Qari Maarufu wa Misri
IQNA - Sheikh Mahmoud al-Bujairami alikuwa qari mashuhuri wa Misri ambaye alisafiri katika nchi nyingi za Kiislamu kwa ajili ya kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478207 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17
Harakati za Qur'ani Tukufu
IQNA - Urais wa Haramain (misikiti miwili mitakatifu ya Makka na Madina) imezindua programu ya kujifunza Qur'ani Tukufu kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3478203 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16
Ustamaduni wa Kiislamu
IQNA - Watu katika mikoa ya kusini mwa Morocco wamekuwa wakirejea tena katika Maktab (shule za jadi za Qur'ani).
Habari ID: 3478202 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16