Uhakika katika Qur'ani Tukufu / 2
TEHRAN (IQNA) - Wanasayansi wamefikia natija kwamba moyo sio tu unasukuma damu, lakini pia unaelewa, unafikiri, na unaamuru na hii inaendana na kile aya za Qur'ani Tukufu zinavyosema.
Habari ID: 3476059 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09
Tauhidi katika Qur'ani Tukufu/1
TEHRAN (IQNA) – Suala la mwanzo na mwisho wa dunia ni miongoni mwa maswali muhimu yaliyo mbele ya wanadamu na namna wanavyoyajibu huwa na athari kubwa katika maisha na hatima ya watu binafsi.
Habari ID: 3476055 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08
Sura za Qur'ani Tukufu / 39
TEHRAN (IQNA) – Kuna mifano mingi ya miujiza ya kisayansi katika Qur'ani, ukiwemo mmoja katika Surah Az-Zumar. Hii ni miujiza kwa sababu ilitajwa katika Kitabu ambacho ni Kitakatifu karne nyingi zilizopita wakati wanadamu hawakuwa na habari nayo.
Habari ID: 3476054 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Surah Al-Maarij, sura ya 70 ya Qur’ani Tukufu, inazungumzia sifa nzuri na mbaya za watu na pia inatanguliza maelekezo ya kufikia hadhi ya Malaika na kuwa na usuhuba au urafiki na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476049 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07
Sira ya Mtume Muhammad
TEHRAN (IQNA) - Mapitio ya vitabu vya historia yanaonyesha kuwa vita vyote wakati wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) vilikuwa vya kujihami au kujitetea na kwamba hakuanzisha vita yoyote.
Habari ID: 3476040 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05
Hujuma dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Makumi kwa maelfu ya watu walifanya maandamano siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Mali wa Bamako kushutumu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476038 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mtume Muhammad (SAW) anasema kwamba Qur'ani Tukufu ni amana ambayo aliiacha katika Umma wa Kiislamu. Tunapaswa kutunza amana hii. Hatahivyo utunzaji wa amana hii haumaanishi tu kuiweka mahala bora zaidi ndani ya nyumba lakini muhimu zaidi, kutekeleza miongozo yake.
Habari ID: 3476034 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04
Shughuli za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Kozi ya kiwango cha juu ya Qur’ani Tukufu imeandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa Afrika wanaosoma sayansi ya Kiislamu katika vyuo vya Kiislamu vya mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3476030 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /6
TEHRAN (IQNA) – Mmoja wa wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Misri ambaye aliweza kuendeleza mtindo wake wa usomaji kwa kuwasikiliza tu wasomaji wakubwa alikuwa Sheikh Kamil Yusuf Al-Bahtimi.
Habari ID: 3476029 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Programu mbalimbali zilifanyika nchini Libya mapema wiki hii kuadhimisha siku ya kitaifa ya nchi hiyo ya kuwaenzi wnaohudumia Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476026 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03
Qur'ani Tukufu Inasemaje /32
TEHRAN (IQNA) – Kuna aya ndani ya Qur’ani Tukufu ambayo inatanguliza sifa 15 nzuri katika nyanja za imani, amali au matendo na maadili na inarejelea itikadi muhimu na kanuni za kivitendo za maadili.
Habari ID: 3476022 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/02
Sura za Qur’ani Tukufu/ 38
TEHRAN (IQNA) – Imesemwa katika vyanzo vya kihistoria na kidini kwamba Shetani alikuwa mmoja wa watumishi maalum wa Mwenyezi Mungu waliokuwa wakimuabudu kwa muda mrefu.
Habari ID: 3476014 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31
Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe katika ardhi ya Palestina ya Ukanda wa Gaza, wahifadhi 143 wa Qur’ani Tukufu wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya watu na maafisa wa serikali.
Habari ID: 3476011 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31
Sura za Qur'ani Tukufu / 37
TEHRAN (IQNA) – Kuna makundi mbalimbali ya watu wanaokataa au wanaokana kuwepo kwa Mwenyezi Mungu au upweke wake. Mungu ametuma adhabu kwa baadhi yao na kuwapa baadhi ya wengine fursa ya kutubu huku akieleza ni hatima gani inayowangoja ikiwa hawatafanya hivyo.
Habari ID: 3476001 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28
Shakhsia Katika Qur'ani / 8
TEHRAN (IQNA) – Nabii Idris (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) ndiye aliyekuwa wa kwanza kuandika kwa kalamu, kwa mujibu wa riwaya. Ametajwa kuwa ni msomi mwanafikra, na mwalimu na anajulikana kuwa mwanzilishi wa sayansi nyingi kutokana na elimu aliyoipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476000 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28
Usomaji Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Ifuatayo ni klipi ya zamani ya marhum Qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu wa Misri Ustadh Abdul Basit Abdul Samad akisoma aya za 103-104 za Sura Al-Imran.
Habari ID: 3475999 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28
Sura za Qur’ani Tukufu / 36
TEHRAN (IQNA) – Kuna masuala na mada tofauti tofauti zilizotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu, huku zile kuu na muhimu zikihusiana na kanuni tatu za dini, yaani Tauhidi, Utume na Ufufuo.
Habari ID: 3475996 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27
Shakhsia katika Qur'ani/ 7
TEHRAN (IQNA) - Wasomi wanaoitafakari dunia na sababu za matukio ndani yake wanakuwa na nyenzo bora za kusonga mbele kwenye njia ya kiroho na ukamilifu kuliko watu wa kawaida.
Habari ID: 3475995 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27
Sura za Qur’ani Tukufu / 35
TEHRAN (IQNA) - Mwanadamu anahitaji shughuli na kazi ili kupata pesa kwa ajili ya kuwa na maisha yaliyojaa amani na faraja. Qur'ani Tukufu imewaalika wanadamu kufanya biashara ambayo ndani yake hakuna hasara na ambayo inawapeleka kwenye amani ya milele.
Habari ID: 3475994 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27
Qur’ani Tukufu Inasemaje / 25
TEHRAN (IQNA) – Hasira ni miongoni mwa hisia zinazosababisha uadui na huwa na matokeo mabaya ya kijamii.
Habari ID: 3475980 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23